Nini hatma ya miradi ya Chato?

Nini hatma ya miradi ya Chato?

Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Najaribu kuwaza akina Saanane
 
Mkuu, hali si shwari sana ila ipo managed.

Kuna mada nilileta humu jumapili asubuhi kuhusu utata lakini ikaondolewa na Mods haraka.

Kuhusu kudhibiti upo 90% hali ndivo inavyosemwa ilionekana.

Ila mambo yalofanyika kuna kikundi cha watu wakiongozwa na na mtu fulani watakuja kuanikwa hadharani na kupata shida sana.

Siwezi kuongea mengi lakini yasikitisha kuona jinsi sisi waafrika tunavyozidi kujidhihisha kuwa ni wadhaifu sana na tupo tayari kutumika wakati wowote kama dodoki.
Ongeza nyama hapa umeweka mchuzi tuu
 
Ni kama Mtoto mwenye UCHU na MALI za Mzazi wake baada ya KIFO....

Hana haya (aibu) huyo...
Badala uwaze maombi wewe wawaza Mali za duniani naomba utuache tuko na msiba mnene mpendwa wa taifa kaondoka niko na majonzii.
 
Hahahhaha.Mungu ampumnzishe kwa amani. Rais wetu aliyesema yeye hashauriki.
Hata mimi nimekupenda sana kwa michango yako kwenye suala hili la ukaribu wako acha Mpendwa wetu apumzike sitamsahau kwenye UMEME WA TANESCO
 
Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.

Je, Serikali itaiendeleza?
Hiyo siyo miradi ya kipaumbele wala kimkakati. Tunakwenda kwa priorities. Ile zoo ya Bulige labda ije rejuvenate naturally kuwa mbuga la sivyo hakuna kupeleka tena resource kule maana bado tuna mbuga nyingi natural z kuendeleza
 
Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.

Je, Serikali itaiendeleza?
Sasa hapo chuo cha veta kimeshakamilika na kilishaanza udahili na kina wanafunzi
Concern labda ni hiyo airport lakini hospitali si ilishafikia 80% kwa tulivyofahamishwa last time
 
Wanakwambia leo Chato chai hainyweki, chakula hakiliki, huyu mzee alikuwa anapendwa sana kwao
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Ungekuwa unalia kweli usingepata nguvu ya kuandila paka msiba upite
 
Upande mwingine ni mjinga lakini ukiangalia mkoa wa Mara unagundua kidogo zilikuwemo akili viongozi wengi wamepita kule ila mpaka leoara ni kati ya mikoa maskini tz


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapo chuo cha veta kimwsha kamilika na kilisha anza udahili na kina wanafunzi
Concern labda ni iyo airport lkn hospital si ilisha fikia 80% kwa tulivyo fahamishwa last time

Kwa miradi ambayo tayari imekamilika yes, haitakuwa na shaka kwamba itaendelea.

Mfano hiyo hospital hata kama itaisha unadhani itapewa hadhi ya Rufaa? Maana ndo ilikuwa plan.
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.

Kama mama yake Kabendera alivyolia kabla ya kufariki.
 
Unalia au unajiliza liza?
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
 
Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.

Je, Serikali itaiendeleza?
Baada ya mazishi Uwanja hautahitajija eneo warudishiwe wananchi walionyang'anywa mashamba na machungio yao na kuhamishwa kupisha ujenzi, Hospitali ya Rufaa iwe Kituo cha Afya, Chuo cha VETA kiwe cha Taifa, Mbuga ibaki Forest Reserve na Uwanja wa Mpira utupiliwe mbali maana Wasukuma ni wafugaji siyo wachezaji. Miradi yote hiyo kama Wasukuma wa Chato wangeulizwa na kutakiwa wagharamie wenyewe kwa kuuza mifugo yao wangeikataa na kumpiga mawe mleta wazo maana siyo vipaumbele vyao. Wasukuma wazuri sana wameharibiwa na Awamu ya Tano!
 
Kwa miradi ambayo tayari imekamilika yes, haitakuwa na shaka kwamba itaendelea.

Mfano hiyo hospital hata kama itaisha unadhani itapewa hadhi ya Rufaa? Maana ndo ilikuwa plan.
Sasa ndugu yame majengo pale ivi umeyaona? Ni A class building huwezi kuyatelekeza tena ukitazama kwa sekta nyeti kama ya afya na isitoshe nikisikiaga kama kuna vifaa pia vilishaanza kufungwa so to me ni GREEN light
 
Back
Top Bottom