Hamna atakayewatumbua, aliyewateua kashaondoka. Wanaganga yajayo sasahiviPoint yangu inabase kwenye jinsi ambavyo viongozi wa serikali walikuwa wanaitetea hiyo miradi, najiuliza je wataiendeleza?
Dar es SalaamMakao makuu Dodoma vipi?
Tutajenga mabanda ya kufugia kukuUle uwanja wa ndege vipi?
Safari yao ya mwisho ni kwenye kupeleka mwiliATCL walikuwa wameshaanza route za ndege kwenda Chato.
Nawapa mwezi mmoja kuona kama wanaenda tena huko.
Hapo.napo.kuna kigugumiziMakao makuu dodoma vipi?
Hongera sana ndugu,DP yako inaonesha kama ni mpinzani sana lakini naona umetanguliza utu mbele.point yako haina mashaka
Mm nilishawahi kuwa upinzani hapo nyuma lakini sikuwahi kumchukia huyu baba. Kwa sababu mbali na uraisi ila ni mtoto wa mtu jamani. Na nimemuombea sana tangu uvumi huu uanze. Hata jioni ya leo kabla sijalala nimemuombea ndo nikalala.nashangaa rafiki yangu ananipigia kuwa kafa.nimekosa usingizi.Dah, Watanzania tuna mambo ya ajabu sana. Pumzika kwa amani Magufuli.
Kama vipi zikwa naye!Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Vipi mtoto wa mtu aliechakazwa risasii mwili mzima?Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto....
Inasikitisha sana! Pole wote tulioguswa na msiba huu.Mm nilishawahi kuwa upinzani hapo nyuma lakini sikuwahi kumchukia huyu baba. Kwa sababu mbali na uraisi ila ni mtoto wa mtu jamani. Na nimemuombea sana tangu uvumi huu uanze. Hata jioni ya leo kabla sijalala nimemuombea ndo nikalala.nashangaa rafiki yangu ananipigia kuwa kafa.nimekosa usingizi.
Mwenyewe kasha kufa tunarud pwani kama kawaidaMakao makuu Dodoma vipi?
Kama ilikuwa na tija kwa taifa sawa, ila kama ni kinyume chake, imeishia hapo!!ndio maana ya kufanya miradi kwa faida ya taifa, ila kama ni kwa manufaa yako, ndio basi, litaweza kuwa fundisho piaPoint yangu inabase kwenye jinsi ambavyo viongozi wa serikali walikuwa wanaitetea hiyo miradi, najiuliza je wataiendeleza?