Nini hasa kinafanya gharama za kuchimba kisima kuwa mil 8, 10, 12? What is so special?

Nini hasa kinafanya gharama za kuchimba kisima kuwa mil 8, 10, 12? What is so special?

H a o
Kuna jamaa waliambia survey 800,000, kuchimba mita 1 ni 150,000, pampu, ....
Kwa uzoefu wao maji eneo hili maji yapo mita 200.
Niliona kama ndoto zimeyeyuka, nikaagiza juisi nikanywa kushusha presha.
Hao jamaa was wapi..na ujue survey ubora wa vifaa unatofautiana..ukitaka ata laki 3 unafanyiwa survey ila ndio vifaa duni..
 
Dodoma sehemu gani boss..hao wahuni 😂😂
sehemu fulani dodoma ndanindani huko walichimba mita 200 ardhini kwa mil.15 na hawakupata maji, wakasema wakiendelea zaidi ya hapo wanaweza kutoboa miamba ya volcano ukatokea moto kisha maafa.

Wakafungasha mitambo yao wakatokomea kusikojulikana na pesa za wananchi....

Na hili limeshatokea kwenye vijiji kadhaa nashuhudia kwa macho yangu utapeli huu. wanapima unasema maji yapo hapa mita kadhaa ardhini wakichimba wanakwambia yamekumbilie upande ule kwasabb ya vibration ya mashine!!!!

Nimekua mkubwa sasa,
2025 nitakwenda na haya mambo nitasimamia mwenyewe.

Na makubaliano yakiwa milion 10,15 au 20, sharti kuu la malipo itakua ni lazima maji yapatikane chini ya wanasheria nguli.

Hata kwenye kupima kwamba maji yapo au hayapo tutafanya chini ya makubaliano ya wanasheria....
 
Nitakachokifanya siku za usoni nikuchimba kisima changu mwenyewe using my home made tools DIY.. YouTube ni msaada tosha mpaka sasa nachohitaji now ni kununua motor yaku drive hiyo shaft wakati wa uchimbaji the rest ni tool ambazo ziko available katika mazingira ya kawaida
Solvin your own (and societal) problems using knowledge that is already available, just harminozing it is a proper definition of a genius☝

Kama ambavyo utajiri ni utafutaji wa mali na kuiongoza, vivyo hivyo ujiniazi ni utafutaji wa maarifa na kuyaongoza/organize. Baada ya hapo unaacha urithi.

Ukipenda na ukiweza utupatie mrejesho na ukipata changamoto tupatie pia. Kama tu unavyopewa knowledge huko youtube sasa iv. Let the golden rule rule.
 
Solvin your own (and societal) problems using knowledge that is already available, just harminozing it is a proper definition of a genius☝

Kama ambavyo utajiri ni utafutaji wa mali na kuiongoza, vivyo hivyo ujiniazi ni utafutaji wa maarifa na kuyaongoza/organize. Baada ya hapo unaacha urithi.

Ukipenda na ukiweza utupatie mrejesho na ukipata changamoto tupatie pia. Kama tu unavyopewa knowledge huko youtube sasa iv. Let the golden rule rule.
Ngoja ni bookmark hii comment yako then kuna siku nitakuja na update from A-Z kuhusu hili la maji hata ikibidi niandae na video kabisa mwisho wasiku tu share ideas na experience kwenye hili.
 
Hapa nakubaliana nawe mkuu
Binafsi baada ya kusikia tu kuwa ukanda wetu hauna maji karibu na mfuko hautoshi niliamua kutopoteza hata tone la maji ya mvua. Unachimba shimo la walau 40k m³, hakikisha unalitengeneza kwa viwango ili lilisumbue kupoteza maji, nunua pump ya 0.5HP kupandisha maji kwenye tank, then maisha yanasonga. Kiangazi kikija kama matumizi sio makubwa 40,000m³ unaishi nazo mda sana.
 
Katika vitu ambavyo Kila nikifikiria nakosa majibu ni gharama ya kuchimba kisima na Ile mitambo yao kiujumla, Sote tunajua kuwa katika mitambo inayouzwa bei ghali ni mitambo ya kutengeneza Barabara na ya migodini, ikiwemo Wheel loader, Excavator, Bull dozer(mashine ya kipekee ambayo ukiwa Dar unaweza kuiwasha kuweka mafuta na kuweka gia na kuielekezea Mwanza Kisha ukapanda ndege na baada ya muda litafika tu Mwanza lenyewe maana Kila mahali linapita). Sasa hii mitambo gharama ya kukodisha Kwa siku ni kati ya laki 8 Hadi milioni.

Sasa twende huku kwenye visima vya maji, wao wanakuambia Kwa MITA 50,000 Hadi 85,000 hivyo mpaka kisima unamaliza ni milioni 10+.

Sasa je ni Nini hasa kinachokuwa gharama kwao mpaka kupelekea gharama ishoot milioni 10 Kwa kisima, maana haiingii akilini, Nilielewa hii nitakaa kimya
Unashangaa hiyo. Nenda kwenye mradi wa kisima cha serikali ulizia bei uone kama hujapata pressure.
 
Watu wanachimba tu mbona, sema unakuwa na machine za filter ili kuchuja maji. Kuna jamaa alichimba maeneo ya mageti kuelekea goba, 120m akayakuta ni chumvi balaa, ila amefunga machine ya filter na sasa hivi anasema chumvi inaelekea kwisha.
Filter wapi wachina wanadawa zao wanamwagia kwenye kisima sema inatakiwa wiki 1 kisima kisitumike toka muda walipoweka dawa..baada ya apo ukikutana na chumvi sijui magadi niite mbwa..mimi nilishawai kumchukua senior graduated kutoka chuo cha maji aje anipigie survey kabla ya kuchimba akasema apa maji yapo kuanzia mita 100 na kuendelea..kuna jamaa yangu akaniletea survey wa iyo kampuni ya kichina MR LIU akasema apa tunachimba mita30 tu maji yapo ya kumwaga..
 
Kuna muda nilihitaji wanichimbie kisima, sema hiyo gharama maana pia nilitaka maji niuze. Ila hiyo gharama ikanishinda na Cha kushangaza wakati wa kiangazi maji yanakata.
Sasa wakati wa kiangazi maji yanakata, we si umesema gharama zilikushinda?

BTW, maji kukata wakati wa kiangazi maana yake kina ni kifupi..!!
 
Katika vitu ambavyo Kila nikifikiria nakosa majibu ni gharama ya kuchimba kisima na Ile mitambo yao kiujumla, Sote tunajua kuwa katika mitambo inayouzwa bei ghali ni mitambo ya kutengeneza Barabara na ya migodini, ikiwemo Wheel loader, Excavator, Bull dozer(mashine ya kipekee ambayo ukiwa Dar unaweza kuiwasha kuweka mafuta na kuweka gia na kuielekezea Mwanza Kisha ukapanda ndege na baada ya muda litafika tu Mwanza lenyewe maana Kila mahali linapita). Sasa hii mitambo gharama ya kukodisha Kwa siku ni kati ya laki 8 Hadi milioni.

Sasa twende huku kwenye visima vya maji, wao wanakuambia Kwa MITA 50,000 Hadi 85,000 hivyo mpaka kisima unamaliza ni milioni 10+.

Sasa je ni Nini hasa kinachokuwa gharama kwao mpaka kupelekea gharama ishoot milioni 10 Kwa kisima, maana haiingii akilini, Nilielewa hii nitakaa kimya
Ukiona kitu ni gharama, achana nacho
 
Bei za wapi izo njoo Tabata kuna kampuni ya kichina million 4 tu unachimbiwa mpaka mita 60..wanakuja na wataalamu wao wanapima kabisa..usifanye mchezo na wachina..wanachimba mpaka kwa mkopo unatoa 2million inayobaki mnaandikishinana unaimalizia lini..Watu mambo ya dawasco tulishayasahau.
Ndo maana tunakuwa masikin umeshindwa nn kuweka address ya wachina au unataka udalali
 
Back
Top Bottom