- Thread starter
- #141
Baada ya kupata kinga sio chanjoNi kinga inayopatikana kwa kundi kubwa la watu kutokana na watu wachache kupata chanjo hivyo kuzuia ueneaji wa ugonjwa( transmission). Protection of unvaccinated from vaccinated.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kupata kinga sio chanjoNi kinga inayopatikana kwa kundi kubwa la watu kutokana na watu wachache kupata chanjo hivyo kuzuia ueneaji wa ugonjwa( transmission). Protection of unvaccinated from vaccinated.
Swali lako ni rahisi sana kama unao msingi wowote wa sayansi.Habari JF,
JPM aliamini corona itaendelea kuwepo na tutaishi nayo kama yalivyo magonjwa mengine, kiuhalisia ndivyo ilivyo corona ipo na idadi ya watu waliopata chanjo ni ndogo sana na watu walishapata kinga asilia sasa hivi sio tishio tena. Lakini bado watu wakiwemo madaktari wanalaumu approach yake kwenye ishu.
Swali langu ni lipi lilikuwa kosa lake?
Je, ni kutoweka lock down?
Je, ni kupinga chanjo?
Je, ni kupinga njia za kitaalamu kama kuvaa barakoa na njia hizi zilisaidia kwa kiasi gani sehemu nyingine ?
Kwangu Mimi mnyonge mnyongeni katika hili alistahili tuzo.
Sasa sijui kama huyo mtu RNA atakusoma na kukuelewa hapa kwa mfano mzuri kabisa uliomtolea hapa.Nikuulize Swali Unajua Russian Roullette...
Unachukua pistol unaweka risasi moja unazungusha ile cyclinder chamber alafu mnapeana zamu kila mtu kujipiga risasi kichwani...,
Hata ukibahatisha usipokufa lakini gamble kama hio ni hatari ukiendelea namna hiyo uwezekano mkubwa kuna siku utateleza....
Maana yangu ni kwamba kuna mambo hayawezekaniki (total lockdown especially kwa nchi kama Tanzania) LAKINI tahadhari haimaanishi Total Lockdown pekee bali kuwa serious na kuacha mzaha......; In Hindsight kilichofanyika huenda kilikuwa better option, ila sababu hatukujua reaction itakuwa vipi kwahio haikuwa busara ku-gamble na jambo hatari ingawa baada ya kupata more facts ndio inabidi tu-act accordingly ila kabla ya facts kwa mambo ya afya ni vema kuwasikiliza wataalamu na hapa kwenye hili wataalamu ni watu wa afya na sio wanasiasa
Magufuli aliijua hii 'herd immunity' alipochukua uamzi? Aliijuwa kutoka wapi?Unajua herd immunity ni mini ?
Kwa kuzuia kuvaa barakoa tuu yeye Kijazi na watu wengi tuu wamekufa kwa ujuaji wake usio na mantiki
Chanjo imeleta herd immunity kwa nchi zote duniani na kupunguza rate of infection
Muulize Dr Mpango alirudia wapi kwenye ambukizo
Kweli nyelo ni nyeloKosa la Magufuli ni kutowasikiliza Wataalam mfano madaktari na wanasheria kwa mMagufuri walikuwa ni takataka.
Hayo yako wewe, ila Watanzania tunajua Mungu katuondolea ile laana basi1. Vyeti feki
2. Ubadhirifu
3. Urasimu
4. Safari
5. Uadilifu kazini
6. Usharika na msoga
7. Poda na yafananayo
8. Uchawa
9. Kuishi kimalaika isivyo halali bila kuvuja jasho
10. Wakina Fatuma,Maria, Ridhi na the like
Wapi hapo ulidondokea mkuu?
Hivi ule uchawi aliomtuma prof wa jalalani akachukue Madagascar uliponesha wangapi?Habari JF,
JPM aliamini corona itaendelea kuwepo na tutaishi nayo kama yalivyo magonjwa mengine, kiuhalisia ndivyo ilivyo corona ipo na idadi ya watu waliopata chanjo ni ndogo sana na watu walishapata kinga asilia sasa hivi sio tishio tena. Lakini bado watu wakiwemo madaktari wanalaumu approach yake kwenye ishu.
Swali langu ni lipi lilikuwa kosa lake?
Je, ni kutoweka lock down?
Je, ni kupinga chanjo?
Je, ni kupinga njia za kitaalamu kama kuvaa barakoa na njia hizi zilisaidia kwa kiasi gani sehemu nyingine ?
Kwangu Mimi mnyonge mnyongeni katika hili alistahili tuzo.
Mlango wa kuzimu.Muulize Dr Mpango alirudia wapi kwenye ambukizo
Yule Mzee alikuwa 'fix' sana. Alidanganya kwamba watu wake walipima sampuli za mbuzi, papai na oil chafu zikakutwa na virusi vya corona. Alikuwa anajaribu ku-justify uamuzi wake wa kupuuza protocols za WHO.Kudanganya wtz kuwa covid ipo hata kwenye mapapai dah...