ni muhimu sana ukweli ukasemwa,Tokosoe hoja bila kuvunjiana heshima
Kujitokeza mtaani mkuu, hii ndio njia pekeeNi takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Kuongea na madaktari huko India.Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Bora hizo athari kubwa kuliko kuendelea kutawaliwa na ccm kwa shuruti.Njia hii athar zake ni kubwa Sana Kwa taifa.
Mifano ipo Ming
Kwanza Katiba mpya yenye Tume huru ya uchaguzi,Ikiwepo Mgombea Binafsi.Vyombo vya ulinzi Kazi Yao iwe ni kulima Usalama bila shinikizo la chama chochote kilichopo madarakani..Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Tatizo tunahalalisha wiziCCM haiondoki sababu hakuna chama mbadala. Ukienda ndani kabisa kwenye Mashina na mitaa utakuta chama kimoja tu chenye ofisi, viongozi na wanachama. Vyama vingine ni kelele tupu, propaganda zao wanaendesha mitandaoni badala ya kuwafuata wapiga kura walipo.
Mfano halisi uchaguzi huu wa serikali za mitaa, hali si hali vijijini hakuna chama cha upinzani kimesimamisha mgombea. Tena wananchi wengine hawajui hata kama kuna vyama vya upinzani. Imefikia hatua baadhi ya maeneo raia hawajaenda kupiga kura sio sababu wamesusia, bali wanajua na kuamini viongozi wao waliwachagua mwezi Oktoba ktk kura za maoni za CCM.
amini usiamini ni asilimia 3 tu (3%) ya wapinzani ndio waliosimama katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa leo nchi nzima. Asilimia iliyobaki (97) ni wagombea wa CCM.
Halafu kuna ng'ombe sijui nyumbu inaamini kuna nafasi ya upinzani kushika dola tz!
dp ni nini?dp yako
isije kuwa wewe ni TISS...Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Kama ni TISS,Usijali mlete India.isije kuwa wewe ni TISS...
Mi naona haya mambo tuyaache kwanza,muda ukifika yenyew tu yatajipangaufahamu wa mambo ya siasa na athari zake katika maisha uongezeke miongoni mwa watanzania
Yafanyike ya Msumbiji kwa wananchi kuandamana kupinga uchafuzi wa uchaguzi bila kikomo na maandamano yasiratibiwe na Chama chochote cha siasa.Ni takribani miaka 33 sasa juhudi za kuiondoa CCM madarani zinafanyika nchini TANZANIA bila mafanikio yoyote.
Kadri miaka inavyodhid kwenda CCM wameendelea kujiimarisha Kwa njia halali na haramu.
Kwa chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu Kwa miaka ya karibuni CCM wameonekana wapo tayari Kwa lolote.
Je nini Kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?
Uzi huu Una lengo la kuwaleta pamoja wenye nia Sawa na Uzi huu ambao wamekuwa wakiumiza vichwa vyao kupata majibu ya swali hili.
Uwanja ni wenu sasa
Kuiondoa CCM madarakani ni hadi pale upunzani watakapo kuwa na pesani muhimu sana ukweli ukasemwa,
na tabia ya ukweli huwa ni mchungu na unauma sana. Na ni jambo zuri na la maana sana ukweli huo ukapokelewa kama ilivyo.
CCM haifanani na chama chochote cha siasa barani Africa na duniani kote, na kwahivyo hakuna namna chama, watu au taasisi ya nadani au nje ya nchi, inaweza kwa namna yoyote ile kuudhoofisha ama kuiyumbusha CCM.
Forget about kuiondoa mamlakani, my friends, ladies and gentlemen 🐒
Nataka kumweka Spunda, ana sera za ubwabwa.ukiiondoa umweke nani? na kwanini uiondoe?