Nini kesho ya mbuga ya Selous?

Kurithi madaraka ni hatari sana Kwa nchi.katiba ibadilishe kuhusu kurithi madaraka ya urais.maana wanaweza kurithi ambapo hawana uwezo wa kuongoza nchi ikapata hasara kama ilivyo sasa. kitu kidogo tu Cha kusimamia namna ya kuyaelekeza maji ili yasilete madhara wameshindwa.mbulula wengi wameshika madaraka na matokeo yake ndiyo haya ya hovyo tunayoyaona.daaah!Nchi yangu inaliwa sana na Wala rushwa
 
Akafukuliwe mshamba aliyelazimisha hili bwawa kujengwa, tumchome moto.
Hehee vimeo mkifungua bwawa pongezi zote kwa mama,,, kikinuka la JPM ......marehemu atawatesa sana hadi huko kaburini
 
Uzuzu nao un shida.
Sasa hao wanyama watazama baada ya woye kuogelea mto Rufiji?
 

Mdogo mdogo tutaelewana.

JNHPP Oyeeee!!
 
Kwa akili Yako unaamini kuwa wanyama wa pori hawajui kuwa BWAWA linatapishwa maji?

Mamba na viboko pekee ndio watakaokaidi kuhama!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ CCM mbele kwa mbele
 
Hakuna mtu aliewafikisha hapo zaidi ya akili zenu za kuvukia barabara.
 
Kuna Profesa Raphael Mwalyosi aliyaona haya akaambiwa anatumika na mabeberu!
 
Mungu ni mwema mambo yote yanaenda sawa
 
Hivi majinga majinga siku hizi kama hili jamaaa yanatoka wapi .......we jamaa ni sehemu za siri sana wewe tena wewe sehemu za siri za mwanamke
 

watanzania kama tuna laana vile. kama unataka hela za bure, nenda kaombe huo msaada. Tunahitaji people capable of providing solutions. Sio kulalamika kama watoto wachanga kila siku
 
watanzania kama tuna laana vile. kama unataka hela za bure, nenda kaombe huo msaada. Tunahitaji people capable of providing solutions. Sio kulalamika kama watoto wachanga kila siku
Hata katika research lazima uanze na statement of the problem, nini lalamiko katika jamii
 
Acha kutisha na kudanganya watu kama una ugomvi binafsi na JPM sababu ndugu zako walikuwa mafisadi utulie akili zikusogee
Jibu hoja acha kuleta stori za wafu,Hazina Msaada Kwa Sasa licha ya hO wafu kutufikisha hapa kwenye balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…