Nini hasa maana ya utu?

Nini hasa maana ya utu?

Kwa faida ya wale ambao hawaifahama universal declaration of human rights ..........iwaongezee hazina katika mjadala huu

Asante Mkuu. Wako watakao-question kama UDHR is legally a binding instrument. The cultural relativists watakuambia human rights are not universal but culturally relative. Waafrika and I am sure Mh Membe na viongozi wengine wa Kiafrika watakuambia kuwa human rights are culturally relative; they must be relative to our culture. Otherwise, tungekuwa tumeshamkubalia Cameron long time. lol

Hata hvyo, the universalits watakuambia UDHR now forms part and parcel of customary international law and that it is also incorporated in our constitution which, of course, is true. Lakini ma-positivists watakuambia whether or not UDHR now forms part and parcel of customary international law, such international law is already law improperly so called. Unlike national laws, it is tough to enforce international law. Na ukilangalia ni kweli. Na katiba yetu karibia kila Ibara inaanza na "Bila kuathiri sheria nyingine za nchi", blaa blaa blaa. Agggrrrrrrrrrrr. We need a new Katiba ili tumwekee na Gaijin kifungu cha maana ya utu. lol
 
Emotional intelligence ni sehemu ya Utu (with capital U, to underline the broad concept as opposed to msamiati wa kawaida).
Kusema tu ukweli mi sikua nafatilia uzi huu toka mwanzo na sasa hata sijui nianzie wapi kuchangia, so nitakupa maoni kwa PM maana sitaki kurudia yalio semwa au kuchangia in an opposite direction...

RR na mimi nitaomba CC ya PM utayomtumia EMT lol
 
Badala ya kuongea pumba na kuharibu thread nzima nimeona niwapishe great thinkers maana thread zenye points kama hii sio nyingi siku hizi. Then after PMs with Azimio Jipya nimeona niandike tu, if it is not a usefull contribution it will, at least, express my point.

Mi nadhani naelewa maana ya Utu ila nashindwa kutafsiri katika maneno. Ngoja nitoe mfano:
Nikiskia clouds FM wanarusha wimbo wa lady JayDii na nikaguswa na wimbo wenyewe, alafu kesho nikuone nianze kukwambia: unakumbuka jana nilivo jiskia nilipo skia ule wimbo? utasema "no" unless na wewe uwe uliwasha radio, ukaweka clouds FM, ukamsika Lady Jaydii na ukaupenda wimbo. then utasema" yeah, hata mimi nilijazwa".
Utu is the consciousnes from within that makes all human part of humanity. It is the individual part within all human being that is in tune with other human beings and echoes with their own conscieousness and makes them part of humanity, just like us.

If kwa sababu moja au nyingine mtu mmoja anazaliwa na anakua bila kua na mtu mngine karibu yake, itakua vigumu kujua Utu wake ni kiasi gani sababu Utu unaweza kukua au kupungua only when expressed. Kweli ana Utu ndani yake ila ni vigumu kuuona huo Utu wake.

hivo kila mtu ana Utu ila namna ya kuuskiliza, na ku-express Utu kuna tofautiana.
In an ideal world watu wote watakua tuned on the Utu chanel, na wote tunaskia the same song, we dance on the same tune na ndio Harmony and symbiosis.

Naandika tu, ila sijui kama I make sense...
 
Duh! Nilienda kupima utu wangu kidogo tu nimerudi thread ishafika huku!

I will be back

Hee heee. Vipimo vinasemaje? Umekutwa una afya safi ya utu" aka "emotional intelligence"? Au umefanyiwa referral baada ya afya ya utu kuwa mbaya? lol
 
Hee heee. Vipimo vinasemaje? Umekutwa una afya safi ya utu" aka "emotional intelligence"? Au umefanyiwa referral baada ya afya ya utu kuwa mbaya? lol

Kazi ni kipimo cha utu. As long as I'm working na sijitaji kuomba, utu wangu upo intact kwa mujibu wa katiba ha ha ha!
 
@RussianRoulette,

Hapo kwenye red tunaweza kusema utu is an abstract term?


RR na mimi nitaomba CC ya PM utayomtumia EMT lol

Hizo PMs ni exclusive and highly sensitive. lol
 
Kazi ni kipimo cha utu. As long as I'm working na sijitaji kuomba, utu wangu upo intact kwa mujibu wa katiba ha ha ha!

Hapo kwenye red bila kuathiri sheria nyingine za nchi.
 
Katiba inasema sheria zipo kulinda HAKI na UTU wetu. Linapokuja suala linalolazimisha kulindwa moja tu kipi kati ya hivyo kinapewa kipa umbele?

Kwa mfano Uislam unasema "kisasi ni haki. Huru kwa huru, jicho kwa jicho...."

Lakini utu unakataza kumuua mtu aliyeuwa (the jury is still out but let's take Cathode Ray's stance for the moment)

Nchi itazingatia nini hapa? Kumpa mtu asiyemhalifu haki yake ya msingi au ita preserve utu wa asiyekuwa na utu?
 
Hapo kwenye red tunaweza kusema utu is an abstract term?
Utu (na vitu vyote vinavyo husu Utu) ni a broad concept ambayo ndani yake ina theories, ina practice, ina schools of thoughts etc. It is a Paradigm by itself.
 
RR

Hata watu wote wakisikiliza mziki mmoja kwa wakati mmoja basi hisia watakazopata ni tofauti kutokana na vitu kadhaa vya ki-background kama mtu kashiba au ana njaa, kaoga au la, mrefu au mfupi, anatumia mkorogo or not na mengineyo mengi (lol)

Hata kama utu tulizaliwa nao, lakini utakuwa shaped na vitu vinavuotuzunguka kiasi cha kuwa hakuna kitu kama "utu wa Kiafrika" wala "utu wa Kitanzania"
 
@RussianRoulette,

RR, Narudia tena nimeguswa sana na posting zako na indeed am very interested na subject but please ..amnt the authority ..honestly sijui kama naweza kueleza Utu kirahisi as you do!! Nafikiri najua what it is and can detect it kwa mtu mwingine ..na hata kujua ...huyu can do better ..lakini ..siwezi kueleza kama wewe...ona nimekwepa ..muda wote kujaribu ku define.. Ghafla I saw ..ulivyoeeza..and I said hahh ..nilitaka... kusema kama wewe.. ambayo ni sawa na mfano wa LJD!! Yaani ..Ninahitaji UTU kutambua UTU wa mtu mwingiine kind of ...!!
 
RR, Narudia tena nimeguswa sana na posting zako na indeed am very interested na subject but please ..amnt the authority ..honestly sijui kama naweza kueleza Utu kirahisi as you do!! Nafikiri najua what it is and can detect it kwa mtu mwingine ..na hata kujua ...huyu can do better ..lakini ..siwezi kueleza kama wewe...ona nimekwepa ..muda wote kujaribu ku define.. Ghafla I saw ..ulivyoeeza..and I said hahh ..nilitaka... kusema kama wewe.. ambayo ni sawa na mfano wa LJD!! Yaani ..Ninahitaji UTU kutambua UTU wa mtu mwingiine kind of ...!!
Well, mi mchango wangu ni kwamba we can only define Utu by saying when it is not Utu, na pia by saying what Utu brings us katika maisha.

Na kurudi swala la leadership Tanzania, huyo leader Mwenye Utu atakua leader ambae hafanyi hayo mbambo (ambayo yanatokea pasipo kua na Utu) na ambae anatuongezea vitu vinngine (ambavyo vinakuja wakati kuna Utu).
Then from there tuanze kuvitaja hivyo vitu na kujadili kama kweli kitu fulani ni part of Utu au sio part of Utu.
Emotional Intelligence is Definitely part of Utu (to me). Compassion, sociability, tolerance, proactive assistance, love, careness, kindness, forgiveness, indulgence, etc.

Kuna vitu karibu sana na Utu ila sio utu. kama ustaarabu, uungwana, etc. they are (or not) part of it but they are not synonymes .

RR

Hata watu wote wakisikiliza mziki mmoja kwa wakati mmoja basi hisia watakazopata ni tofauti kutokana na vitu kadhaa vya ki-background kama mtu kashiba au ana njaa, kaoga au la, mrefu au mfupi, anatumia mkorogo or not na mengineyo mengi (lol)

Hata kama utu tulizaliwa nao, lakini utakuwa shaped na vitu vinavuotuzunguka kiasi cha kuwa hakuna kitu kama "utu wa Kiafrika" wala "utu wa Kitanzania"
True that. Kuna watu wanahisi hakuna kitu chochote duniani ambachi ni absolute truth, or absolute false. kila kitu kina tegemea mazingira. Kama ni kweli basi hata hiyo idea (kwamba hakuna kitu chochote ambacho ni kweli) inaweza kua challenged. Complete relativism undermines its own validity as a theory.
Mi naamini kuna set of values, set of truth, set of 'common sense' ambazo kila binadam anavyo. na hivyo vitu vyote pamoja, na akili ya kuvitumia kwa kutokana na mazingira, na kuweza kuvibadilisha ili uendelee kuweka harmony kati ya wewe na watu karibu yako ndio UTU wenyewe sasa. It is very broad and complex, yet it is very accessible.
 
@RussianRoulette,

RR thanks for this..!

I had a question ... Kwa sisi kujua maana ya UTU inaweza kutusaidia nini in our society? Kwani mtu asiyejua ...anahasara..
 
RR thanks for this..!

I had a question ... Kwa sisi kujua maana ya UTU inaweza kutusaidia nini in our society ... ? Kwani mtu asiyejua ...anahasara..
Kwa mtazamo wangu hakuna mtu asie jua maana ya UTU, sema anaweza kuamua kuto tumia UTU wake, ila umo ndani yake na anaelewa maana yake. Mtu kama huyo ameamua kujishusha katika kiwango cha Utu na matokeo yake ni kwamba jamii (umoja wa watu wanao mzunguuka) na yeye watakua wanasikiliza mziki tofauti. Kuna vitu akatavyotaka yeye ila visiwe "fit" kwa jamii na vitu jamii itataka ila visimfai yeye.

Hasara ya mtu mwenye kukosa UTU ni kuonekana amekosa Utu (ambayo peke yake itawafanya watu kujitenga nae na kumuona mbaya wao). Hasara nyingine ni kukosa msaada. Hakuna watu wengi watakao muunga mkono katika maswala yake yenye kukosa Utu. na kama ataweza kuwaelewesha watu wote kwenye jamii namna gani hoja lake linaungana na utu basi atakubaliwa tena na jamaa.

Mr Cameron anajaribu sasa hivi kuonesha kwamba binadamu kumpenda binadamu mwenye jinsia yake hajakosa utu (wengi wanasema ni 'unyama' as opposed some times to Utu). kama ataweza kuelewesha jamii ya tanzania kwamba hakuna uhusiano kati ya homosexuality na kupoteza utu basi homosexuals watakubalika kirahisi na wataoneshwa Utu (support, proactive assistance etc)
 
@RussianRoulette,

Naungana na wewe kuwa hakuna Mtu asiye jua maana ya UTU. (Unless ni Myama ..) Pia naamini kuwa kuna Mtu anaweza kutotumia UTU! Na ofcourse ..kama ulivyoeleza inamadhara kwenye jamii!

Kwa hiyo Mimi nataka kusema kuwa kuna Watu wanaasi UTU wao kwa makusudi fulani na hawa wanapelekea matatizo ya kijamii. Niko interested kujua kuwa hivi hawa tunawafanyaje especially unakuta ni kiongozi wa ngazi ya Juu!
 
Naungana na wewe kuwa hakuna Mtu asiye jua maana ya UTU.(Unless ni Myama ..) Pia naamini kuwa kuna Mtu anaweza kutotumia UTU! Na ofcourse ..kama ulivyoeleza inamadhara kwenye jamii!

Kwa hiyo Mimi nataka kusema kuwa kuna Watu wanaasi UTU wao kwa makusudi fulani ...na hawa wanapelekea matatizo ya kijamii ... Niko interested kujua kuwa hivi hawa tunawafanyaje...especially unakuta ni kiongozi wa ngazi ya Juu!!
Hapo juu kidogo Gaijin alisema kuna watu wanatumia talion: an eye for an eye...
Nadhani penal system nzima inatatizo kubwa la ku-balance Utu na kanuni za social life. Ukifanya makosa unafungwa, hivo alie kufunga ameshusha kiwango cha utu na kutumia vigezo vingine kwa kusalimisha jamii. Iran mwanamke akidhini anapigwa mawe hadi afe.

Shida linatokea pale watu wanaposhusha utu wao kuliko alie kosea: mfano mtu anaiba kitumbua sokoni sababu ya njaa alafu anakatwa mkono, kosa kaiba.

Na viongozi wanapo shusha utu wao kuliko watu wanao waongoza (hata kama wamekosea) wanaonekana kua wanaongoza vibaya. Kuna kosa zingine hazihusishi kupunguza utu, bali zinavizia kuuongeza. mfano: mtu kuandamana kwa kutetea haki yake hajashusha utu, anauongeza (dignity) na akifaulu atakua amewasaidia na wengine ku-express haki zao kwa hiyo kuna ushujaa pia ndani yake. Ila kiongozi anashusha utu wake kwa kumnyima raiya huyo 'agency' yake (agency ikiwa hability ya kujitakia na kujitafutia mabadiliko).

Solution ni kumchagua kiongozi ambae anaonekana kua na Utu (kwa vigezo vyako na vigezo vya jamii yako) na kama bahati mbaya atabadilika huko mbele basi aondoke/aondolewe.

Mtu kama Gadafi alikosa utu kwa kuwaua raia wa libya for personnal reasons (alitaka abaki madarakani) na waasi walikua na haki ya kutumia 'agency' yao kumuondoa madarakani ila walivo mtendea baadae, na wanavo watendea watu wa sirte wamekosa utu pia.
 
@RussianRoulette, inamake sense sana! Utu unaweza kuelelezwa pale tu penye binadamu na matukio. huwezi kueleleza Utu katikati ya kundi la wanyama !
 
Back
Top Bottom