View attachment 2044840
Je! Katibu Mstaafu wa Halmashauri Kuu ya NEC Itikadi na Uenezi CCM-Tanzania Mhe Humphrey Polepole atapona kwenye vikao hivi?
#Let's give a Time time,
Ukweli mchungu!Matarajio makubwa ni CCM kubadilika, kusikiliza kilio cha watanzania, kuacha siasa za umaarufu za cherehani mbili -kiwanda.
Kimsingi anchofanya polepole haihitaji kama wengi wanavyotaka kuamini kwamba ana watu aliowapanga nyuma yake, bali hao watu (wananchi) wanaoamini anayoyasema wapo, walikuwepo na wataendelea kuwepo nchini kote. Na wala usiamini kuwa kama Polepole akiacha shule yake ya uongozi hao wananchi watafutika, ila ile sauti ya kuwainua ndio itakosekana.
Hivi ni nani asiyejua kuwa WAHUNI NCHINI WALIOVAA GAMBA LA UONGOZI TANZANIA WAPO. Kauli za kujivua gamba, kutumbua n.k ziliwalenga akina nani. Wahuni wamekuwepo ndani ya Tanzania na ndani ya CCM kwa miaka zaidi ya 50, huwezi hata siku moja kuwaondoa kwa miaka 5 au 10. Kwa sababu uhuni ndani ya CCM ulikuwa Tamaduni kama asemavyo Bulembwa.
Watanzania wamesema NO, na CCM haina jinsi ila ni kubadilika tu.
Hakuna kama Rais SamiaUkweli mchungu!
Siku hizi hatembei na ilani ya chama
Unaijua vieite weweMatarajio makubwa ni CCM kubadilika, kusikiliza kilio cha watanzania, kuacha siasa za umaarufu za cherehani mbili -kiwanda.
Kimsingi anchofanya polepole haihitaji kama wengi wanavyotaka kuamini kwamba ana watu aliowapanga nyuma yake, bali hao watu (wananchi) wanaoamini anayoyasema wapo, walikuwepo na wataendelea kuwepo nchini kote. Na wala usiamini kuwa kama Polepole akiacha shule yake ya uongozi hao wananchi watafutika, ila ile sauti ya kuwainua ndio itakosekana.
Hivi ni nani asiyejua kuwa WAHUNI NCHINI WALIOVAA GAMBA LA UONGOZI TANZANIA WAPO. Kauli za kujivua gamba, kutumbua n.k ziliwalenga akina nani. Wahuni wamekuwepo ndani ya Tanzania na ndani ya CCM kwa miaka zaidi ya 50, huwezi hata siku moja kuwaondoa kwa miaka 5 au 10. Kwa sababu uhuni ndani ya CCM ulikuwa Tamaduni kama asemavyo Bulembwa.
Watanzania wamesema NO, na CCM haina jinsi ila ni kubadilika tu.
View attachment 2044840
Je! Katibu Mstaafu wa Halmashauri Kuu ya NEC Itikadi na Uenezi CCM-Tanzania Mhe Humphrey Polepole atapona kwenye vikao hivi?
#Let's give a Time time,
Kaziiendelee TanzaniaView attachment 2044840
Je! Katibu Mstaafu wa Halmashauri Kuu ya NEC Itikadi na Uenezi CCM-Tanzania Mhe Humphrey Polepole atapona kwenye vikao hivi?
#Let's give a Time time,