Wajinga mmeshika dini toka utotoni mmemezeshwa maduduwasha mkameza sasa mnajifanya mnajua sana kuhusu uwepo wa mungu kumbe hamna kitu, mna evidence yoyote zaidi ya uongo mliousoma kwenye vitabu vyenu? Hehe! no proof, nothing, just utter nonsense. ati mungu mjua vyote, alijua adam na eve watakula tunda alafu akawawekea mti? heheh! nuksi nyingine bna, na alijua yatakayotokea baada ya hapo, vifo, maumivu yote, vita, alafu bado akaweka mti? alafu mnasema ana mapenzi kuliko kiumbe chochote? hayo ni mapenzi au chuki? heheh! we unajua mtoto atajikata alafu unamtegeshea wembe then unamuonya asiguse huku unajua kabisa kua atagusa na atajikata?
Yanayofanyika mabaya yote leo mnakaa kusema kazi za shetani, hehehe kazi za shetani yupi? kazi ya mungu wenu huyo maana yeye ndiye aliweka mti, shetani alisema ukweli kabisa kua ukila hilo tunda utajua mema na mabaya, uongo wa shetani uko wapi hapo? alafu mnakaa kusema alidanganya, kwani leo hii hamjui mema na mabaya? people are so stupid yaani mnasikitisha, aliyetunga hizo hadithi alivuruga sana watu, imani za kipuuzi zimedumu for generations na zitaendelea kuwepo muda mrefu sana hadi pale ambapo tutaanza interstellar travel watu bado watakua wanaamini upuuzi tu.
Em fikirisheni bongo kidogo msijifanye wajinga, mnajaribu kuukataa ukweli kua mlimeza upuuzi kwa kua mnaogopa sijui jehanamu, upuuzi gani. Vitu vingine hata kwa akili ya kawaida mtu unaona kabisa its bullshit.