Nini kifanyike ili ubaguzi wa aina hii uondoke? Je, Afrika tunaweza jitegemea?

Nini kifanyike ili ubaguzi wa aina hii uondoke? Je, Afrika tunaweza jitegemea?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Habari JamiiForums,

Katika pita pita zangu nimebahatika kukutana na hii clip, hii clip inaonyesha mabinti wadogo wakipewa medali na miongoni mwao alikuwepo binti mwenye asili ya rangi nyeusi akarukwa na mpaka mwisho hakupewa.

Binafsi huwa siamini sana kama rangi nyeusi tunaonewa ila naamini sisi wenyewe tumetengeneza mazingira ya kufanya tudharaulike .

Nini kifanyike kwa wananchi na viongozi tuondokane na mitazamo kama hii kwa mtu mweusi?
 
😅😅😀 Jamani hata matukio ya bastola kwa watu weusi.

Wale hufanya matukio ya bastola kwa weusi huwa hawajaagizwa kidini, unakuta ni mtu binafsi na chuki zake..........tofauti sana ya kwenu nyie, kwanza mnachinja waafrika wenzenu kisa muarabu kawaagiza.
 
Habari JamiiForums,

Katika pita pita zangu nimebahatika kukutana na hii clip, hii clip inaonyesha mabinti wadogo wakipewa medali na miongoni mwao alikuwepo binti mwenye asili ya rangi nyeusi akarukwa na mpaka mwisho hakupewa.

Binafsi huwa siamini sana kama rangi nyeusi tunaonewa ila naamini sisi wenyewe tumetengeneza mazingira ya kufanya tudharaulike .

Nini kifanyike kwa wananchi na viongozi tuondokane na mitazamo kama hii kwa mtu mweusi?
View attachment 2761944
Hapo ni rangi tu, haijalishi kama uchumi ni mzuri au mbaya.
Mpaka kufikia kuwa katika hayo mashindano, nina uhakika wazazi wa huyo binti kama wa hao wenzake, pesa zimewatoka kuwaandaa.
 
Wale hufanya matukio ya bastola kwa weusi huwa hawajaagizwa kidini, unakuta ni mtu binafsi na chuki zake..........tofauti sana ya kwenu nyie, kwanza mnachinja waafrika wenzenu kisa muarabu kawaagiza.
😅😅Kila mwarabu ni muislamu?
 
Back
Top Bottom