SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Alikuwa muovu sana kiumbe yule, ila nyie wanyonge mnamuona ni mwamba mara shujaa wenu
Mwanasayansi aliyesoma kwa lugha ya kingereza lakini hakuweza kuongea hata sentence moja ya lugha hiyo iliyonyooka
Hiyo hiyo Corona ikamfyekelea mbali na nchi ikapona
Nafikiri naweza kuwasemea Watanzania wengi tu, kuwa Tunaheshimu michango yako, walakinHakuna Corona lakini akafa kwa Corona huyo shujaa wenu
Hoja yako hapo juu ni ipi? Iliyofanyika na angalau kasayansi...huoni kama unafokea kitu ambacho kimetengenezwa? Tena kwa Lugha yako 'Ushirikina'
Una Chuki kali sana. Pole. Lakini Allensi Ningefurahi ungenijibu kwa hoja badala ya hayo Uliyobandika.
Amani ikufikie