Nini dhumuni la Serikali kuanzisha tahasusi hii ya biashara ikiwa na somo la 'Islamic Knowledge'?

Nini dhumuni la Serikali kuanzisha tahasusi hii ya biashara ikiwa na somo la 'Islamic Knowledge'?

Mimi ningeshauri badala ya kuweka Islamic knowledge waweke Religious studies kama somo. Hii itasaidia mtoto awe na uwanda mpana wa kuelewa mambo na kupunguza religious fundamentalism in the future
Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.

Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo ya Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?

Ni bahati mbaya au makusudi. Huenda nimeachwa na mambo ya kisasa lakini kwangu bado haileti maana yoyote.

View attachment 2940349
 
..nadhani imewalenga zaidi wazanzibari (si kwa ubaya) .. uchumi wa bluu na biashara zaidi na nchi zenye kufuata Islamic laws , kwa kukusaidia ...kwenye list hiyo hiyo kaangalie mwisho nambari 58 Hadi 65 ..Kuna 'combinations' zenye masomo ya dini.

Huo ni mtizamo wangu. Simlazimishi mtu kuukubali wala simzuii kuukataa .
Kwani Tamisemi ni Wizara ya Muungano?
 
Mimi ningeshauri badala ya kuweka Islamic knowledge waweke Religious studies kama somo. Hii itasaidia mtoto awe na uwanda mpana wa kuelewa mambo na kupunguza religious fundamentalism in the future
Kwa level ya sekondari, kuunganisha pamoja masomo ya dini ni kuwadhilimu (abuse) wanafunzi.
 
Nasikia na vyuo wanaleta fakati mpya ambazo ni:
*Pro janab medical food
*Dkt tuli spika and microphone
*SGR mbarawa speed
*Tozo and Kodi mwigulu skafu
*Mirad ayo CCM
*Royal family mama mkwe
*How to be magu bypass women
 
Samia kaja kuigawa hii nchi kwa UDINI. Vyomo vya ulinzi na usalama ongezeni umakini.
Wewe ni mpumbavu kwanza hata Mimi nilishangaa ila nikachagua kukaa kimya ninifunze,nimegundua Kuna mambo ya Islamic Banking ambayo Zanzibar ipo au wahusika wanaweza fanya kazi Nchi za Kiislamu Kwa hiyo wako sahihi.

Mwisho hizo ni option za kusoma Sasa wewe zinakugawa vipi? Maana hakuna anaelazimishwa hapo.
 
Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.

Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo ya Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?

Ni bahati mbaya au makusudi. Huenda nimeachwa na mambo ya kisasa lakini kwangu bado haileti maana yoyote.

View attachment 2940349
Vyuo Vikuu vinafindisha Degree za dini na maswala ya Islamic Banking nk,jitu halijui.linakurupuka tuu as if Kuna mtu atalazimishwa kusoma hayo masomo.

Punguzeni kuwa na akili fupi ,maisha sio Tanzania tuu ni pamoja na kwingine ambako wanaweza pata fursa Kwa mlengo wa masomo ya dini.
 
NI combination za wajinga wajinga. Ni wazaz wapumbavu watakaruhus mtoto akae 2 years akisoma huo ushenzi.
Na kwa kumalizia, combinations hizo hutakaa uzipate shule za private, never. Zitabaki huku huku kwenye shule za kifala fala hiz zinazoitwa shule za serikali.
 
Kuna harufu mbaya ya Udini
Wao wameweka Arabic & Islamic knowledge, na wasiokuwa wao wana Divinity bila Christian knowledge 🤣,

anyway, vyovyote vile, hakungekuwa na haja kuweka mambo hayo kwenye tahasusi katika dunia hii iliyokasi na inayo ongeza wigo wa tofauti katika binadamu
 
Haya ma combimation mapya ni ya watoto wa makapuku, comb zinabakia zilezile za zamani ambazo watu wenye uwezo watawapeleka watoto wao shule za private ndani ama nje ya nchi.
 
Je Mkristo akimaliza Kidato Cha Nne ataruhusiwa kusoma hizo Combinations zenye Islamic Religion na Kisha Kuzitafutia Pesa huku Akiwa Bado Mkristo?
 
Hahhaha hichi ni kituko cha mwaka sasa hapo islamic knowladge ina husiana vipi na hayo masomo ya biashara? Hahahahaha bora wangeanzisha combination mpya iwetwe D.P.W ili ukimaliza kusoma tuu unapewa ajira bandarini au waanzishe course iitwe islamic state hahahaha
Yani hii nchi hii na hiyo ndio kazi aliyopewa mchengerwa hahahaha
Umewahi kusoma Islamic Studies kwenye maisha yako?
 
Hiyo ni ORDER kutoka Juu, hata Adolf Mkenda hatakiwi kuhoji, lasivyo ataachia kiti

Baada ya miaka kadhaa tunataka Watoto wetu katika Imaan washikilie uchumi wa nchii hii

Makafiri Wameshikilia sana na Mfumo Kristo wao.


TAKIBIIIR.....!
Wakristo wakati mwingine mna uwoga usio na maana yoyote. Bahati mbaya huwa mnapinga hata kwenye jambo ambalo hamna elimu nalo wala ufahamu nalo.
 
unawajua Magaidi wewe, Nioneshe Muislamu katika list ya watu hawa
HITLER
NETANYAHU
GEORGE BUSH
GENGHIS KHAN
BENITO MUSSOLINI
KING LEOPOLD OF BELGIUM
STALIN
POL POT
IVAN THE TERRIBLE
Kumbe Hitler aliua na kulipua hata weusi na mataifa mengine.. Hitler Bwana
 
Hizi combination zilizokaa kidini wangeziacha tuu,, Hazina Maana zitaleta udini.. Vyombo vya ulinzi na usalama angalieni Mambo Hayo Acheni Kuwa Ndio Mzee,, Tunaharibu Nchi. Acheni Hayo mtalaumiwa baadaye.
 
Mbona hakuna kituko hapo kila kitu kipo sawa
Hahhaha hichi ni kituko cha mwaka sasa hapo islamic knowladge ina husiana vipi na hayo masomo ya biashara? Hahahahaha bora wangeanzisha combination mpya iwetwe D.P.W ili ukimaliza kusoma tuu unapewa ajira bandarini au waanzishe course iitwe islamic state hahahaha
Yani hii nchi hii na hiyo ndio kazi aliyopewa mchengerwa hahahaha
 
Hivi hivi nchi ina dini moja?
Hapo tunaona Islamic tu
Bible knowledge imeondolewa?
Divinity ndio nini?
 
Back
Top Bottom