Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Huyu nae wamtembeze ya mguu akaombe msamaha maana nae aliwadhalilisha Hadi wazee aliowakuta kwenye chama akijiona amemaliza kila kitu it was like he was already in heaven.
Wahenga wanasema usitukane wajinga na uzazi ungalipo, na usitukane mamba kabla hujavuka mto.
Sasa hana pa kushika, serikali haimtaki, CCM ya wenyewe haimtaki, upinzani ndio kabisa labda zitto ndio anaweza kumpikea maana nae ni ndumilakuwili kama Dr padri mwitu.
Wahenga wanasema usitukane wajinga na uzazi ungalipo, na usitukane mamba kabla hujavuka mto.
Sasa hana pa kushika, serikali haimtaki, CCM ya wenyewe haimtaki, upinzani ndio kabisa labda zitto ndio anaweza kumpikea maana nae ni ndumilakuwili kama Dr padri mwitu.