Utaiondoaje CCM madarakani wakati champ chako sehem nyingi hakipo kabisa hasa vijijini?Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
ukiiondoa umweke nani? na kwanini uiondoe?Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Polepole alisema "lazima tufundishane adabu" bila kufundishana adabu sisiemu wataendelea kutawala mpaka mwisho wa dunia.Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Kitu cha kwanza ni usalama wako kwanza na uwezo wa kuidhibiti mitandao ya kijamii, vile vile ukiona ulinzi ni mkali ujue usalama wako ni mdogoNi takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Hiki hapa π€ͺπ€ͺππNi takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
vita vya wenyewe kwa wenyeweNi takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
CCM haijawahi kuwa chama cha wananchi, ni chama kinachotumia wananchi ili kulinda maslahi ya wafanyabiashara wakubwa wa kisiasaNi takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Lisu hakujiandikisha Wala kupiga kura harafu unataka Chadema iwaondoe CCM? ππNi takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Imechakaaukiiondoa umweke nani? na kwanini uiondoe?
kwa maoni yangu hakuna kabisaa kinachoweza kuitoa CCM kwa wakati huu likini pia wakati ujao na wakati mwingine wowote.Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa