Nini dhumuni la Serikali kuanzisha tahasusi hii ya biashara ikiwa na somo la 'Islamic Knowledge'?

Nini dhumuni la Serikali kuanzisha tahasusi hii ya biashara ikiwa na somo la 'Islamic Knowledge'?

mie nadhani ni muhimu sana ili tuwe na wachumi na wafanyibiashara wenye Imani thabiti, wanaomjua Mungu, wenye hofu ya Mungu, wa kweli, wa uaminifu, wasiopenda rushwa hongo na udanganyifu 🐒

inahitajika wachumi na wafanyibiashara walipakodi kwa hiari bila kuibia serikali n.k🐒

rejea machumi na mafanyabiashara yasio eleweka dini zao ndio hayo mafisadi na mavuruga uchumi 🐒
Dini ya faida kwa mwanadamu ni ile inayohubiri KWELI na HAKi ya Mungu mwenye enzi yote.
Hii haihitaji kuwa Mkristo, Muislam, Mpentekoste, Mhindu, .....
KWELI na HAKI vinajitegemea tangu asili kinyume na hizi dini za kumtweza na kumnyonya mwanadamu kitumwa.
Chukua ile KWELI na HAKI kwenye dini za kikoloni, mengine waachie.
 
Mambo ya dini yangesimamiwa na taasisi za dini.Kwasababu serikali haina dini masomo yote ya dini yaondolewe kwenye ratiba za shule za Iman ili kila dini ibebe mzigo wake.Ili isije leta malalamiko kwenye mambo ya dini na ajira kwani inaweza fika muda watu wakalalamika kuwa walimu wa somo flan la dini wanaajiriwa kuliko wa dini nyingine.
 
Shida yenu mnakua na chuki za ndani, sasa hivi kuna Islamic Banking moja ya dokta zinazokua kwa kasi Duniani, kwa Tanzania PBZ, CRDB, KCB NA AMANA ZOTE ZINA VITENGO VYA ISLAMIC BANKING,


PIA KWA WAISLAMU HIJJA NI.NGUZO MUHIMU NA SAFARI ZA KWENDA HIJJA ZINAWAINGIZIA WATU MAMILIONI YA SHILINGI, MTU MMOJA KWENDA HIJJA NI ZAIDI YA MILIONI KUMI ACHILIA MBALI SAFARI ZA UMRA,


SASA LAZIMA UFAHAMU DINI SIO TU IBADA BALI NI BIASHARA NA NDIO MFUMO WA MAISHA , HUWEZI KUTOFAUTISHA MAISHA NA DINI
Kwani dini ni uislamu tu? Samia anatafuta kujihalalisha kwa mgongo wa dini baada ya kuona viatu vya urais vinampwaya sana
 
Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.

Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo ya Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?

Ni bahati mbaya au makusudi. Huenda nimeachwa na mambo ya kisasa lakini kwangu bado haileti maana yoyote.

View attachment 2940349
Unamumunya maneno tu, la sivyo usingeleta hii mada. Iwe kwa ubaya tu. Kwa nini hiyo tahsusi?
 
Shida yenu mnakua na chuki za ndani, sasa hivi kuna Islamic Banking moja ya dokta zinazokua kwa kasi Duniani, kwa Tanzania PBZ, CRDB, KCB NA AMANA ZOTE ZINA VITENGO VYA ISLAMIC BANKING,


PIA KWA WAISLAMU HIJJA NI.NGUZO MUHIMU NA SAFARI ZA KWENDA HIJJA ZINAWAINGIZIA WATU MAMILIONI YA SHILINGI, MTU MMOJA KWENDA HIJJA NI ZAIDI YA MILIONI KUMI ACHILIA MBALI SAFARI ZA UMRA,


SASA LAZIMA UFAHAMU DINI SIO TU IBADA BALI NI BIASHARA NA NDIO MFUMO WA MAISHA , HUWEZI KUTOFAUTISHA MAISHA NA DINI
Hakuna hoja hapo. Hapo ni kutengeneza tu matabaka. Na wanaoshauri hili wana ajenda zao.
 
Nchi ya matahasusi. Mwenzao alizilundika pamoja leo ametokea mwingine kazichangua. Eti nchi ina dira ya elimu.
 
Lengo ni kutengeneza mlango wa serikali kugharimia kusomesha watu wa dini hiyo kwa wingi wanafunzi na walimu wao na kuwaajiri kwenye taasisi za fedha kwa wingi kwa kigezo cha Islamic banking washike misingi ya uchumi na biashara na badae siasa..mko hapa endeleeni kushangaa mlishapofushwa ufahamu wenu mnasindikiza tu, tukiwaambia tokeni ccm waachieni chama Chao tuone kama watashinda hata wakiungana na TCA WASALITI..bado hamuelewi..Haya endeleeni kukodoa macho!
 
Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.

Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo ya Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?

Ni bahati mbaya au makusudi. Huenda nimeachwa na mambo ya kisasa lakini kwangu bado haileti maana yoyote.

View attachment 2940349
Afadhali tahasusi za sayansi zimebaki zilivyo. Lakini kwa masomo ya dini (Islamic & Bible knowledge) yangeachwa hivyo kuwa optional. Pengine Chuo Kikuu Cha Kiislamu (MMU) labda kina mahitaji hayo.
 
wataenda kufanya kazi Amana bank, Benk ya watu wa Zanzibar etc.

Fanya mambo yako sio kila kitu mnahoji wakulungwa.
 
Kama waziri ameamua kutumia mitihani kwa walimu ili kukomesha vimemo vya viongozi kutaka watoto na jamaa wa viongozi wakubwa waajiriwe, VIONGOZI WA KIISLAMU wanashindwaje kutuma vimemo kwa DADA YAO apachike elimu ya kiislamu liwe somo wakati MASHEHE WAPO JOBLESS MITAANI na wanaitwa WAALIMU.
Shuleni huko sasa zitakuwa kazu tuuuu 😁
 
Ukiona mtoto anasomea dini manake elimu imemshinda ameamua akomae tu na tamaduni za ibada kitu ambacho yeyote anakiweza akitaka kufuata mkumbo.
 
Hiyo 'ni' katikati ya nasikia...na ukimaliza umeweka ya nini Sasa?
Usimlaumu bure.

Watu wanaofanya makosa ya uandishi kama hayo, mara nyingi hufikiria zaidi akilini kuliko yale waandikayo.

Kuna tofauti kati ya kuwa na dhana fulani mawazoni, na kuiwasilisha ipasavyo.

Huwa wanadhani wameandika yote waliyokusudia akilini.

Ukiangalia vizuri, pengine alitaka kuandika:

^Nachosikia ni [kwamba] ukimaliza kusomea hii, ukienda bandarini hukosi kazi DP World.^
 
Kwani dini ni uislamu tu? Samia anatafuta kujihalalisha kwa mgongo wa dini baada ya kuona viatu vya urais vinampwaya sana
Uislamu ndio dini pekee ilokamilika, nioneshe basi benki moja tu ya Kikristo au ya kibaniani, nyinyi mnafata tu mkumbo
 
Islamic finance / economy ni somo linatolewa hata na vyuo vikuu vya nchi za magharibi
Islamic finance ni sekta ya kifedha inayokuwa sana duniani na iko nchi nyingi pia kwa hiyo mtu kufahanu ni kongeza kitu kwenye CV yako ina ongeza fursa kwa msomi.
 
Lengo ni kutengeneza mlango wa serikali kugharimia kusomesha watu wa dini hiyo kwa wingi wanafunzi na walimu wao na kuwaajiri kwenye taasisi za fedha kwa wingi kwa kigezo cha Islamic banking washike misingi ya uchumi na biashara na badae siasa..mko hapa endeleeni kushangaa mlishapofushwa ufahamu wenu mnasindikiza tu, tukiwaambia tokeni ccm waachieni chama Chao tuone kama watashinda hata wakiungana na TCA WASALITI..bado hamuelewi..Haya endeleeni kukodoa macho!
Mbona hata sasa hivi misingi ya biashara na uchumi wa nchi hii umeshikiliwa na wao?au unataka waushikilie mara ngapi?
 
mie nadhani ni muhimu sana ili tuwe na wachumi na wafanyibiashara wenye Imani thabiti, wanaomjua Mungu, wenye hofu ya Mungu, wa kweli, wa uaminifu, wasiopenda rushwa hongo na udanganyifu 🐒

inahitajika wachumi na wafanyibiashara walipakodi kwa hiari bila kuibia serikali n.k🐒

rejea machumi na mafanyabiashara yasio eleweka dini zao ndio hayo mafisadi na mavuruga uchumi 🐒
Kama kuleta mchele mbovu au ngano iliyoisha muda wa matumizi . Hawa wanafanya hivi sababu hawajui Dini. Wanaokwepa Kodi ya mafuta ya Kula na Sukari , Kwa kuleta kupitia Bandari Bibi, wauza ngada, wanaovunja Nyumba za ibada nk
 
Kuna ubaya gani kuwa na tahasusi yenye Islamic studies, mkuu?

Kudhani kwamba huko ni kueneza udini, huo ndio ushamba wenyewe.

Kwa nini wanafunzi waijifunze skuli kama haiwekwi kwenye tahasusi?

Usisahau kwamba kuna Watanzania zaidi ya milioni 60 sasa.

Je, unataka wote wabobee lugha ya Inglishi au Kiswahili halafu nani atutafsirie mkataba wa Mwarabu wa DP World?
Kuna tahasusi ya lugha na lugha sio islamic Bali ni Arabic
 
Back
Top Bottom