Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Wanabodi imekuwa ni jambo ambalo ni kawaida pale unapokutana na mtu ambae hamjaonana
kwa kipindi cha miaka 5 hadi 10, lakini mnapokutana baadhi wanakuwa wamebadikia sana muonekano
wa sura na mwili kwa ujumla.
Wengine wanakuwa na mvi nyingi, kipara, sura imeanza kuchoka mwili mkubwa ila mwingine anakuwa hana hivyo au vipo kidogo sana na ni watu wa rika moja labda mlisoma pamoja.
Je, ni mimi huwa najiuliza maswali hayo au na wewe pia? Sababu inaweza kuwa ni nini wanabodi ni hali kijeneti, kujipata kimaisha, au ni ugumu kwenye harakati za kujitafuta au ni nini hasa?
kwa kipindi cha miaka 5 hadi 10, lakini mnapokutana baadhi wanakuwa wamebadikia sana muonekano
wa sura na mwili kwa ujumla.
Wengine wanakuwa na mvi nyingi, kipara, sura imeanza kuchoka mwili mkubwa ila mwingine anakuwa hana hivyo au vipo kidogo sana na ni watu wa rika moja labda mlisoma pamoja.
Je, ni mimi huwa najiuliza maswali hayo au na wewe pia? Sababu inaweza kuwa ni nini wanabodi ni hali kijeneti, kujipata kimaisha, au ni ugumu kwenye harakati za kujitafuta au ni nini hasa?