Nini kifanyike ili kuepuka "kuchapiwa"?

Nini kifanyike ili kuepuka "kuchapiwa"?

Hiyo ni tabia ya mtu inaitwa hulka, kama umeowa mwanamke mwenye tabia ya kuwashwa chini ataliwa tu hata na Bodaboda.

Kuna wanawake wengi tu wamesamehe ajira Kwa kukataa kuvuliwa chupi na mabosi ili apewe ajira.

Sasa imagine mwanamke wa aina utamrubuni na kipi ili atoke nje ya ndoa yake? next to impossible.
Hii mitazamo ndio inayotakiwa kiumeni badala ya comments nyingi za kulialia nilizoziona kwenye uzi huu.

Umeongea point ya msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It's my perspective nakubali, nanichojua mwanamke asiyekuzaa hakupendi kwa dhati hata afanye maigizo gani. Everyone has a price hivyo huyo mtu hajamfikia price yake. Just like the world is capitalized, even people are capitalized. Upendo wa dhati ni wamama tu sio mwanamke niliyekutana naye at 20s.
Wewe mbona unaongea kama umejuja duniani jana?

Unaposema kwa uhakika kuwa, mwanamke aliyekuza ndiye atakae kupenda unakuwa umefikiria vizuri? Mama yako huyohuyo ukikaa vibaya anashirikiana na baba'ko kukutoa kafara ili watajirike (japo sio wote)

Kwahiyo kama ambavyo sio wazazi wote wenye kuwapenda watoto wao, vivyo hivyo sio wanawake wote wenye kuwapenda wanaume zao (wasiowapenda wanaume wao ni wengi lakini wapo wachache wanaowapenda kwa dhati)

Uzoefu wako katika mapenzi usiufanye kuwa universal (kwamba hakuna mwanamke yoyote anaependa kwa dhati dunia nzima)

Mkuu Robert Heriel , alikuwa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndo umeongea point, itakuwa ngumu sana kukucheat.

"Ngumu sana" ndio msingi wa hoja yako.

Nimepitia uzi huu nimeshangaa sana kuona wanawake wanakuzwa na kuonekana viumbe wenye akili sana kuliko mwanaume, kibaya zaidi ukuzwaji huo unafanywa na wanaume wenzangu.

Huu uoga ninaouona kwa Men wenzangu umekithiri sana aiseeh[emoji1].

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unataka kusema wanawake hawachepuki au kuchapwa na wahuni?
 
Wewe mbona unaongea kama umejuja duniani jana?

Unaposema kwa uhakika kuwa, mwanamke aliyekuza ndiye atakae kupenda unakuwa umefikiria vizuri? Mama yako huyohuyo ukikaa vibaya anashirikiana na baba'ko kukutoa kafara ili watajirike (japo sio wote)

Kwahiyo kama ambavyo sio wazazi wote wenye kuwapenda watoto wao, vivyo hivyo sio wanawake wote wenye kuwapenda wanaume zao (wasiowapenda wanaume wao ni wengi lakini wapo wachache wanaowapenda kwa dhati)

Uzoefu wako katika mapenzi usiufanye kuwa universal (kwamba hakuna mwanamke yoyote anaependa kwa dhati dunia nzima)

Mkuu Robert Heriel , alikuwa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo anadhani wamama wote wanamoyo wakupenda Watoto. Wapo wamama wachache ni vichomi.
Na hao ndio wanaharibu Sifa za wengine
 
Wewe mbona unaongea kama umejuja duniani jana?

Unaposema kwa uhakika kuwa, mwanamke aliyekuza ndiye atakae kupenda unakuwa umefikiria vizuri? Mama yako huyohuyo ukikaa vibaya anashirikiana na baba'ko kukutoa kafara ili watajirike (japo sio wote)

Kwahiyo kama ambavyo sio wazazi wote wenye kuwapenda watoto wao, vivyo hivyo sio wanawake wote wenye kuwapenda wanaume zao (wasiowapenda wanaume wao ni wengi lakini wapo wachache wanaowapenda kwa dhati)

Uzoefu wako katika mapenzi usiufanye kuwa universal (kwamba hakuna mwanamke yoyote anaependa kwa dhati dunia nzima)

Mkuu Robert Heriel , alikuwa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief, we tumia hisia zako na vitu vyote uvitakavyo ila sijatumia experience mimi hapo. Nilishaillustrate nakuelezea basing on scientific facts, I really don't care uaminivyo. Pia jua sio wote tunaexperience na mapenzi😂😂😂, ninaobjectives zangu. Kudos boss!
 
Hii mitazamo ndio inayotakiwa kiumeni badala ya comments nyingi za kulialia nilizoziona kwenye uzi huu.

Umeongea point ya msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa vijana wa humu sometimes kuwaangalia tu wanawachukulia powa wanawake, wanawake ni zaidi ya wawajuavyo, hata hao bar made wanaowadharau akiamuwa anakaza unapigwa kalenda tu kama fala au unakimbiwa at last point.
 
Back
Top Bottom