Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Wote ni Washabiki wa Chelsea!Rudeboy ,ni shabiki wa chelsea View attachment 1838805
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote ni Washabiki wa Chelsea!Rudeboy ,ni shabiki wa chelsea View attachment 1838805
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kula mbususu ww life is too shortWaafrika ku join pamoja kumeki business ni kazi sana. Sie kazi yetu ni kula tunda kimasihara,kumeki heshima kitandani japo mzungu anapiga kamoja tu kwa wiki siku zingine ni
[emoji23][emoji23][emoji23]
Na lizuri baraa, lolMr p ,huyu ndio dancerView attachment 1838802
Utajiri wao Changanya bongo flavor wote ..Wana utajiri wa $150 m na zaidi..wanakampuni la mafuta na mazaga mengine😂😂..Sadala kwa hao ni house boy😂Shida ni kuwa hao sio ma Star
Paul anamsema mke wa Peter?soma hayo maneno hapo utajua chanzo ni pesa au wanawake?View attachment 1849058
Rude ndio mwanamzikiJamaa Peter niliona post yake majuzi anajitamba kuwa amepata mafanikio makubwa kama Solo kuliko alivyokuwa kwenye kundi..!
Nikajua hapa kuna kitu sio bure halafu naona mwenzie rude Boy yupo kimya
Sema kiukweli wakiwa Solo sasa nyimbo za rude Boy ndio nzuri kwa kweli
Nafikiri Paulo ndio kulwaPeter anahaha tu ukiangalia hata kimziki Rudeboy yuko vzr sana na anatoa hit song tupuu!kuna eja Peter akaaside na mkewe ndo shida ilipoanzia hapo wakatengana,wakarudiana,wakatengana tena na ndo hawakurudiana mpk Leo ...Ila kimafanikio Rudeboy kimziki yuko juu...yule Peter mbwembwe tu then Paul ni mpole sana hana maneno maneno kama huyu Peter!!!!
Hapa chanzo kilikuwa ccm na wahuni wakeWakuu
Hivi chanzo cha ugomvi wa mapacha hawa waliounda kundi la muziki la P Square, yaani Peter na Paul.
Kiliwakumba nini mpaka wakaamua kutemana na kila mtu afanye kazi kivyake (solo)? .. Japokuwa kwa sasa wote tu wanafanya vizuri lakini Rude boy (Paul) anaonekana kuwa mkimya na mtu wa kazi tofauti nduguye..
Naomba kujua nini kisa kilichowatenganisha...
Huyo mke wa Peter ndo chanzo, ndo mana mama yao kabla ya kufariki akimkataa.Peter anahaha tu ukiangalia hata kimziki Rudeboy yuko vzr sana na anatoa hit song tupuu!kuna tena na ndo hawakurudiana mpk Leo ...Ila kimafanikio Rudeboy kimziki yuko juu...yule Peter mbwembwe tu then Paul ni mpole sana hana maneno maneno kama huyu Peter!!!!
Hiiiiiih😁. Mtu akisoma hiii comment ni lazima afikirie kuwa wewe ni ndugu wa kina P SQUARE kumbe hâta hawakujui, Daaah wabongo ni noma.Peter ni mtukutu, mkorofi kuanzia utotoni...anapenda kupigana
Ila yule Lola ni mtu mzuri sana basi tu wanamgeuka, kipindi hao mapacha wamefulia yy Lola ndo alikuwa anawatoa mishiko ya studio na magari ya kwao