Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Unamzungumzia nani?Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Okay, uwanja umepata kaziMzee Makamba alisema “Huyu mtu anauliza uwanja wa Ndege Chato ni wanini, anataka Magufuli akifa tumpeleke kwao na malori”?
Hahahahha Vicky naona leo umeamka kivingine, ulikua hautaki kumkera marehemu?!Chato eti kitovu cha utalii kanda ya ziwa. Jamani mawaziri walizidi kujipendekeza.
Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Huwa haina maana kutangazia watu umelia sana!!! Mnahisihi kulia ndio kuonesha unaroho nzuri?? Kufiwa huwa tunafiwa kila wakati chamuhimu tumwombe huku tukijiandaa na tuendeleze mazuri yake tuache mabaya alofanyaJamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Ana ana ana......hata waliokufa kwasababu ya kiburi chake wana hao wote. What about them?Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
WaambieVipi mtoto wa mtu aliechakazwa risasii mwili mzima?
Tunarudi Dar mkuuu, [emoji23] [emoji23]Makao makuu Dodoma vipi?
Tatizo naliona Chato airportUwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Pole sana mwaya sema ulichelewa muda Wa kuomba Jana jioni, maana SAA 12 jioni tayari anafanyiwa party na malaika za welcome home mkuu wao.Mm nilishawahi kuwa upinzani hapo nyuma lakini sikuwahi kumchukia huyu baba. Kwa sababu mbali na uraisi ila ni mtoto wa mtu jamani. Na nimemuombea sana tangu uvumi huu uanze. Hata jioni ya leo kabla sijalala nimemuombea ndo nikalala.nashangaa rafiki yangu ananipigia kuwa kafa.nimekosa usingizi.
Poleni Sana watanzania wenzangu kwa msiba wa rais wetu mpendwa!
Wakati mzee baba Yupo hai Chato ilikuwa haikauki midomoni mwa watu.
Miradi mikubwa mikubwa ya kimaendeleo ilikuwa inatekelezwa Chato nyumbani kwa rais, uwanja wa ndege wa kimataifa, hospitali kubwa ya kanda imejengwa Chato,uwanja wa mpira wa kisasa ulipangwa kujengwa Chato ambako ni nyumbani kwa marehemu rais!
Hizi wiki 2 wakati mzee anaumwa Chato ilikuwa imekauka midomoni mwa watu na kwa viongozi kwa maana ilisahaulika
Je hivi rais amekufa na yeye ndio alikuwa anaiendeleza Chato kwa miradi mikubwa na kuifanya Chato maarufu nchi kwetu ndo inaenda kusahaulika
Nakumbuka Mobutu seseseko alikijenga Sana kijiji Cha kwao Gbalollite lakini baada ya kuondolewa madarakani kijiji kimesahaulika na miradi yote imekufa.
Je Chato itakuaje baada ya muasisi wa kuijenga kufariki dunia...???Najiiuliza tu.
Upinzani Dar Wana majimbo gani Hadi Dar iwe upinzani?Turejeshewe kwanza Jiji la DSM. Chuki kwa kuwa DSM ni upinzani. Hukumu ya Mungu itende haki.
Huo nao ni ugonjwa, kautafutie tiba.Hata nae nililia kama ninavyolia leo. Mm stakagi kusikia kifo cha mtu yeyote. Maana siwezi jizuia kulia.niwe namjua au simjui.