Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

Hahahaha!!
Mambo mengine ambayo tungesikitika Sasa yanafurahisha.

Kwa hiyo Mungu alim'pa pigo mzee Stephen...?
Exactly ILA wenye ufikiri ndo wanaweza kung'amua.. Kwani firauni km umesoma historia yake ulikuwaje mwisho wake alivyodai yeye ndio Mungu? Mpaka Leo mwili wake upo ukiwa umekaushwa kwaajili ya watu kujifunza.. Sasa wewe usiyeamini km kuna Mungu nawe vuta subira utapata majibu.
 
Wajinga mmeshika dini toka utotoni mmemezeshwa maduduwasha mkameza sasa mnajifanya mnajua sana kuhusu uwepo wa mungu kumbe hamna kitu, mna evidence yoyote zaidi ya uongo mliousoma kwenye vitabu vyenu? Hehe! no proof, nothing, just utter nonsense. ati mungu mjua vyote, alijua adam na eve watakula tunda alafu akawawekea mti? heheh! nuksi nyingine bna, na alijua yatakayotokea baada ya hapo, vifo, maumivu yote, vita, alafu bado akaweka mti? alafu mnasema ana mapenzi kuliko kiumbe chochote? hayo ni mapenzi au chuki? heheh! we unajua mtoto atajikata alafu unamtegeshea wembe then unamuonya asiguse huku unajua kabisa kua atagusa na atajikata?

Yanayofanyika mabaya yote leo mnakaa kusema kazi za shetani, hehehe kazi za shetani yupi? kazi ya mungu wenu huyo maana yeye ndiye aliweka mti, shetani alisema ukweli kabisa kua ukila hilo tunda utajua mema na mabaya, uongo wa shetani uko wapi hapo? alafu mnakaa kusema alidanganya, kwani leo hii hamjui mema na mabaya? people are so stupid yaani mnasikitisha, aliyetunga hizo hadithi alivuruga sana watu, imani za kipuuzi zimedumu for generations na zitaendelea kuwepo muda mrefu sana hadi pale ambapo tutaanza interstellar travel watu bado watakua wanaamini upuuzi tu.

Em fikirisheni bongo kidogo msijifanye wajinga, mnajaribu kuukataa ukweli kua mlimeza upuuzi kwa kua mnaogopa sijui jehanamu, upuuzi gani. Vitu vingine hata kwa akili ya kawaida mtu unaona kabisa its bullshit.
Mkuu wewe unaamini uwepo wa shetani?
 
kwani big bang ni kiumbe,..? asked out of curiousity
Hahahahaa.... Yeah. Inaitwa Big bang kwa sababu ni mripuko mkubwa uliowahi kutokea wanasayansi wakapachika hilo jina.

So Big bang sio kitu ila ni action, na hii action was created na kama ni kitu basi pia nk created.

Wakati najadiliana na Tlg, nilimwambia kuwa Universe imeumbwa mathematically na tukiweza kucrack hio mathematic basi tutaweza kutengeza our man made universe. Lakini itakiwa bado hatujaprove kuwa Mungu hayupo, kwa sababu itakiwa sisi ndio creator wa izo man made universe.

Hii Big Bang ni theory, msikae mkafikiri kwamba eti ndio mambo yalivo alivosema Hawking, mpaka anakufa sijaona experiment aloifanya kuhusu Big bang, na WANAOGOPA, kwa sababj wakiifanya, na wakafanikiwa kuja na small universe, manake wao watakuwa creators, kwaio itabakia kiwa our big universe was created pia.

Kiumbe si lazima kiwe kina pumua mkuu nafikiri unajua. Hata gari ni kiumbe na muumbaji wake ni engineer na mechanics.

There are only 2 sides in this universe, CREATOR AND HIS CREATIONS. (usipanic sizungumzii Creator mungu, hio ni general kwenye kila kitu)
 
Mkuu wewe ndiio unaijua sana science na hii physics yako ya moody physics, nimekuuliza swali dogo unaropoka mengi, we niambie origin yake, unaanza kuniambia nuclear fission na fusion, we si unajua ndio ungeelezea sasa sisi tusiojua tujue.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ajabu ni kwamba wanaomdadisi Mungu ndiyo wanaofunguliwa fikra na kumjua zaidi ila wanaoogopa hata kumuuliza chochote ndiyo wanaozidi kudidimia kwa kukosa maarifa.

Kumuuliza Mungu maswali kwa lengo la kuelewa siyo dhambi.
 
Ajabu ni kwamba wanaomdadisi Mungu ndiyo wanaofunguliwa fikra na kumjua zaidi ila wanaoogopa hata kumuuliza chochote ndiyo wanaozidi kudidimia kwa kukosa maarifa.

Kumuuliza Mungu maswali kwa lengo la kuelewa siyo dhambi.
Mungu unamuulizaje sasa?
 
According to the bible, qur-an and hadith za mtume(s.a.w) there will come a time when religion and its books will perish and by that time there will be no hope in the world. Sins will no longer be forgiven. What will remain is the story of religion and people who belived in it. And that will be the end of the world.
 
According to the bible, qur-an and hadith za mtume(s.a.w) there will come a time when religion and its books will perish and by that time there will be no hope in the world. Sins will no longer be forgiven. What will remain is the story of religion and people who belived in it. And that will be the end of the world.
it will be the end of religion. Human beings once existed without religion and after religion there will be other forms to control people thats all
 
mnamo mwaka 1988,mwanasayansi maarufu na nguli wa elimu ya mathematics,physics,astronomy and cosmology anae kwenda kwa jina la Stephen Hawkins aliandika kitabu kiitwacho "a brief history in time from the big bang to hte black holes" kitabu hichi kilileta tafrani miongoni mwa wanadini wengi ulimwenguni kote.Ndani ya kitabu hichi professor Stephen Hawkins alijaribu kuelezea sayansi ngumu ya anga kwa lugha ambayo mtu wa kawaida kabisa angeweza kuelewa,akielezea big bang,supernovas, na black holes.Hawkins made a bold conclusion that the creation of the universe simply did not require any divine intervention or supernatural power.He suggested it was just the laws of nature.Hili suala lilileta mvutano mkubwa miongoni mwa wanadini wakisema mwanasayansi hapswi kuzungumza kuhusu Mungu,Hawkins alirespond kwa kusema
" asking if God exists is avalid question for science,infact he can't think of a more fundamental and important questionas such".Tukiachana na hilo lililonifanya niandike thread hii ni kile alichosema soon scientists will discover the theory of everything and in that theory hakuta kuwa na haja ya kumuhusisha Mungu kuelezea the creation of the universe.

Swali langu nini itakuwa hatima ya dini baada ya hapo?
what will be the fate of oour religion?
Nadhani wanasayansi ndio watie hofu juu ya vumbuzi zao kwani daily wanavumbua vilivyopo daily! Sayansi haiipi Dini hatma kwa namna yoyote ile...Imani katika Mungu ni independent kabisa na kamwe haitegemei kiegemeo kiitwacho sayansi.
 
Watu wataujua ukweli
Hivyo wataacha kuabudu maana kuabudu ni umbumbumbu wa hali ya mwisho wa mtu kushindwa kujiajua.


Wataanza kujitengezea maisha hapa hapa duniani huku wakiwa wabunifu kwa kuhakikisha wanatengeneza vitu kwanza Ndio wanawaza.

Haya maisha magumu hayatakauwepo tena maana ujinga utatutoka tutaishi maishi halisi yanayohitajika
Mbona unapotosha wewe! Tafuta wapagani kama wewe mpo wangapi duniani na still njaa ndio swahiba wenu Mkuu!!
 
Maisha halisi sio milele. Maisha halisi ni maisha ambayo hayajatengenezwa na wala huhitaji kufundishwa ili uishi.

Umewahi kuona ng'ombe au mnyama yeyote anafundishwa kunyonya? Kama hapana, basi yale ndo maisha halisi. Hakuna kitu wanyama wanafundishana. Yale ndo maisha halisi. Hata sisi tutaishi maisha hayo.

Kinachotuumiza ni watu wengi kuto kujiamini na kufuata mkumbo na kutegemea mawazo ya watu wengine
Kwahiyo na wewe ni ng'ombe au sio..!!?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Namuunga mkono Hawkins , dini ni hofu ya maisha . Ukiangalia kwa makini wanaoshika dini sana ni dunia ya tatu . Eti wanahofia kwenda motoni . God is nature that's all : everything happened naturally .
 
mnamo mwaka 1988,mwanasayansi maarufu na nguli wa elimu ya mathematics,physics,astronomy and cosmology anae kwenda kwa jina la Stephen Hawkins aliandika kitabu kiitwacho "a brief history in time from the big bang to hte black holes" kitabu hichi kilileta tafrani miongoni mwa wanadini wengi ulimwenguni kote.Ndani ya kitabu hichi professor Stephen Hawkins alijaribu kuelezea sayansi ngumu ya anga kwa lugha ambayo mtu wa kawaida kabisa angeweza kuelewa,akielezea big bang,supernovas, na black holes.Hawkins made a bold conclusion that the creation of the universe simply did not require any divine intervention or supernatural power.He suggested it was just the laws of nature.Hili suala lilileta mvutano mkubwa miongoni mwa wanadini wakisema mwanasayansi hapswi kuzungumza kuhusu Mungu,Hawkins alirespond kwa kusema
" asking if God exists is avalid question for science,infact he can't think of a more fundamental and important questionas such".Tukiachana na hilo lililonifanya niandike thread hii ni kile alichosema soon scientists will discover the theory of everything and in that theory hakuta kuwa na haja ya kumuhusisha Mungu kuelezea the creation of the universe.

Swali langu nini itakuwa hatima ya dini baada ya hapo?
what will be the fate of oour religion?
in the end lazima Mungu ahusike, just try to imagine with the big bang and everything ila the source ya vitu vyote hivo ni nini?
 
Ajabu ni kwamba wanaomdadisi Mungu ndiyo wanaofunguliwa fikra na kumjua zaidi ila wanaoogopa hata kumuuliza chochote ndiyo wanaozidi kudidimia kwa kukosa maarifa.

Kumuuliza Mungu maswali kwa lengo la kuelewa siyo dhambi.
na sidhani kama bible imekataza kuuliza
 
Mimi nafikiri kitendo cha kutetereka kwa hali yake kulitokana na hizi theory zake na Mungu alimuhukumu.
Kwahio vilema wote wamehukumiwa sababu ya madhambi yao ,hadi waliodhaliwa albino,

Wewe ndo mkamilifu hutendi dhambi mzima wa afaya au sio
 
Mkuu wewe ndiio unaijua sana science na hii physics yako ya moody physics, nimekuuliza swali dogo unaropoka mengi, we niambie origin yake, unaanza kuniambia nuclear fission na fusion, we si unajua ndio ungeelezea sasa sisi tusiojua tujue.
Hide your stupidity mzee.
 
Back
Top Bottom