#COVID19 Nini hasa lilikuwa kosa la Hayati Magufuli kwenye ishu ya COVID-19 ?

#COVID19 Nini hasa lilikuwa kosa la Hayati Magufuli kwenye ishu ya COVID-19 ?

Juzi nimemsikia Samia akimsifia eti uchumi wetu haukushuka kwa sababu ya shujaa Magufuli hakufunga nchi kipindi cha COVID 19 huko nyuma aliungana na barvicha kumsema eti tumetengwa, Samia hana anachojua kwenye nchini hii

USSR
Shujaa wa mchongo a.k.a shujaa wa Sukuma gang
 
Reaction ya JPM kwny gonjwa la Corona anastahiki alama zote I.e mia fil mia

Allah alimpa ilhamu ya hali ya juu sana …alipata ujasiri na uthubutu wa hali ya juu sana kuliko wasomi, watabiri na waganga na waganguzi

Kile chuma kilikuwa na flavor yake ya kipekee sana hata Julius angekuwepo kuna mambo angetakiwa ajifunze kwa yule Mwamba


nime miss sana zile hotuba za kutoka moyoni ambazo ndio hasa za Rais

Ma Rais wote walikuwa wanahutubia Hotuba za Ikulu kasoro John peke yake ndo alikuwa anatoa hotuba zake mwenyewe …hata Julius Hotuba zake nyingi zilikuwa zinehaririwa na yule Katibu wake Bibi wa Kiingereza
Kuna watu huwa wanatamani kurudi gerezani hata baada ya kupata uhuru. Ajabu sana hii mtu anatamani kurudi enzi za giza. Anyway kila mtu na matamanio yake
 
Hamueleweki, ni huyo huyo Magu ndio aliteua wataalamu wengi kumsaidia kazi kuliko kipindi chochote kile.

Ndio wataalamu hao hao waliyoizamisha hii nchi tangu enzi na enzi.

Rangi kuu zipo nne, nyingine zote ni matokeo ya mchanganyiko wa rangi hizo, kama taifa, mpaka sasa, moja ya hizo rangi kuu ni Magu.
Jiwe alikuwa laana kwa taifa
 
Waliopata chanjo mpaka sasa ni wa kutafuta kama unatafuta mchanga kwenye mchele.

Magu alikuwa sahihi sana hata nchi za Ulaya wapo waliofata njia yake ya kupambana na corona.
So unadhani Ulaya hakuna watu kama wewe au Jiwe?
 
habari jf , JPM aliamini corona itaendelea kuwepo na tutaishi nayo kama yalivyo magonjwa mengine ,kiuhalisia ndivyo ilivyo corona ipo na idadi ya watu waliopata chanjo ni ndogo sana na watu walishapata kinga asilia sasa hivi sio tishio tena .lakini bado watu wakiwemo madaktari wanalaumu approach yake kwenye ishu .

Swali langu ni lipi lilikuwa kosa lake ?

Je, ni kutoweka lock down ?

Je, ni kupinga chanjo ?

Je, ni kupinga njia za kitaalamu kama kuvaa barakoa na njia hizi zilisaidia kwa kiasi gani sehemu nyingine ?

Kwangu Mimi mnyonge mnyongeni katika hili alistahili tuzo .
alikataa kuwa ugonjwa haupo,barakoa kutoka nje ya nchi zina corona
 
We ficha UPUMBAVU wako kwa kudhani Wazungu wote wana akili sana kuzidi weusi.
Kuna mambo ambayo hata wao wabaki midomo wazi yamegunduliwa huku kwa weusi.
Unaweza toa mfano?
 
Kosa lake ni kujua ubeberu unaoambatana na mbiu zinazopigwa mara kwa mara na shirika la afya duniani kwamba ni biashara kuliko hali halisi. Mnatiwa hofu ya hatari kuliko ukweli halafu mnauziwa kila takataka kwa bei ya ajabu. Tena bidhaa hizo mara nyingi sivyo mnavyoelezwa ni feki productcs kuwapatia faifa za kutisha kwa ukubwa. Zaidi ya hapo lockdowns za corona bila shaka ilikua mbinu kuharibu uchumi wa nchi nyingi.
And then kuna njama kubwa magufuli aliitambua. Hapa tz kuna watu walishajiandaa eti kusambaza chakula kwenye lockdowns. Niliwahi kuwasikia eti wangejitolea nikacheka kimyakimya.
Kuna watu mnajua kujizima data, yaani unaamini Jiwe alikuwa na akili kuliko wewe?
 
Hayat hakupinga Chanjo. Alitaka tupanue wigo la kutumia chanjo ambazo zingeweza kutengenezwa Barani Afrika. Inaeleweka kuwa hata kwa njia ya RNA ambayo imetokana na DNA za Wazungu ambazo tunatofautiana Jenetikali... zingeweza kutuleea madhara....nani asiyejua Watu wengi wana madhara kutokana na chanjo kuliko gonjwa lenyewe...ikiwa na pamoja na wale ambao walikuwa na matatizo ya moyo? alijuwa no one size fits all

Hakika hakupinga, alichosema na kusii Watanzania wafanye ni kutumia mbinu zinazoleweka kisayansi, kama vile, kutumia mivuke kama njia ya kupunguza makali ya virusi katika njia za kupumua i.e pua. Vilevile Alisii watu watengeneze Barakoa zao wenyewe badala ya kutegemea Barakoa zilizotoka nje(kwa madeni) ambazo kwa wakati ule hazikuwa ni za Uhakika kama zinaweza kupunguza makali ya maambukizo. Leo hii sintofahamu zake kuhusu hizo Barakoa zimefanyiwa utafiti na Hayati Raisi alikuwa sawia kukataa hizo barako, hakukataa njia za kitaalamu...hao wanaodai hayo ni wapotoshaji!

Hawezi pata tuzo unayodai wewe.

Atapata tuzo kwa maono na maangalizo ya Mbaaali sana.

Hayati alikuwa anona mbali sana. Ila kwa mantiki uliyotumia,hapana.
Kwani hakukataa na wala kupinga ushauri wa wanasayansi wenzake. Period
Hakukataa uwepo wa Uviko Tanzania.


Kiuhalisia, alichokataa kata kata ni kutangaza hali ya hatari kwa jamii ya Mtanzania. Alichokataa was to Declare a National Emergency ambayo ingefungua bahasha kuu Kumwagiwa mikopo yenye masharti magumu, alichokataa ni kuwa, kwa kufungua hiyo mibahasha, madeni ambayo Watanzania tungekuwa nayo, ingetufanya maskini na watumwa kwa makampuni ya madawa kutoka nje. hebu...
Piga hesabu ya fedha kiasi gani nchi kama ya Uingereza imetumia....kuagiza barakoa, na za chanjo kwa wananchi wake! Je tungeweza? kama tungefungua mabahasha yanayoambatana na Declaration of Emergency....?

Niongeze tu, nchi nyingi zilibidi zifanye jitihada za kutengeneza chanjo na barakoa zao wenyewe badala ya kuwa na madeni makubwa kutoka China ambayo ndio ilikuwa, inazalisha Barakoa pamoja na Vipima au vipimio vya Uviko 19.

Je, kiuhalisia leo hii tungeweza kutoa pongezi kwa Rais SSH? tuwe wakweli tungeweza?

Hizi kampeni za kumfanya Hayat Rais kuwa alikosea na hivyo apewe tuzo la kukosea ni dhahiri mna chuki. Ni dhahiri hayo aliyoyakataa ilifinya mirija ya Unyonyaji.


Aluta Continua

....
Wewe ndiyo wale wale mnao amini ushirikina badala ya science.
 
habari jf , JPM aliamini corona itaendelea kuwepo na tutaishi nayo kama yalivyo magonjwa mengine ,kiuhalisia ndivyo ilivyo corona ipo na idadi ya watu waliopata chanjo ni ndogo sana na watu walishapata kinga asilia sasa hivi sio tishio tena .lakini bado watu wakiwemo madaktari wanalaumu approach yake kwenye ishu .

Swali langu ni lipi lilikuwa kosa lake ?

Je, ni kutoweka lock down ?

Je, ni kupinga chanjo ?

Je, ni kupinga njia za kitaalamu kama kuvaa barakoa na njia hizi zilisaidia kwa kiasi gani sehemu nyingine ?

Kwangu Mimi mnyonge mnyongeni katika hili alistahili tuzo .
Hakuna kosa hata moja, akili ya magufuli ilikuwa kubwa kiasi kwamba hakueleweka,ila kwa sasa hata weupe wamemuelewa ndo maana kombe la dunia limepigwa na kuhudhuliwa na maelfu na kati ya hao wenye barakoa walikuwa wanahesabika.
 
Kosa la Mwamba Magufuli lilikuwa kuwaacha Watanzania waendelee kujitafutia chakula chao cha kila siku wao na familia zao badala ya kujifungia ndani. Sasa wako hai yeye ameenda zake ndio wanamsema vibaya. Lakini, Historia itamkumbuka!!
Alikuwa muovu sana kiumbe yule, ila nyie wanyonge mnamuona ni mwamba mara shujaa wenu
 
Ni vizuri

Umejirudi....Hayati hakuwa mwanasiasa-that is a fact. Hayat alisomea taaluma iliyogusa Virusi.-That is a fact.

Hayat alikataa masharti na mashinikizo ya wazungu-that is a fact. A Spade is a Spade We can sugarcoat and be politically correct but the end of the day....it will remain a cultural war!

Again, iwe ni Mungu, Iwe ni Wataalamu, iwe ni wanasayansi, Ukweli unabakia kuwa Mzungu sio Mungu, Mzungu sio mwanasayansi pekee, mzungu sio mtaalamu pekee katika dunia ya wengi. Madai yenu mara ni Mungu, mara wanasayansi, mara ni wataalamu does not negate the facts that you're conveying a message of "He defied Authority" and that Authority is only bestowed by God to his Choosen Children....someni mnayoandika...mmejaa kudai "Supremacy" over the like of the late President....in reality you just playing with words short of saying "He shouldn't have to mess with a White man"

I know for a fact, you cannot even refute my argument, because it will just chip on your ego and take away one thing you hold dearly in your chain of thoughts.....That you are Supreme. And by refuting you become less....Anathema will devour you!

That said...

Well, not here in Tanzania. Hatutaweza kusujudu na kukubali utumwa mamboleo, kama mnavyodai kwenye jumbe zenu....'Hatutakubali Kamwe litokee tena Afrika au Tanzania"

Aluta Continua
Mwanasayansi aliyesoma kwa lugha ya kingereza lakini hakuweza kuongea hata sentence moja ya lugha hiyo iliyonyooka
 
Huo ndio Upotoshaji wenyewe.
Madai yako kuwa Mzungu ndiye alietupa maisha kwamba Mzungu ndio Muumba....yaani unadai Mzungu ndio Mungu? mbona hamsemi waarabu ndio waliowafundisha herufi, mbona hamsemi wahindi ndio waliowafundisha Hesabu, mbona hamsemi mbinu nzuri na bora za Kivita mmezitoa Afrika Uchina?
Mbona hamsemi hayo madawa mnayotumia mnayatoa katika misitu yetu? Jitathmini,
Kwanini usiseme wewe?
 
Mbona Marekani na Nchi nyinginr ulaya zilikuwa zina shawishi kuwasha nyungu Kwenye chumba chako? Unajua ni Vyombo vingapi vilivyoanzishwa na teknoljia ya nyungu?

Huwezi ukaenda hospitali ukadai una Covid bila ya kuulizwa kama una mafua? au la au Una homa? Kikohozi? n.k msibadilishe lugha aliyotumia.

Mnabeza
Acha ujuha
 
That is a valid Question. Maswali hayo yanaulizwa leo hii na Jamii zilizoathirika ma Ukimwi. Maswali hayo yanaulizwa na Madaktari wengi, hata viongozi wengi Duniani...Kwanini?

na sababu kubwa ya kuiliza hayo ni muonekano wa hatua kubwa iliyopigwa katika utafiti wa Chanjo na madawa mengine ya kutibu magonjwa Sugu kama Ukimwi...Jiulize kwa nini teknoljia hiyo iliyotumika isitumike kwenye Virusi vingine kama virusi vya Ukimwi?

Mpaka sasa, Uwezekano wa Chanjo hiyo Upo....

Hata Joe Biden wa Marekani ameuliza hayo Kwanini? na Ametangaza kufikia miaka michache baaadae makampuni ya dawa yawe yamefanya hivyo, akiwa anamaana anajua Teknolojia ipo!


Kweli kabisa, yaani watupende tu wakati historia inaonyesha Udhalimu na Uhasama dhidi ya wote wasiofanana nao?

....Aisee, hoja yako ni nini haswa?
Sasa hiyo chanjo ya Ukimwi si mkachukue huko Madagascar, nyie si mnaamini sna ushirikina kuliko science, asante sana Corona kwa ilichokifanya kwa yule dhalimu ila nitoe pole sana kwa wahanga wengine
 
Kosa lake ni kuwaharibia mchongo ambao walikuwa wanatakiwa kuongeza panic katika jamii kwa kuripoti vifo vya uongo na kujaza mkeka wa COVID-19 uonekane kila siku unaondoka na watu.

Na pia wao wakifanya hiyo kazi walikuwa na mafungu yao ya pesa ili wapate mgao.
Hiyo hiyo Corona ikamfyekelea mbali na nchi ikapona
 
Hakuna kosa hata moja, akili ya magufuli ilikuwa kubwa kiasi kwamba hakueleweka,ila kwa sasa hata weupe wamemuelewa ndo maana kombe la dunia limepigwa na kuhudhuliwa na maelfu na kati ya hao wenye barakoa walikuwa wanahesabika.
Hakuna Corona lakini akafa kwa Corona huyo shujaa wenu
 
Back
Top Bottom