Nini hatma ya kuwa na mchepuko?

hakuna mwisho mzuri na ndio maana kila siku unasikia watu wanauana kwenye ndoa , kutelelkeza watoto ., kukimbia miji na kurudishanan nyuma kimaendeleo. na worse kabisa ni majuto
 
Ukimuoa atakuletea kiburini na majivuno. Kula akisha exipire unapiga chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wanaume huwa tunaishia kuzaa nao tu akijitahidi saaaaana anakuwa bimdogo rasmi ila kuibiwa ndo nje nje maana kama aliweza kuwa na wewe wakati anajua umeoa atashindwa vipi kucheat siku ukiwa kwa mkeo

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wakishazaa si ndio gharama zinazidi...mara mtoto anaumwa,mara nepi zimeisha n.k ?
 
Usije ukakurupuka kuwa na mchepuko hakikisha una sababu inayoeleweka ya kukufanya uwe na mchepuko..

Baada ya kuoa na kuishi na mke Kwa miaka kadhaa zikaanza vurumai ndani zisizo na kichwa wala miguu,. Mara mtu anune wiki nzima, kibri na majibu ya kunya..

Kwakuwa wengne shughuli zetu ni usiku na mchana basi wakat mwingne hata tunda ikawa shida nikaona isiwe taabu..

Nikamtafuta niliyemuona ananifaa nikaanza kudate naye sina hatma naye yoyote zaidi ya tutakapoishia.

Lakn ni mtu tunayeweka mipango mizuri ya maisha hayupo kwaajili ya kunichuna ila mikakati ya maendeleo zaidi ipo ya kusaidiana kwenye familia.. Heshima nyumban ilisharudi maana niliamua kuwa ntakuwa nalala nje hata Kwa wiki na nikirudi sihitaji sex naye..

Akili yote ilikuwa Kwa mchepuko..

Wanawake wanajisahau kuwa wakiolewa wanadhani ndio wamemaliza dawa yao ni kuwapandisha vyeo hata visivyo rasmi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika Maajabu ya 8 ya dunia ni Mwanamke akijua yuko peke yake anakudharau .Adui wa mwanamke ni mwanamke.kwa iyo kazi ya mchepuko ni kuirefresh ndoa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…