Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Sawa mkuuwanakuja kukupa mwongozo michepuko/wenye michepuko
ha ha ha majibu yakiwa mazuri itabidi nijongee kwakoUnataka kutoa maamuzi kwa mchepuko nn
ha ha ha kwa hiyo unamaanisha ni part time kwa muda maalumu?Unagegeda tuu alafu unamuacha
ha ha ha kwa hiyo unamaanisha ni part time kwa muda maalumu?
Na wao wanajichukuliaje pale wanapochukuliwa kama part time?ndio mzee wanawake ni kwa part time maana vitamu vimezaliwa vingi ndungu yangu.
wewe sii uliona waremo walivyojaa kule kili marathon yaani kweli utulie na mmoja haiingii akilini
Na wao wanajichukuliaje pale wanapochukuliwa kama part time?
Mwisho wapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatima yake ni kufika mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu,kwani mchepuko hawezi kuleta fitna ndoa ikavunjika?Ni kipozeo cha ndoa hujui kuwa ndoa ni ndoano..!
Hata serikali ikizubaa hupinduliwa.Kweli mkuu,kwani mchepuko hawezi kuleta fitna ndoa ikavunjika?