Nini kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Nini kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Yafanyike ya Msumbiji kwa wananchi kuandamana kupinga uchafuzi wa uchaguzi bila kikomo na maandamano yasiratibiwe na Chama chochote cha siasa.
Mbowe aliitisha maàndamano hata John Pambalu hakwenda. Hayo yàsiyo nà chama ataitisha nani?
 
Mbowe aliitisha maàndamano hata John Pambalu hakwenda. Hayo yàsiyo nà chama ataitisha nani?
Muda ni mwalimu ndugu tuandikie mate, tunza mawasiliano haya ipo siku utashangaa maana watu hawawezi kuvumilia uchafuzi wa kurauchaguzi milele.
 
Kwa vile CCM na vyombo vyake wamekataa njia ya kistaarabu ya kuleta mabadiliko ni mapinduzi ya kijeshi pekee ndiyo yanaweza kuwaondoa. Natamani JW lichukue nchi na kuvifutilia mbali vyama vyote vya siasa litawale kwa miaka mitano baada ya hapo iandikwe Katiba Mpya ndipo visajiliwe vyama upya kabisa chini ya usimamizi wa Jeshi. Hatuwezi kuendelea na hadaa ya kuwa Tanzania ni nchi ya kidemokrasia ya vyama vingi wakati CCM ni chama dola, lazima tuanze upya ili vyama vyote vishindane kwenye uwanja sawa.
Mawazo kuntu sana haya.
 
CCM haiondoki sababu hakuna chama mbadala. Ukienda ndani kabisa kwenye Mashina na mitaa utakuta chama kimoja tu chenye ofisi, viongozi na wanachama. Vyama vingine ni kelele tupu, propaganda zao wanaendesha mitandaoni badala ya kuwafuata wapiga kura walipo.

Mfano halisi uchaguzi huu wa serikali za mitaa, hali si hali vijijini hakuna chama cha upinzani kimesimamisha mgombea. Tena wananchi wengine hawajui hata kama kuna vyama vya upinzani. Imefikia hatua baadhi ya maeneo raia hawajaenda kupiga kura sio sababu wamesusia, bali wanajua na kuamini viongozi wao waliwachagua mwezi Oktoba ktk kura za maoni za CCM.

amini usiamini ni asilimia 3 tu (3%) ya wapinzani ndio waliosimama katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa leo nchi nzima. Asilimia iliyobaki (97) ni wagombea wa CCM.

Halafu kuna ng'ombe sijui nyumbu inaamini kuna nafasi ya upinzani kushika dola tz!

Umeongea ukweli kwa uchungu sana!

Ukweli usemwe
 
Siku social media kama JF wakiwa transparency kama X Tanganyika itapona otherwise tunatwanga maji kwenye kinu.

Mpira una threads nyingiiiiii

Let people speak out sio kufuta comments zinazolenga upande fulani.

Siku shillingi ikigeuzwa upande wa pili, wakupewa hukumu ya kuwadhulumu Wananchi wa Bara (mnavyotupachika jina au utaifa kwa madharau) mtakuwa wengi mjue!

Jitengeni na uovu. Ruhusuni free of speech sio tukiandika neno Tanganyika inawakera!

Tanganyika ndio yetu wabara kwa nini inawakera?
 
CCM haiondoki sababu hakuna chama mbadala. Ukienda ndani kabisa kwenye Mashina na mitaa utakuta chama kimoja tu chenye ofisi, viongozi na wanachama. Vyama vingine ni kelele tupu, propaganda zao wanaendesha mitandaoni badala ya kuwafuata wapiga kura walipo.

Mfano halisi uchaguzi huu wa serikali za mitaa, hali si hali vijijini hakuna chama cha upinzani kimesimamisha mgombea. Tena wananchi wengine hawajui hata kama kuna vyama vya upinzani. Imefikia hatua baadhi ya maeneo raia hawajaenda kupiga kura sio sababu wamesusia, bali wanajua na kuamini viongozi wao waliwachagua mwezi Oktoba ktk kura za maoni za CCM.

amini usiamini ni asilimia 3 tu (3%) ya wapinzani ndio waliosimama katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa leo nchi nzima. Asilimia iliyobaki (97) ni wagombea wa CCM.

Halafu kuna ng'ombe sijui nyumbu inaamini kuna nafasi ya upinzani kushika dola tz!
Mwamba umeongea ukweli mchungu
 
Ili kuiondoa ccm madarakani lazima kipatikane chama cha upinzani kwasasa Tanzania hakuna chama cha upinzani , Vingi vimeanzishwa kwa ajili ya kufanya ujasiriamali wa kisiasa
 
Dawa ya moto ni moto. Na dawa ya batili ni batili.
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je, nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
Jinsi unavyozidi kuichukia CCM, sisi wengine wengi kweli ndivyo tunavyozidi kuipenda zaidi na zaidi, tatizo kubwa ni HATA SEREKALI ZINAPOBADILIKA, WANAOINGIA HUWA HAWANA LA MAANA WANALOFANYAGA.
 
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.

Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.

Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.

Je, nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.

Uwanja ni wenu sasa
Cha kufanya ni kujenga fitina CCM ipasuke katikati....hao nusu waje Chadema

Otherwise,it will be a toll order.

Mpasuko is bound to happen,ila lini na how,is the matter of time.
 
Back
Top Bottom