BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Na hili limewagarimu waajiriwa wengi sana,Unakuta mtu anakatwa anabaki na laki4 unusu kisa mkopo wa ist, lakinne hiyo hiyo ajazie petrol, service, alipe kodi ya nyumba,alipe ada watoto, ajenge, avae, ale ndiyo maana wakati mwingine kwa nyie wenye vipato duni pandeni daladala tu msijifunge tai shingoni inayowaumiza.
Kweli mkuu, unakuta mtu anapata salary 1m take home, ukipiga mafuta kwa mwezi 250,000/- (Robo mshahara), bado hajala ofisini, familia yake, KodiUnakuta mtu anakatwa anabaki na laki4 unusu kisa mkopo wa ist, lakinne hiyo hiyo ajazie petrol, service, alipe kodi ya nyumba,alipe ada watoto, ajenge, avae, ale ndiyo maana wakati mwingine kwa nyie wenye vipato duni pandeni daladala tu msijifunge tai shingoni inayowaumiza.
Yaani umeanza kazi, ukaanza na Liability (gari)?Ilinichukua miezi sita tu kuagiza ndinga Japan nilipopata kazi yangu ya kwanza. Nani anataka kufika job huku nimelowa Kama sio mvua basi jasho. Aisee ndinga ilikuwa ni priority.
ukinunua gari ambayo ina running cost hata kama ni ndogo hakikisha una vipato vingine vidogo vidogoYaani umeanza kazi, ukaanza na Liability (gari)?
Hahaha hata mm nasemaga hvyo ila kwa mapato yetu madogo ukisema usubiri upate kipato kikubwa ndio uchukue gari utashangaa unastaafu ndio unaagiza gariUnakuta mtu anakatwa anabaki na laki4 unusu kisa mkopo wa ist, lakinne hiyo hiyo ajazie petrol, service, alipe kodi ya nyumba,alipe ada watoto, ajenge, avae, ale ndiyo maana wakati mwingine kwa nyie wenye vipato duni pandeni daladala tu msijifunge tai shingoni inayowaumiza.