Nini hatma ya miradi ya Chato?


Azory gwanda hakuwa na familia?
Ben saanane hajuwa na familia?
Lissu hakuwa na familia?
Rostam hakuwa na familia?

Hebu acheni machozi ya samaki nyie watu, eboooooh.
 
Unamzungumzia nani?
 
Inahamia Zanzibar sasa. Magufuli alionyesha mfano wa kupendelea sehemu Rais anakotoka.
Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.

Je, Serikali itaiendeleza?
 
Wakati wa mitikisiko na mambo magumu hivi katika nchi hata fedha hushuka
Hivi leo imeshuka kiasi gani naona wachumi wataelewa nina maana gani
 
Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.

Je, Serikali itaiendeleza?

Upande wa uwanja wa ndege aliyejijengea ndio kaondoka kutumika tena labda siku viongozi kutoka nje wanakuja kwenye mazishi, Baada ya hapo sina uhakika.
Hivyo vingine kama Veta na hospitali watanufaika wanancha wa Chato na kanda ya ziwa kwa ujumla.
 
Wachawi wanakatika mayenu huko waliko mpaka vibwebwe vinafunguka duniani
 
Huwa haina maana kutangazia watu umelia sana!!! Mnahisihi kulia ndio kuonesha unaroho nzuri?? Kufiwa huwa tunafiwa kila wakati chamuhimu tumwombe huku tukijiandaa na tuendeleze mazuri yake tuache mabaya alofanya
-tusibaguane kiitikadi/kikanda
-tusiwekeane visasi
-tusihukumu tutahukumiwa
-tusipendelee kwetu
-tutende haki
-tusiwe wenye vitisho
-tusichukie kukosolewa
-tusitese tulowapa kazi
-tusidhalilishe watu/tusitiriane
-tusiwe wajuaji/tujifunze kilaleo
-tusipende kunyenyekewa nk. nk.
 

Sawa pole sana pitia hizi nyuzi:-


 
Ana ana ana......hata waliokufa kwasababu ya kiburi chake wana hao wote. What about them?
 
Pole sana mwaya sema ulichelewa muda Wa kuomba Jana jioni, maana SAA 12 jioni tayari anafanyiwa party na malaika za welcome home mkuu wao.
 
Tutaanza na zile taa za barabarani, tutazing',oa zote tupeleke mwanza
 
Hata nae nililia kama ninavyolia leo. Mm stakagi kusikia kifo cha mtu yeyote. Maana siwezi jizuia kulia.niwe namjua au simjui.
Huo nao ni ugonjwa, kautafutie tiba.
Angalia usijegeuka international mourner.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…