Fred Katulanda
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 380
- 550
Mfumuko huu sijui Kama u nawanufaisha wakulima?
Acha wakulima nao wafaidi matunda ya kazi yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wakulima nao wafaidi matunda ya kazi yao
Bei ya mkulima iko vile vile chini. Hizi ni bei za wafanyabiashara wanaokusanya vyakula hivi kwa bei ndogo sana kutoka kwa wakulima, na kuvisafirisha nje ya nchi na kuziuza kwa bei kubwa sana au kutumia sisi kwa bei hiyo hiyo. Pia ni bei za wakulima wakubwa kama akina Bashe wenye mashamba makubwa (farmers not peasants) kwa ajili ya ku export. Mkulima (peasant) wetu yuko vile vile. Inabidi tuzuie hawa wafanya biashara walanguzi. Tunaweza kuruhusu wakulima wakubwa tu kusafirisha mazao waliyo yazalisha wenyewe, si yale waliyoyalangula.Sasa wewe ulitaka bei ya mkulima iwe chini?
Huo ni utaratibu unaotumiwa na ccm kuhadaa wananchi ili kuonyesha kwamba uchumi unakua sasa walivyo wajinga wanashindwa kuelewa kwamba hali halisi inapingana vibaya na hizo takwimu zao feki.Si mlidai serikali ya jpm ilikuwa inapika data kwa hiyo na hii ya mama hamyaamini tu
Mvua hakuna hapa nipo njiani natoka biharamulo hakuna hata tone la mvua kabisa hadi nafika singida tutegemee nini na hii miezi ya mvuaWakulima na sisi tunaongeza bei kama nyie mlivyojiongezea mishahara.