Nini faida ya kumiliki gari?

Nini faida ya kumiliki gari?

Unakuta mtu anakatwa anabaki na laki4 unusu kisa mkopo wa ist, lakinne hiyo hiyo ajazie petrol, service, alipe kodi ya nyumba,alipe ada watoto, ajenge, avae, ale ndiyo maana wakati mwingine kwa nyie wenye vipato duni pandeni daladala tu msijifunge tai shingoni inayowaumiza.
Na hili limewagarimu waajiriwa wengi sana,
Ndio maana Jenerali Ulimwengu alisema ili uweze kumiliki gari uwe na kipato cha million 7
 
Unakuta mtu anakatwa anabaki na laki4 unusu kisa mkopo wa ist, lakinne hiyo hiyo ajazie petrol, service, alipe kodi ya nyumba,alipe ada watoto, ajenge, avae, ale ndiyo maana wakati mwingine kwa nyie wenye vipato duni pandeni daladala tu msijifunge tai shingoni inayowaumiza.
Kweli mkuu, unakuta mtu anapata salary 1m take home, ukipiga mafuta kwa mwezi 250,000/- (Robo mshahara), bado hajala ofisini, familia yake, Kodi
Ndio maana mimi naona kama kipato chako kiko chini ya 3m usimiliki gari.
 
Ilinichukua miezi sita tu kuagiza ndinga Japan nilipopata kazi yangu ya kwanza. Nani anataka kufika job huku nimelowa Kama sio mvua basi jasho. Aisee ndinga ilikuwa ni priority.
Yaani umeanza kazi, ukaanza na Liability (gari)?
 
Unakuta mtu anakatwa anabaki na laki4 unusu kisa mkopo wa ist, lakinne hiyo hiyo ajazie petrol, service, alipe kodi ya nyumba,alipe ada watoto, ajenge, avae, ale ndiyo maana wakati mwingine kwa nyie wenye vipato duni pandeni daladala tu msijifunge tai shingoni inayowaumiza.
Hahaha hata mm nasemaga hvyo ila kwa mapato yetu madogo ukisema usubiri upate kipato kikubwa ndio uchukue gari utashangaa unastaafu ndio unaagiza gari
 
Back
Top Bottom