mashinetata
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 391
- 896
- Thread starter
- #41
Busara[emoji1666]Ni sahihi pia bos ilimradi mtu kauliza na nina uelewa kdg wa kumsaidia majibu ndo maana nimejibu
Samahan kama kujibu kwangu kumekukwaza kwa namna moja au nyingine(ila ujue mtu anaweza awe hajawah miliki hata baiskel ila akawa fundi garage na akawa na uelewa wa magari)