Minyoo iko aina nyingi. na hakuna dawa universal kwamba inatibu aina zote za minyoo au bakteria. Ungepima kwanza ukajua shida ni nini. Unachoogopa kwenda kupima ni nini? unaona aibu kuwavulia nguo madaktari na manesi? nenda kavuo upone.Duh bro nimetumia saw za minyoo apa nipo kwenye doz ya arlegy bro
Eti thank me later .. hahahahaAcha umalaya tulia na mmoja msafi.
Nyoa maviuz Mara kwa mara. Epuka gesti house za short time especially maeneo ya Manzese, Buguruni na Mbagala.
Oga asubuhi na jioni.
Ukijitibu mtibu na huyo mpenzi wako.
Osha chupi , nguo zako zote na mashuka na maji ya moto. Vyote vioshwe kwa mpigo kuepuka wadudu kuhamia kwengine.
Tumia toilet paper.
Thank me later.
Bro ukwel nakwambia hospital nimeenda mpk bugando hospital apa mwanza lakin Bado na mar ya mwixho ndo nimetokea bugando hospital wamenip daw za arlegy na xjapimwa Wal nn atminyoo iko aina nyingi. na hakuna dawa universal kwamba inatibu aina zote za minyoo au bakteria. Ungepima kwanza ukajua shida ni nini. Unachoogopa kwenda kupima ni nini? unaona aibu kuwavulia nguo madaktari na manesi? nenda kavuo upone.
Nenda hospitali ndogo, hasa dispensary utakapopata muda mzuri wa kuzungumza na daktari. pima mkojo na hata haja kubwa, usisahau damu pia. achana na hizi hospitali kubwa, wanakuwa overwhelmed na wajeta wenye serious issues, ukimpelekea issue kama hiyo anaichukulia juu juu tu.Bro ukwel nakwambia hospital nimeenda mpk bugando hospital apa mwanza lakin Bado na mar ya mwixho ndo nimetokea bugando hospital wamenip daw za arlegy na xjapimwa Wal nn at
Mm nilisumbuliwa zaidi ya miaka 5,lakin nikawa naficha unakuta unavaa nguo mpaka ina nata kujikuna.Nasumbuliwa na muwasho sugu sehemu za Siri kwa muda mrefu na nimetumia dawa nyingi sana sijapona muwasho upo mpaka sehemu ya aja kubwa
Nikitembea ni kama mtu ananichana chana kwenye korodani
Msaada jamani ni muda mrefu naumwa. Dawa natumia ila siponi.
Kuwa na staha kidogo ndugu yangu,hili ni Jukwaa huru ila haipendezi kuleta uhuru wa ujinga,jitajihidi kuficha ujinga hata kama una tania mkuu,wewe huhisi chochote mpaka muhusika alete humu,jaribu kuvaa viatu vya wahusika kabla hujajibu chochote ndugu yangu.Apake majani ya upupu.
Atakuja kunishukuru.
Hospital ipi Umeenda?? Na specialist wa hayo matatizo umefanikiwa muona??Kak hospital natembea mpak nimekata tamaa nikifka hoxpital nikionan na daktar xi pimw namuelezea daktar ana andika daw tu bx dah mpk nimechoka at
Kaka madactar xi unawajua wai wanach angalia ni maslah tu bx nimeenda bugando hospital mwanza pia nilikuwa tabor nikaenda kitet hospital pia nilikuw kigom nikaenda maweng hoxpital vizaanat kam vyot maduk ya madaw na mada kama yote at kakHospital ipi Umeenda?? Na specialist wa hayo matatizo umefanikiwa muona??
Tatizo lako ni kubwa....linaanzia kwenye kuandika, andika vizuri bro wa kike.Kaka madactar xi unawajua wai wanach angalia ni maslah tu bx nimeenda bugando hospital mwanza pia nilikuwa tabor nikaenda kitet hospital pia nilikuw kigom nikaenda maweng hoxpital vizaanat kam vyot maduk ya madaw na mada kama yote at kak
Kak si unajua mtu anapokuw Hana tatz linalomxumbua yy hutoa tu mawazo yyt atakam hayn mxaada wwt atKuwa na staha kidogo ndugu yangu,hili ni Jukwaa huru ila haipendezi kuleta uhuru wa ujinga,jitajihidi kuficha ujinga hata kama una tania mkuu,wewe huhisi chochote mpaka muhusika alete humu,jaribu kuvaa viatu vya wahusika kabla hujajibu chochote ndugu yangu.
Ok sorry nasema madactar wanacho angalia ni maslah yao tu na si afya ya mtu atTatizo lako ni kubwa....linaanzia kwenye kuandika, andika vizuri bro wa kike.
Dawa flani imeandikwa dawa ya upele lakini sa zingine inasaidia hata muwasho inapatikana maduka ya dawa karibu yoooote popote apa tzNdo nini hii mkuu jazia nyama kidogo
Nasumbuliwa na muwasho sugu sehemu za Siri kwa muda mrefu na nimetumia dawa nyingi sana sijapona muwasho upo mpaka sehemu ya aja kubwa.
Nikitembea ni kama mtu ananichana chana kwenye korodani.
Msaada jamani ni muda mrefu naumwa. Dawa natumia ila siponi.
Kwel bro xiwez ona aib wakt naumia atminyoo iko aina nyingi. na hakuna dawa universal kwamba inatibu aina zote za minyoo au bakteria. Ungepima kwanza ukajua shida ni nini. Unachoogopa kwenda kupima ni nini? unaona aibu kuwavulia nguo madaktari na manesi? nenda kavuo upone.
Ukishafikia nusu ya dose choma nguo zote za ndani nunua mpya, then uwe unaziloweka na detoa ama kuzinyosha na moto mkali, kama una mke naye akatibiwe and mcheki cycle zenu wote za side chicks wewe na mkeo ya wezekana unajitibu huku ukiendelea kupata maambukizi mapyaHizo dawa nimeshawah tumia kaka zaidi ya maramoja at
Ukishafikia nusu ya dose choma nguo zote za ndani nunua mpya