JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Mbona 1JZ/2JZ-GE ziko nyingi mno hapa bongo kwny altezza,cresta,mark 2,chaser,Progress,Crown na majesta(bongo tunayaita Yale old model) etc
Premio ipi ina cc 2500 mpaka 3000??CC huwa hazitofautiani sana na crown au premio na mara nyingi premio na crown zinakuwa na CC kubwa kuliko hiyo brevis.
Upande wa maintence ni kipi hasa kinafanya BREVIS iwe juu wakati wajuvi mnasema gari nyingi za toyota zinashare spare parts?
Pengine walimaanisha brief/short 0-100 kph time.Brevis tafsiri yake ni maisha mafupi. Hii ni hao walioitengeneza ndo waliipa hilo jina kwa sababu wanazojua wao na hawakuendelea na uzalishaji. Ni gari zuri likiwa jipya, halina bei sababu ni gari za fashion, ni kama cresta na chaser au verossa yalivyotamba na kushuka bei. Pia ni kazi kulitunza, Master tu ile inayohusika na break inafanana na ya Toyota LC na bei ni ghali.
"The word "brevis" is Latin for "brief, a short amount of time or duration".
Brevis niliwahi kuimiliki tatizo lake ni mafuta kwenye maeneo ya mijini, inabugia, ni gari inayofaa safari za mbali na ukifika pack, ni gari nzuri ni nzito inakimbia vizuri tumafuta+maintainance angalia cc za gar
Chukua -FSE au GE, badili intake, ECU, tupiamo kadude ka kupuliza almaarufu turbo, i-tune unavyopenda, una GTE safi.Malizia kwa kusema zenye dili ni 1JZ/2JZ-GTE na sio hizi 1JZ/2JZ-GE au 1JZ/2JZ-FSE zilizojaa huku bongo
πππ theoretically Ni rahisi hivyo Ila ukienda field ndipo utajua mambo sio marahisi hivyo.Chukua -FSE au GE, badili intake, ECU, tupiamo kadude ka kupuliza almaarufu turbo, i-tune unavyopenda, una GTE safi.
Sawa chief.Upo sawa japo mimi nililenga kwenye brevis....
Pia hizo gari ulizotaja ni before 2000 ambapo D4/FSE haikuwa imeingia kwenye market yet.
ni kweli sio rahisi, lakini project inakuwaga tamu ikiwa na vihunzi kama hivyo.πππ theoretically Ni rahisi hivyo Ila ukienda field ndipo utajua mambo sio marahisi hivyo.
Pengine.Pengine walimaanisha brief/short 0-100 kph time.