Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Suala jingine linaloniacha na maswali mengi ni hivi inakuaje Mkuu wa Usalama wa taifa hata kama amestaafu kutopewa ulinzi na Idara japo walau walinzi walau watatu?

Mazingira ya kazi yenyewe na ukiongezea kuwa alikuwa mkuu wa U"spy" , inakuwaje Idara isimpe ulinzi?
.
Vipi angetekwa na kwenda kuvujishwa siri za nchi? Ukizingatia Uzee halafu yuko peke yake?!!
 
Maswali ya ki-spy
 
Hizo ndo Blunders zenyewe mkuu, mtu ambae ni jasusi tena cover ya ujasusi hana na alikuwa mkuu wa ujasusi idara haijampa ulinzi!

Uta juaje hiyo ndio njia sahihi ya kumfanya akae kimya Sababu anajua wakimtaka na hana Ulinzi inakuwa Simple !!?.

Kwa kifupi hizi Kazi sio kabisa ,kila unapo ota Mabawa ndio unajiweka kwenye target Muda wowote.
 
Oooh sheila kombe Wa Stanbic bank... kumbee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sija maanisha hivyo Mkuu,wapo Watu wanao ona ni sawa kufanya Kazi flani na wapo wanao ona Kazi flani haiwafai kwa Sababu zao.Mimi nime tahadharisha kwa wale wanao fuata Mkumbo ,wahakikishe wame ziandaa Nyonga zao kabla ya kuruka Mto.
Kweli mkuu Cha muhimu mtu ajue majukumu yake na maadili ya kazi yake ili maisha yaende au vp mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…