Nini husababisha wivu katika Mapenzi

Nini husababisha wivu katika Mapenzi

Chukua mfano unammulika mwenzio machoni na touch maumivu atakavyo sikia ni kutokana na mwanga ulivyo mkali na mwanga mkali unasababiswa na betri zilivyo na nguvu

Sasa hapa nakuchambulia

MWANGA ni kile kinachokuja moyoni baada ya kuona kile unachokipenda au unaempenda kina dalili ya kuchukuliwa

MACHO ni moyo ambao unaumia unapomulikwa na mwanga na maumivu ya macho yanatokana na ukali wa wanga

BETRI ni uzuri wa kile unachokiona mbele yako kulinganisha na wewe ambacho kinatishia kuchukua kile ukipendacho

Sasa combination ya MWANGA, MACHO na BETRI ndio muundo sahihi wa wivu hakuna binadamu ambaye hana wivu ila tunatofautiana ukubwa wa wivu tu
Siku zote tatizo la wivu kupitiliza ni kupelekea magongwa ya moyo hasa BP so Mwanga ukiwa mkali ndivyo macho yanazidi kuumia
Acha Ku complicate mambo eleza kwa lugha nyepesi
 
Kutokujiamini teh. sa ingine lazima mtu usijiamini ohoooo si kwa mtu anavowindwa na wengine Tehteh
Hii ndio hasa inakera,she is so attractive pindi napoona anatongozwa tu na wapuuzi wengine moyo unawaka moto. Sinaga uhakika about what will happen thereafter ila i commit to stay strong. Huwa yanapita salama, anawachomolea. Ila wivu babaaa loh...at times tunagombanaga kabisa!
 
Wivu husababishwa na kutokujiamini..ubinafsi..na upendo kupita kiasi...

Vile vile wivu kwa kiasi fulani unasaidia kuboresha mapenzi na muda mwingine pia huharibu mapenzi ikiwa umezidi sana..Natumai umenipata kwa 'kiduchu'
Sasa mkuu utajiaminije kama mtu wako anatongozwa frequently? Na unajua lengo la yeye kutongozwa ni nini...
 
Yote 9 ila ukiona huna wivu na mtu wako jua bado hamna connection timilifu. Ni ngumu sana hata kutia nguvu katika huo uhusiano.
 
Inawezekana mtu akawa na wivu lakini hataki kuuonesha ?
Kuuficha wivu ni talanta ya ajabu kabisa. Yeah wapo wanaoweza hilo ila hebu siku itokee unaona demu wako anatongozwa hujakaa vizuri mara kashikwa mkono na njemba wanaelekea Gwami lodge je unaeza vumilia hilo??? Utaacha akaliwe bila kuchukua hatua yeyote.
 
1.kutojiamin
2.kukosa cha kufanya
3.umasikin
4.kujionyesha unapenda sana
5.kukosa maturity mind
6........
 
mahondaw my love, my heart and my life


4aece86e3d9005fdfb51def3c276cd90.jpg


I mean you mahondaw
Tunza malaika huyo yaani mshike itakikavo apply mambo ya tanga mkuu hii dunia ni pepo tosha ukijua kupendwa buana [emoji109][emoji109][emoji16][emoji16]
Cc:Smart911
Cc:Mahondwa
 
Aliyeuliza kaniekewa bhasi inatosha si lazima anielewe kila mtu kwani darasani mnakuwa wengi na mnafundishwa wote lakini kunakuwa na wa kwanza mpaka wa mwisho

Kuna slow learners and first learners
Na wengine hata upige uburuze uue nibure
 
Tunza malaika huyo yaani mshike itakikavo apply mambo ya tanga mkuu hii dunia ni pepo tosha ukijua kupendwa buana [emoji109][emoji109][emoji16][emoji16]
Cc:Smart911
Cc:Mahondwa

Asante sana mkuu nawe barikiwa sana na penzi lako nahuyo mamii mtunze mlinde mthamini sana mdekeze kwa raha zenuu mpe mapenzi Yale Yale yanayostahili kabisa ili hata akitaka kwenda kwingine ajione kachanganyikiwa au karogwa
 
Kuuficha wivu ni talanta ya ajabu kabisa. Yeah wapo wanaoweza hilo ila hebu siku itokee unaona demu wako anatongozwa hujakaa vizuri mara kashikwa mkono na njemba wanaelekea Gwami lodge je unaeza vumilia hilo??? Utaacha akaliwe bila kuchukua hatua yeyote.
Haa lazima ureact asee

Cc: Smart911
 
Asante sana mkuu nawe barikiwa sana na penzi lako nahuyo mamii mtunze mlinde mthamini sana mdekeze kwa raha zenuu mpe mapenzi Yale Yale yanayostahili kabisa ili hata akitaka kwenda kwingine ajione kachanganyikiwa au karogwa
Mkuu mie bado asee nipo nipo kwanza bado macho yangu hayajaona ila mungu atafanya wepesi maombi tu tuombeane mkuu
 
Fafanua mkuu

Hanithi si mwanaume ambae hasimamishi jamani au sio??
Ngoja niapply logic hapa

Premise A- Asie na wivu ni Hanithi
Premise B- Hanithi ni me ambae hasimamishi
Premise C- Me wengi wanasimamisha
And therefore wanaume weeeeeengii Wana wivu khakhaakhaa
Bonny unasimamisha kwani ??? Kama huna wivu logic inasema wewe ni...

Cc; Smart911
 
Hanithi si mwanaume ambae hasimamishi jamani au sio??
Ngoja niapply logic hapa

Premise A- Asie na wivu ni Hanithi
Premise B- Hanithi ni me ambae hasimamishi
Premise C- Me wengi wanasimamisha
And therefore wanaume weeeeeengii Wana wivu khakhaakhaa

Cc; Smart911
Duuuuuuh
 
Back
Top Bottom