Nini hasa sababu ya magari aina ya toyota brevis kuwa na bei ndogo linapouzwa hapa nchini au kwa madalali?

Nini hasa sababu ya magari aina ya toyota brevis kuwa na bei ndogo linapouzwa hapa nchini au kwa madalali?

Ni sahihi pia bos ilimradi mtu kauliza na nina uelewa kdg wa kumsaidia majibu ndo maana nimejibu
Samahan kama kujibu kwangu kumekukwaza kwa namna moja au nyingine(ila ujue mtu anaweza awe hajawah miliki hata baiskel ila akawa fundi garage na akawa na uelewa wa magari)
Busara[emoji1666]
 
Brevis tafsiri yake ni maisha mafupi. Hii ni hao walioitengeneza ndo waliipa hilo jina kwa sababu wanazojua wao na hawakuendelea na uzalishaji. Ni gari zuri likiwa jipya, halina bei sababu ni gari za fashion, ni kama cresta na chaser au verossa yalivyotamba na kushuka bei. Pia ni kazi kulitunza, Master tu ile inayohusika na break inafanana na ya Toyota LC na bei ni ghali.

"The word "brevis" is Latin for "brief, a short amount of time or duration".
Master inayo husika na break inafanana na land cruiser au nimeelewa vibaya[emoji15].

Kwa hiyo unamshaurije mtu anae taka kumiliki hii gari mkuu?
 
Master inayo husika na break inafanana na land cruiser au nimeelewa vibaya[emoji15].
download (6).jpeg

Sijui bei ya sasa ila kipindi hicho wakati nina hii gari ilipokufa bei ilikuwa Tsh 800,000/= mtumba na ya LC pakti ilikuwa bei hizo hizo na according to mechanic unaweza ifunga kwenye LC na ikakubali. Mpya ilikuwa haishikiki. NB: Picha nimegoogle.
Kwa hiyo unamshaurije mtu anae taka kumiliki hii gari mkuu?
Sio gari baya, mtu amiliki tu kama analipenda. Ila usinunue gari kwa kuangalia watu, nunua kwa ajili yako kwa kuangalia matumizi ya hilo gari, kipato chako na uwezo wako wa kutunza na kulihudumia gari husika.
 
Me nataka harrier au Nissan x trail nambieni Bei ya chini kbs shingapi zinapatikana kwa Sasa ...mwanzo nilikuwa natamani allteza na hizi brevis ila naona nisha cancel mmenitisha kwenye ulaji wa mafuta.
 
View attachment 2089983
Sijui bei ya sasa ila kipindi hicho wakati nina hii gari ilipokufa bei ilikuwa Tsh 800,000/= mtumba na ya LC pakti ilikuwa bei hizo hizo na according to mechanic unaweza ifunga kwenye LC na ikakubali. Mpya ilikuwa haishikiki. NB: Picha nimegoogle.

Sio gari baya, mtu amiliki tu kama analipenda. Ila usinunue gari kwa kuangalia watu, nunua kwa ajili yako kwa kuangalia matumizi ya hilo gari, kipato chako na uwezo wako wa kutunza na kulihudumia gari husika.
Shukrani mkuu barikiwa sana, kama nitakuwa na swali lolote nitakuuliza zaidi[emoji120]
 
Uchumi mkuu. Huku 'kwetu' 1JZ au hata 2JZ ni dili hasa; hata kama gari lenyewe likiwa juu ya mawe wadau wanaifanya project car au wanaidumbukiza kwenye kagari kengine mradi tu JZ isife kifo cha kinyonge. Heri ife kishujaa, ikitema horsepowers.
Malizia kwa kusema zenye dili ni 1JZ/2JZ-GTE na sio hizi 1JZ/2JZ-GE au 1JZ/2JZ-FSE zilizojaa huku bongo
 
Me nataka harrier au Nissan x trail nambieni Bei ya chini kbs shingapi zinapatikana kwa Sasa ...mwanzo nilikuwa natamani allteza na hizi brevis ila naona nisha cancel mmenitisha kwenye ulaji wa mafuta.

Me nataka harrier au Nissan x trail nambieni Bei ya chini kbs shingapi zinapatikana kwa Sasa ...mwanzo nilikuwa natamani allteza na hizi brevis ila naona nisha cancel mmenitisha kwenye ulaji wa mafuta.
Unaacha gari nzuri Alteza....

3sge ni moja kati ya powerfull engines ya 4 cylinder kwa sababu ya double Dual Vvti huku ikikupa unafuu kwenye mafuta ukilinganisha na engine kama hiyo ambayo ina single vvti.

5 speed transmission....

Kama shida ni yale makelele aka Bunda kuna wadau wanaweza kulipoteza na gari ikatulia kabisa.
 
Ni sahihi pia bos ilimradi mtu kauliza na nina uelewa kdg wa kumsaidia majibu ndo maana nimejibu
Samahan kama kujibu kwangu kumekukwaza kwa namna moja au nyingine(ila ujue mtu anaweza awe hajawah miliki hata baiskel ila akawa fundi garage na akawa na uelewa wa magari)
Take it easy Bro! JF usiwe serious sana
 
Malizia kwa kusema zenye dili ni 1JZ/2JZ-GTE na sio hizi 1JZ/2JZ-GE au 1JZ/2JZ-FSE zilizojaa huku bongo
Aiseee 1JZ/2JZ-GE sijabahatika kuziona huku kwetu. Maana kama ingekuwepo sijui watu wangeibatiza jina gani ikiwa 1JZ/2JZ-FSE ambayo ina unafuu kwenye mafuta sababu ya direct injection watu wanaiita jini.
 
Aiseee 1JZ/2JZ-GE sijabahatika kuziona huku kwetu. Maana kama ingekuwepo sijui watu wangeibatiza jina gani ikiwa 1JZ/2JZ-FSE ambayo ina unafuu kwenye mafuta sababu ya direct injection watu wanaiita jini.
Bila shaka mkuu ulikua unamanisha ambazo hujaziona huku kwetu Ni 1JZ/2JZ-GTE na sio 1JZ/2JZ-GE Kama ulivyoandika hapo juu.
 
Nimeona mahali juzi Crown Namba D kwa dalali bei anaanzia 6.5 nikahisi lbd ina ishu lbd kwenye mashine au ishapata ajali. kumbe ndio zishaanza kumbwela

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa dalali ndo bei hiyo,je mwenye gari mwenyewe itakua ni chini mno.......kuna dogo namjua alinunua kwa 6.7 na akaiendesha toka Dom kuileta hapa jijini na ilifika bila ttzo
 
CC huwa hazitofautiani sana na crown au premio na mara nyingi premio na crown zinakuwa na CC kubwa kuliko hiyo brevis.

Upande wa maintence ni kipi hasa kinafanya BREVIS iwe juu wakati wajuvi mnasema gari nyingi za toyota zinashare spare parts?
Premio ipi ..ina engine kubwa kuliko brevis ,, unasemea zile 1.5L 1.8L na 2.0?
 
Bila shaka mkuu ulikua unamanisha ambazo hujaziona huku kwetu Ni 1JZ/2JZ-GTE na sio 1JZ/2JZ-GE Kama ulivyoandika hapo juu.

Zilizopo Bongo nyingi ni 1JZ/2JZ-FSE sababu hizi ndio zinatengenezea kwa soko la Japan


1JZ/2JZ-GE kwa masoko kama China


1JZ/2JZ-GTE kwa soko la mzungu...


The same kwa engine za GR

Ushakutana na 4GR-FE kwenye crown za Bongo. Nyingi unazoziona ni 4GR-FSE....
 
Premio ipi ..ina engine kubwa kuliko brevis ,, unasemea zile 1.5L 1.8L na 2.0?
Nadhani nikikosea mkuu, wamesha nisahihisha!
Lakini kwa maelezo yako lazima unalo la kusema kuhusu hizi gari, naomba maoni yako ukiwa na muda[emoji120]
 
Zilizopo Bongo nyingi ni 1JZ/2JZ-FSE sababu hizi ndio zinatengenezea kwa soko la Japan


1JZ/2JZ-GE kwa masoko kama China


1JZ/2JZ-GTE kwa soko la mzungu...


The same kwa engine za GR

Ushakutana na 4GR-FE kwenye crown za Bongo. Nyingi unazoziona ni 4GR-FSE....
Zilizopo Bongo nyingi ni 1JZ/2JZ-FSE sababu hizi ndio zinatengenezea kwa soko la Japan


1JZ/2JZ-GE kwa masoko kama China


1JZ/2JZ-GTE kwa soko la mzungu...


The same kwa engine za GR

Ushakutana na 4GR-FE kwenye crown za Bongo. Nyingi unazoziona ni 4GR-FSE....
Mbona 1JZ/2JZ-GE ziko nyingi mno hapa bongo kwny altezza,cresta,mark 2,chaser,Progress,Crown na majesta(bongo tunayaita Yale old model) etc
 
Back
Top Bottom