Nini hasa sababu ya magari aina ya toyota brevis kuwa na bei ndogo linapouzwa hapa nchini au kwa madalali?

Nini hasa sababu ya magari aina ya toyota brevis kuwa na bei ndogo linapouzwa hapa nchini au kwa madalali?

Mzee umemaliza Kila kitu .. ni kwel brevis ni gari nzuri ila kwasasahv ni kama Old fashion ndo maana watu wanakimbilia crown .. nazan hata miaka ya mbele hata crown itakuwa bei rahisi pia,
Ameelezea vizuri sana nadhani wakati ukifika wa kufanya maamuzi nitamfata pm
 
1. Naomba kwanza nikukosoe Premio yenye Cc nyingu ni 1900 na kitu iv na sio 2500 kama Brevis
2. Twende kwa mada sasa
Kwanza hizi gari zinaenda na upepo(ilianza Verrosa ikaja Brevis ikaja Mark x na sasa inasumbua Crown)
Hizo zote ni saloon car za cc 2500
Ni gari nzur hasa ndani(very comfotable car na sababu zina engine kubwa basi ndani ac inakuwa kubwa na kuifanua gari iwe safi na tam muda wote)
Kwann bei zake ziko chini kwa madalali
1. Brevis kama Verosa ni toleo la muda kwenye saloon car kwa hapa bongo watu washazichoka haziko kwa fasion na Crown ndo iko kwa fassion
2. Cc 2500(hali ya uchumi si nzur hivyo watu wanapenda kupata magari yanayoendana na kipato chao nf mtu anaishi bunju au tegeta akitumia hizo saloon car anaweza kuwa anatumia mpk mafuta ya 50000 kwa siku hii anayemudu awe mfanyabiashara tena awe vzr mfukon
So ukichukua sababu ya kuaa old fasion na matumizi makubwa ya wese ndo maana watu hawana mpango nazo
Pengine hujawahi kumilik hata baiskel Ila
hapa una-google na kubwabwaja tu
 
Habari za mchana wakuu?

Nimekuwa nikifatilia uuzwaji wa magari hasa katika page za instagram na facebook za madalali, baadhi ya thread humu jamvini na hata katika majukwaa ya minada kama kupatana n.k.

Lengo la kuandika huu uzi ni kupata ukweli wa kuhusu chanzo au sababu ya magari aina ya TOYOTA BREVIS kuwa na bei ndogo katika maeneo hayo tofauti na yakiwa mapya.

Nini sababu ya bei yake kushuka sana?

Nini sababu ya watu kutoa onyo kali endapo mtu akionesha hatua ya kutaka kumiliki gafi hizi?
Sasa wewe unasema bei ndogo halafu hata hutaji ni sh ngapi tutaelewa nini sasa?
 
CC huwa hazitofautiani sana na crown au premio na mara nyingi premio na crown zinakuwa na CC kubwa kuliko hiyo brevis.

Upande wa maintence ni kipi hasa kinafanya BREVIS iwe juu wakati wajuvi mnasema gari nyingi za toyota zinashare spare parts?

Upo serious wewe???
 
Kwa hiyo kulihudumia brevis ni gharama zaidi?
Gharama kubwa unazoweza kuingia ni za uendeshaji (mafuta).

Zingine ni wakati wa maintenance. Kwa sababu ni engine kubwa tegemea itumie oil zaidi, coolant zaidi, spark plugs mbili zaidi ya gari pendwa za cylinder 4, ingawa vitu vingine gharama zinashabihiana tu, kama brakes na makorokoro aina hiyo. Zaidi inabidi niende ku'gugu' kujua tarakimu.
 
Gharama kubwa unazoweza kuingia ni za uendeshaji (mafuta).

Zingine ni wakati wa maintenance. Kwa sababu ni engine kubwa tegemea itumie oil zaidi, coolant zaidi, spark plugs mbili zaidi ya gari pendwa za cylinder 4, ingawa vitu vingine gharama zinashabihiana tu, kama brakes na makorokoro aina hiyo. Zaidi inabidi niende ku'gugu' kujua tarakimu.
Asante mkuu barikiwa
 
Tangu mdogo nilikuwa na ndoto niishi kitajiri kama John Kaboko hata mbuyu ulianza kama mchicha polepole nami nitafika - Imma Dreamer

Crown Athlete Inshallah.


 
Pengine hujawahi kumilik hata baiskel Ila
hapa una-google na kubwabwaja tu

Ni sahihi pia bos ilimradi mtu kauliza na nina uelewa kdg wa kumsaidia majibu ndo maana nimejibu
Samahan kama kujibu kwangu kumekukwaza kwa namna moja au nyingine(ila ujue mtu anaweza awe hajawah miliki hata baiskel ila akawa fundi garage na akawa na uelewa wa magari)
 
Brevis tafsiri yake ni maisha mafupi. Hii ni hao walioitengeneza ndo waliipa hilo jina kwa sababu wanazojua wao na hawakuendelea na uzalishaji. Ni gari zuri likiwa jipya, halina bei sababu ni gari za fashion, ni kama cresta na chaser au verossa yalivyotamba na kushuka bei. Pia ni kazi kulitunza, Master tu ile inayohusika na break inafanana na ya Toyota LC na bei ni ghali.

"The word "brevis" is Latin for "brief, a short amount of time or duration".
 
Back
Top Bottom