Nini hatma ya Polepole baada ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM inayofanyika Disemba 18, 2021?

Nini hatma ya Polepole baada ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM inayofanyika Disemba 18, 2021?

Huyu nae wamtembeze ya mguu akaombe msamaha maana nae aliwadhalilisha Hadi wazee aliowakuta kwenye chama akijiona amemaliza kila kitu it was like he was already in heaven.

Wahenga wanasema usitukane wajinga na uzazi ungalipo, na usitukane mamba kabla hujavuka mto.

Sasa hana pa kushika, serikali haimtaki, CCM ya wenyewe haimtaki, upinzani ndio kabisa labda zitto ndio anaweza kumpikea maana nae ni ndumilakuwili kama Dr padri mwitu.
 
Matarajio makubwa ni CCM kubadilika, kusikiliza kilio cha watanzania, kuacha siasa za umaarufu za cherehani mbili -kiwanda.

Kimsingi anchofanya polepole haihitaji kama wengi wanavyotaka kuamini kwamba ana watu aliowapanga nyuma yake, bali hao watu (wananchi) wanaoamini anayoyasema wapo, walikuwepo na wataendelea kuwepo nchini kote. Na wala usiamini kuwa kama Polepole akiacha shule yake ya uongozi hao wananchi watafutika, ila ile sauti ya kuwainua ndio itakosekana.

Hivi ni nani asiyejua kuwa WAHUNI NCHINI WALIOVAA GAMBA LA UONGOZI TANZANIA WAPO. Kauli za kujivua gamba, kutumbua n.k ziliwalenga akina nani. Wahuni wamekuwepo ndani ya Tanzania na ndani ya CCM kwa miaka zaidi ya 50, huwezi hata siku moja kuwaondoa kwa miaka 5 au 10. Kwa sababu uhuni ndani ya CCM ulikuwa Tamaduni kama asemavyo Bulembwa.

Watanzania wamesema NO, na CCM haina jinsi ila ni kubadilika tu.
Ukweli mchungu!
 
Matarajio makubwa ni CCM kubadilika, kusikiliza kilio cha watanzania, kuacha siasa za umaarufu za cherehani mbili -kiwanda.

Kimsingi anchofanya polepole haihitaji kama wengi wanavyotaka kuamini kwamba ana watu aliowapanga nyuma yake, bali hao watu (wananchi) wanaoamini anayoyasema wapo, walikuwepo na wataendelea kuwepo nchini kote. Na wala usiamini kuwa kama Polepole akiacha shule yake ya uongozi hao wananchi watafutika, ila ile sauti ya kuwainua ndio itakosekana.

Hivi ni nani asiyejua kuwa WAHUNI NCHINI WALIOVAA GAMBA LA UONGOZI TANZANIA WAPO. Kauli za kujivua gamba, kutumbua n.k ziliwalenga akina nani. Wahuni wamekuwepo ndani ya Tanzania na ndani ya CCM kwa miaka zaidi ya 50, huwezi hata siku moja kuwaondoa kwa miaka 5 au 10. Kwa sababu uhuni ndani ya CCM ulikuwa Tamaduni kama asemavyo Bulembwa.

Watanzania wamesema NO, na CCM haina jinsi ila ni kubadilika tu.
Unaijua vieite wewe
 
Back
Top Bottom