cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Huhuhuhuhuh ntaichek usijar,Look into my eyes kummmmke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huhuhuhuhuh ntaichek usijar,Look into my eyes kummmmke
Rasta ndio alikuwa anatoka na shemeji yake kisiri before hajaoa .Unamzungumzia Peter or Paul???
Peter - Mwenye kofia ( Mr. P ) | Paul ( Rudeboy ) - Mwenye miwani.Hivi Peter hapo ndio yupi na Paul ndio yupi?
Walikuwa wanagombania kioo ili wajirembe, kilipovunjika kila mmoja akala kona kwa hasira.Wakuu
Hivi chanzo cha ugomvi wa mapacha hawa waliounda kundi la muziki la P Square, yaani Peter na Paul.
Kiliwakumba nini mpaka wakaamua kutemana na kila mtu afanye kazi kivyake (solo)? .. Japokuwa kwa sasa wote tu wanafanya vizuri lakini Rude boy (Paul) anaonekana kuwa mkimya na mtu wa kazi tofauti nduguye..
Naomba kujua nini kisa kilichowatenganisha...
Sio ukabila fulani bali ni hawaelewani kabisa hao watu....makabila yao ni makubwa kwa pale Nigeria na bahati mbaya yamegawana hadi Dini, Igbo karibu wote ni wakatoliki huku Yoruba wao wamechanganya kiislamu na madhehebu ya kilokole ya kikristo.Yes, ni slayqueen ila wale ambao umri umesogea kidogo type za kina Zari.
Anamzidi umri Peter.
Vile vile, Nigeria kuna ukabila fulani kati ya Igbos na Yoruba.
Mkibosho anamuita mmachame ni mpalestina[emoji23]Hayo makabila ni km wakibosho na machame..
mkibosho ht akijenga nyumba mlango utaelekea upande ambao sio machame@
Nami poa naomba nijue hili aiseeWakuu
Hivi chanzo cha ugomvi wa mapacha hawa waliounda kundi la muziki la P Square, yaani Peter na Paul.
Kiliwakumba nini mpaka wakaamua kutemana na kila mtu afanye kazi kivyake (solo)? .. Japokuwa kwa sasa wote tu wanafanya vizuri lakini Rude boy (Paul) anaonekana kuwa mkimya na mtu wa kazi tofauti nduguye..
Naomba kujua nini kisa kilichowatenganisha...