HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
- Thread starter
-
- #21
Asante Chakuwahata, lakini baki kwenye hoja.Kimeanzia Kigoma ,nakuhakikishia kitasambaa pamoja na hujuma ambazo CWT inafanya kukiangusha. CWT na CCM ni kopo na mfuniko.Yaliyomo humo ni wizi, ufisadi, udanganyifu, fitina na na aina zote za uovu. Sisi watu wa Kigoma tumekataa utumwa wa CWT. Natumaini mikoa mingine itaiga. Kulikuwa na mgogoro hapa Kigoma manispaa wa kuwakata wanachama wa CHAKUHAWATA agency fee, CWT mmeumbuka. Nasema hivi, walimu wote nchini wapaswa kukataa huu utumwa wa CWT.
Jibu hayo maswali nataka kujenga hojaRudi kwenye hoja, usiseme kila kitu kinachoujaza moyo wako
Hayo ni yako mkuuWala tatizo siyo CWT.
Tatizo kubwa ni CCM.
CCM ni genge takataka kabisa.
Una ushahidi kwa hayo unayoyasema au unaongea kwa hisia tu mkuuJibu hayo maswali nataka kujenga hoja
Binafsi nilijaza fomu ya kujitoa CWT mwaka 2021 kama sikosei, makato wakachukua chamakwata Mwezi MMOJA tu Baadae CWT wakaenda wilayani pale uyui-Tabora na kurudisha makato! Hadi leo nashangaa Afisa utumishi alihongwa Nini na CWT Hadi akarudisha makato!!Kimeanzia Kigoma ,nakuhakikishia kitasambaa pamoja na hujuma ambazo CWT inafanya kukiangusha. CWT na CCM ni kopo na mfuniko.Yaliyomo humo ni wizi, ufisadi, udanganyifu, fitina na na aina zote za uovu. Sisi watu wa Kigoma tumekataa utumwa wa CWT. Natumaini mikoa mingine itaiga. Kulikuwa na mgogoro hapa Kigoma manispaa wa kuwakata wanachama wa CHAKUHAWATA agency fee, CWT mmeumbuka. Nasema hivi, walimu wote nchini wapaswa kukataa huu utumwa wa CWT.
Kama alihongwa mripoti TAKUKURU, nchi inathamini utawala wa sheria mwalimuBinafsi nilijaza fomu ya kujitoa CWT mwaka 2021 kama sikosei,makato wakachukua chamakwata Mwezi MMOJA tu Baadae CWT wakaenda wilayani pale uyui-Tabora na kurudisha makato ! Hadi leo nashangaa Afisa utumishi alihongwa Nini na CWT Hadi akarudisha makato!!
Kwanini mnalazimisha Walimu wawe CWT PEKEE!!?Kama alihongwa mripoti TAKUKURU, nchi inathamini utawala wa sheria mwalimu
Sheria ya nchi hii inaruhusu walimu kuanzia 20 kuanzisha chama chao, kwa hiyo kama mmeichoka chukueni hatua. Ieleweke kuwa mimi sio CWT ni mzalendo niliyeamua kuyaweka mambo kwa uwazi. Tubaki kwenye hojaKwanini mnalazimisha Walimu wawe CWT PEKEE!!?
Mnahujumu walimu kwann!?
CCM ndio waliotunga Sheria ya kukata 2% ya mishahara ya watumishi kwa lazima.Hayo ni yako mkuu
Shauri yako hapa mimi sina jibu.CCM ndio waliotunga Sheria ya kukata 2% ya mishahara ya watumishi kwa lazima.
CCM ndio wanaokata pesa na kuwapa CWT.
CWT hawana Cha kufanya hizo pesa zaidi ya KUTAFUA tu.
Na hayo MAFISADI ya CWT ndio CCM hiyo hiyo imeyateua kuwa DC.
CCM ni takataka kabisa.
Kuna kondoo mmoja mwakilishi hapa job kaenda kwa afisa utumishi wanikate kwa lazima halafu akarudi kwangu kujichekesha baada ya kuanza kunikata ,,,ipo siku nitamchukulia sheria mkononiBinafsi nilijaza fomu ya kujitoa CWT mwaka 2021 kama sikosei,makato wakachukua chamakwata Mwezi MMOJA tu Baadae CWT wakaenda wilayani pale uyui-Tabora na kurudisha makato ! Hadi leo nashangaa Afisa utumishi alihongwa Nini na CWT Hadi akarudisha makato!!
Kuchukua sheria mkononi ni makosa, nchi hii inaongozwa na utawala wa sheria mwalimu. tubaki kwenye hojaKuna kondoo mmoja mwakilishi hapa job kaenda kwa afisa utumishi wanikate kwa lazima halafu akarudi kwangu kujichekesha baada ya kuanza kunikata ,,,ipo siku nitamchukulia sheria mkononi
Hoja ni WIZI wa Chama kwa walimu!Hoja ibaki pale pale, ukitukana sio jawabu.
Sasa unanikataje kazi ya mikono yangu Bila ridhaa yangu na sijajaza fomu ...huu uhuni Kama uhuni mwingine TU..Kuchukua sheria mkononi ni makosa, nchi hii inaongozwa na utawala wa sheria mwalimu. tubaki kwenye hoja
Umeitisha kura ya maoni ukathibitisha hilo mkuu? Ulipata maoni ya walimu wangapi? Wangapi walikipenda chama na wangapi hawakukipenda? Rudi kwenye hoja msomiNimejaribu kupitia comments inaonekana cwt haipendwi na walimu wengi Sana
Swal langu kwa waalimu; kipi kinawafanya miaka yote serikali iwatumie kuukandamiza upinzani huku mkijua haki zenu zinapuuzwa kupitia chama chenu cwt?
HEBU amkeni jamani tumtoe mkoloni mweusi
MkuuNimejaribu kupitia comments inaonekana cwt haipendwi na walimu wengi Sana
Swal langu kwa waalimu; kipi kinawafanya miaka yote serikali iwatumie kuukandamiza upinzani huku mkijua haki zenu zinapuuzwa kupitia chama chenu cwt?
HEBU amkeni jamani tumtoe mkoloni mweusi