Hamueleweki, ni huyo huyo Magu ndio aliteua wataalamu wengi kumsaidia kazi kuliko kipindi chochote kile.Kosa la Magufuri ni kutowasikiliza Wataalam mfano madaktari na wanasheria kwa mMagufuri walikuwa ni takataka.
Ndio wataalamu hao hao waliyoizamisha hii nchi tangu enzi na enzi.
Rangi kuu zipo nne, nyingine zote ni matokeo ya mchanganyiko wa rangi hizo, kama taifa, mpaka sasa, moja ya hizo rangi kuu ni Magu.