Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Je! Katibu Mstaafu wa Halmashauri Kuu ya NEC Itikadi na Uenezi CCM-Tanzania Mhe Humphrey Polepole atapona kwenye vikao hivi?
#Let's give a Time time,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimalizana nao vipi? Hebu dokeza kidogoKikao hiki hakina ajenda ya polepole, polepole aloshaitwa na kamati ya maadili wakamalizana nae.
Mpeni nyie hiko cheo atawasaidiaNapendekeza Mr. Polepole apandishwe cheo na kuwa Katibu Mkuu wa CCM ni kijana anayejitambua ni mwerevu na anakijua chama vilivyo - apate muda mwingine wa kuisafisha CCM, kuna wahuni wachache waliobakia waondolewe maana wanaharibu taswira ya chama.
Polepole anatakiwa kujirekebisha aiseView attachment 2044840
Je! Katibu Mstaafu wa Halmashauri Kuu ya NEC Itikadi na Uenezi CCM-Tanzania Mhe Humphrey Polepole atapona kwenye vikao hivi?
#Let's give a Time time,
Matarajio makubwa ni CCM kubadilika, kusikiliza kilio cha watanzania, kuacha siasa za umaarufu za cherehani mbili -kiwanda.View attachment 2044840
Je! Katibu Mstaafu wa Halmashauri Kuu ya NEC Itikadi na Uenezi CCM-Tanzania Mhe Humphrey Polepole atapona kwenye vikao hivi?
#Let's give a Time time,
CCM CHAMAView attachment 2044840
Je! Katibu Mstaafu wa Halmashauri Kuu ya NEC Itikadi na Uenezi CCM-Tanzania Mhe Humphrey Polepole atapona kwenye vikao hivi?
#Let's give a Time time,
CHADOMONapendekeza Mr. Polepole apandishwe cheo na kuwa Katibu Mkuu wa CCM ni kijana anayejitambua ni mwerevu na anakijua chama vilivyo - apate muda mwingine wa kuisafisha CCM, kuna wahuni wachache waliobakia waondolewe maana wanaharibu taswira ya chama.
HahahaSiku hizi hatembei na ilani ya chama
HahahaSiku hizi hatembei na ilani ya chama
Kwani kafanya nini bayaView attachment 2044840
Je! Katibu Mstaafu wa Halmashauri Kuu ya NEC Itikadi na Uenezi CCM-Tanzania Mhe Humphrey Polepole atapona kwenye vikao hivi?
#Let's give a Time time,
MuhuniKwani kafanya nini baya
Swali zuri, mie naamini kuteuliwa kwake hakutokani na chama, ila hapa watarekebisha kanuni watachanganya na uzoefu, kwa tabia ya ndugai, atamwondoa tu, maana utekeleza maagizo ya muhimili uliojichimbia!Kwani mbunge wa kuteuliwa na Rais una kikomo akipokwa card ya chama ?
Ni kweli muhuni!Muhuni