Nini kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Nini kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je, nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
Utaiondoaje CCM madarakani wakati champ chako sehem nyingi hakipo kabisa hasa vijijini?
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
ukiiondoa umweke nani? na kwanini uiondoe?
 
CCM haiondoki sababu hakuna chama mbadala. Ukienda ndani kabisa kwenye Mashina na mitaa utakuta chama kimoja tu chenye ofisi, viongozi na wanachama. Vyama vingine ni kelele tupu, propaganda zao wanaendesha mitandaoni badala ya kuwafuata wapiga kura walipo.

Mfano halisi uchaguzi huu wa serikali za mitaa, hali si hali vijijini hakuna chama cha upinzani kimesimamisha mgombea. Tena wananchi wengine hawajui hata kama kuna vyama vya upinzani. Imefikia hatua baadhi ya maeneo raia hawajaenda kupiga kura sio sababu wamesusia, bali wanajua na kuamini viongozi wao waliwachagua mwezi Oktoba ktk kura za maoni za CCM.

amini usiamini ni asilimia 3 tu (3%) ya wapinzani ndio waliosimama katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa leo nchi nzima. Asilimia iliyobaki (97) ni wagombea wa CCM.

Halafu kuna ng'ombe sijui nyumbu inaamini kuna nafasi ya upinzani kushika dola tz!
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
Polepole alisema "lazima tufundishane adabu" bila kufundishana adabu sisiemu wataendelea kutawala mpaka mwisho wa dunia.
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
Kitu cha kwanza ni usalama wako kwanza na uwezo wa kuidhibiti mitandao ya kijamii, vile vile ukiona ulinzi ni mkali ujue usalama wako ni mdogo
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
Hiki hapa 🤪🤪👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DC4o9a4ttjA/?igsh=MTEybWMyc2pjd3V6OA==
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
vita vya wenyewe kwa wenyewe
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
CCM haijawahi kuwa chama cha wananchi, ni chama kinachotumia wananchi ili kulinda maslahi ya wafanyabiashara wakubwa wa kisiasa
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
Lisu hakujiandikisha Wala kupiga kura harafu unataka Chadema iwaondoe CCM? 😂😂
 
Kwa upinzani huu kuitoa ccm madarakani haiwezekani, na kwa nini ccm itoke ili iweje? Upinzani usio na ushawishi kila siku wao ni kulalamika na kuitisha press conference kulalamikia kila kitu na kudandia hoja wataitoaje ccm madarakani? Upinzani ambao haujui udeal na nani yaani wao ni kuattack personality ya watu hawachagui huyu ni balozi wa nyumba kumi, mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa au katibu tawala wao wanashambulia tu tena kwa kugha kalikali.

Upinzani ambao harakati zao hazina tofauti na zile enzi za kudai uhuru, upinzani ambao wao wako bongo familia zao zipo ulaya, upinzani ambao wanawachukia viongozi wa ccm wanaofanya vizuri ambao wananchi wanawakubali wasahau kuitoa ccm madarakani. Upinzani ambao kila mtu anayesifia mazuri ya serikali ni adui yao. Ukweli ni kuwa upinzani wa kweli utatoka ccm kama alivyotabiri Mwl. Nyerere lakini kwa hawa ambao walikesha wakipinga kila nzuri la JPM na hata sasa wanapinga kila zuri la mama Samia wasahau kuitoa ccm madarakani maana huwezi kuwatenganisha na wanaharakati.
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
kwa maoni yangu hakuna kabisaa kinachoweza kuitoa CCM kwa wakati huu likini pia wakati ujao na wakati mwingine wowote.

hakuna dalili, wala hakuna kiongozi au taasisi ya kisiasa yenye maono, mipango mikakati hata ya kushinda uchaguzi wa kata au Jimbo tu la uchaguzi.

kuwaza kuitoa CCM madarakani ni sawa na kujidanganya kwa uchawi au ushirikina tu .

hakuna namna unaweza kuwaleta pamoja watu wanaofadhiliwa na mabwenyenye ya magharibi, yaani vibaraka na wale ambao wanajiona ni mapatriotic, wanaoamini kwamba wao ndiyo wenye haki na hatma ya Taasisi za kisiasa wanazoongoza 🐒
 
Back
Top Bottom