Nini kazi ya hizo Sayari zilizobaki ukiondoa Dunia?

Nini kazi ya hizo Sayari zilizobaki ukiondoa Dunia?

Tungeanza kujua dunia inafanyaje kazi tena kwa ushahidi wa kuonekana hili swali tungelijibu!! Mfano tujiulize:-
1. Why gravitational force?
2. Is the world spherical?
3. If spherical jua lipo upande gan mwa dunia? Cz hakuna juu ya dunia...,
4. Ni how valid is corriolis and centrifugal force?
N. K n.k n.k....si maswali mepesi, geographers wanajua.
 
Utafiti unaonyesha kuwa hapo kwenye mwezi tu hakuna hewa ya oksijeni.Hao waliotua mwezini miaka ya 1976 back ward walijibebea hewa ya oksijeni.So kama kwenye sayari nyingine kuna viumbe kabda kwa mfumo mwingine wa maisha na sio huu kwa sababu huko hakuna hata maji.

Kama mahali hakuna maji ni jangwa.Nilifurahia sana jamaa mmoja hapa jf intelligence alieleza sana akasema kama wapo viumbe wengine watakuwa sio CARBON BASED Kama sisi bali labda SILCON BASED N.K Maana yake ni kwamba wanaopumua hewa nyingine. Lakini tujiulize kama mwezini hapo karibu ukilingasha na sayari nyingine hakuna hewa je huko ipo?Ni kwa zaidi ya miaka 40 wana anga (astronauts) wanafanya utafiti na hawana majibu.

So naamini kama kuna mengi yatakayofahamika kuhusu SPACE sio kwa kizazi hiki.ACHENI MUNGU AITWE MUNGU. UTUKUFU UWEZA VINA YEYE MILELE NA MILELE AMINAAA!
 
Nakumbuka miaka ya 90'alianguka MTU mmoja pande za USA ,MTU yule alikua was ajabu mpaka rais wa marekani Bush alikua wa ajabu ss labda alitoka pande za sayari mojawapo
MBONA MATUKIO KAMA HAYO HAYATANGAZWI WAZI MF. KWENYE DIRA YA DUNIA B.B.C N.K KUNA SIRI GANI?
 
Tungeanza kujua dunia inafanyaje kazi tena kwa ushahidi wa kuonekana hili swali tungelijibu!! Mfano tujiulize:-
1. Why gravitational force?
2. Is the world spherical?
3. If spherical jua lipo upande gan mwa dunia? Cz hakuna juu ya dunia...,
4. Ni how valid is corriolis and centrifugal force?
N. K n.k n.k....si maswali mepesi, geographers wanajua.
HUWEZI KU JUDGE UPANDE JUA LILIPO UKIWA DUNIANI KWA SABABU JUA NI CENTER YA SOLAR SYSTERM NA DUNIA INALIZUNGUKA SO MI NADHANI HAKUNA UPANDE ANGANI KWA SABABU ANGA HALINA CENTER. WE ONA TU UKIWA BAHARINI HAPA HAPA DUNIANI HUWEZI HUWEZI TAMBUA MASHARIKI AU UPANDE WOWOTE MPAKA UWE NA DIRA (CHOMBO) any way!! ni mawazo yangu tu !
 
HUWEZI KU JUDGE UPANDE JUA LILIPO UKIWA DUNIANI KWA SABABU JUA NI CENTER YA SOLAR SYSTERM NA DUNIA INALIZUNGUKA SO MI NADHANI HAKUNA UPANDE ANGANI KWA SABABU ANGA HALINA CENTER. WE ONA TU UKIWA BAHARINI HAPA HAPA DUNIANI HUWEZI HUWEZI TAMBUA MASHARIKI AU UPANDE WOWOTE MPAKA UWE NA DIRA (CHOMBO) any way!! ni mawazo yangu tu !

Utaamini vipi kila ambacho NASA inasema? what if they lie some things about Universe and solar systems?

Mwanzo walikuwa wanasema kuhusu sayari tisa na Jua lake na mwezi, lakini sasa hivi unaambiwa kuhusiana na Galaxies, Planet X na hata nyota nyinginezo. what if kuna sayari nyingine nyingi na aina mbalimbali ya watu na viumbe kama kryptonians, Aliens na wengineo ambao tunaanza wakiwamanifest kwenye vitabu, tamthilia na Filamu? maana naona namna NASA pekee wana bidii sana kufuatilia haya mambo kiundani zaidi..
 
Utaamini vipi kila ambacho NASA inasema? what if they lie some things about Universe and solar systems?
mwanzo walikuwa wanasema kuhusu sayari tisa na Jua lake na mwezi, lakini sasa hivi unaambiwa kuhusiana na Galaxies, Planet X na hata nyota nyinginezo. what if kuna sayari nyingine nyingi na aina mbalimbali ya watu na viumbe kama kryptonians, Aliens na wengineo ambao tunaanza wakiwamanifest kwenye vitabu, tamthilia na Filamu? maana naona namna NASA pekee wana bidii sana kufuatilia haya mambo kiundani zaidi..
Mara nyingine tunaamini maana ujanja wetu ngozi nyeusi ni mdogo sana. Angalia hata exploration karne 18 ,19 na 20 hakuna mweusi hata mmoja tunasikia tu wakina Vasco da gama wareno.Ndo kusema kama wasingechakarika humu humu duniani tusingejua kuwa OVERSEAS KUNA WENZETU. TUNGEBAKIA KUJUA Songea na Mwanza tu.
 
kutokana na hali ya kimazingila kiumbe kilocho umbwa kwa mfumo wa upumuaji lazima kinatumia oxgyen au carbondioxide na ndo hewa zinazo patikana kwenye dunia ndio maana viumbe walipo ingia katika sayar hizi walistahimili kwenye dunia mpaka sasa hizo sayari nyingine zina surface lakin hewa ndo sio rafiki kwa binadam na viumbe hai ingawa labda kidogo sayar ya MARS
 
Sayari nyingine ni just gases. Kwa mfano Jupiter is just gas. Mars inasemekana zamani watu walikuwa wanaishi,wakapigana,wakaiharibu,wakahama. Lakini hata sasa wanaweza kuwepo watu Mars ndani ya sayari,kama vile ambavyo wapo watundani ya dunia.
 
Sayari nyingine ni just gases. Kwa mfano Jupiter is just gas. Mars inasemekana zamani watu walikuwa wanaishi,wakapigana,wakaiharibu,wakahama. Lakini hata sasa wanaweza kuwepo watu Mars ndani ya sayari,kama vile ambavyo wapo watundani ya dunia.
hivi tuko ndani ya dunia au nje ya dunia?
 
According to bible Mungu aliumba dunia tuu!..
 
Unapozungumzia uwepo wa viumbe hai kwenye planet yeyote kuna vitu vya msingi lazima viwepo, umbali sahihi wa hiyo sayari kutoka kwenye jua kitaalam wanaita Godlock zone sayari ikiwa kwenye hiyo zone huwa ipo mahari ambapo sio barid sana wala sio joto sana, hii usababiaha uwepo wa maji yanayomiminika!

Pia huwepo wa ozone layer kwa mfano sayari kalibia zote pamoja na ndugu yetu mars haina ozone is to rick for the life to exist there, kwa sababu ya vimondo na takataka nyingine za angani zinapiga sana hizo sayari..pia hizo sayari za nyuma ya lijupiter hazifai hata kidogo kuishi coz Jupiter ndio msalia mtume kwetu hutuzuia na vimondo vingi sana
 
kutokana na hali ya kimazingila kiumbe kilocho umbwa kwa mfumo wa upumuaji lazima kinatumia oxgyen au carbondioxide na ndo hewa zinazo patikana kwenye dunia ndio maana viumbe walipo ingia katika sayar hizi walistahimili kwenye dunia mpaka sasa hizo sayari nyingine zina surface lakin hewa ndo sio rafiki kwa binadam na viumbe hai ingawa labda kidogo sayar ya MARS
Acha hewa udongo wa mars unaweza kukuuwa coz unakiwango kikubwa cha kemikali.all in all universe ni mahari ambabo papo very dangerous kwa kiumbe hai.
 
Sayari nyingine ni just gases. Kwa mfano Jupiter is just gas. Mars inasemekana zamani watu walikuwa wanaishi,wakapigana,wakaiharibu,wakahama. Lakini hata sasa wanaweza kuwepo watu Mars ndani ya sayari,kama vile ambavyo wapo watundani ya dunia.
Mkuu simple kiasi hicho?,wakapigana wakaiharibu wakahama mhh!!!
Wakahamia wapi sasa? Sisi mbona tunapigana kila leo ila hatuhami sayari yetu hii ya dunia?
Za kuambiwa changanya na zako mkuu
 
Acha hewa udongo wa mars unaweza kukuuwa coz unakiwango kikubwa cha kemikali.all in all universe ni mahari ambabo papo very dangerous kwa kiumbe hai.
Kiumbehai yupi unaemwongelea! Hapahapa duniani kuna sehemu huwezi ishi lakn kuna viumbe wengine wanaishi"
 
We do not have the energy. It is crazy far.

The closest star is the Alpha Centauri system, it takes light 4.367 years to get there from here.

And light travels at about 300,000 km per second. Do the math.

Na hiyo ni nyoya ya karibu tu, kuna nyingine ziko mbali mara bilioni ya hii.

Ona hapa

How long would it take to get to Alpha Centauri? | EarthSky.org

1971 Mariner 9 ilitumia siku 167 na 2004 NASA Rover ilikadiriwa miezi 8.5 kufika Mars
 
Back
Top Bottom