[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu, hatima ya mchepuko ni pale atakapopata mwenza. Asipompata mwenza wake basi tegemea kuwa ni wewe na yeye mtakwenda down to wire, yaani kifo kitawatenganisha.
Sijui mkuu,naomba unipe maanaInamaana hujawai kujua maana ya mchepuko??
Uliza wahandisi wa barabara watakuelekezaSijui mkuu,naomba unipe maana
huku nilipo hata hawaonekaniUliza wahandisi wa barabara watakuelekeza
Nini hatma ya kuwa na mchepuko?Ikitokea katika mahusiano yenu mtoto akapatikana,hapo inakuwaje?
unakojoaje nje wakati wa kukojoa ukifika mshipa unatakiwa usimamie ndani kwa nguvu zoteHapo ndo hatima ilipo,,hila kama wewe unajua kuwa huyo mtu huna future yoyote iweje ubebeshe mimba?? kama mtu huna future nae ni bora mtumie kinga au mwanaume akojoe nje...na hapo kama wote mmekubaliana na ushamwambia ukweeli kuwa huko na family,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujilemaza basi tumia kingaunakojoaje nje wakati wa kukojoa ukifika mshipa unatakiwa usimamie ndani kwa nguvu zote
Ladha ya pipi ni kula bila ganda
Unafaidi sana mkuu [emoji28]Wivu lazima. Mchepuko anakuwaga na vitu flani hv.... yaani tuvitu vitu.... laini laini
Sent using Jamii Forums mobile app