Niende moja kwa moja kwenye mada.
1. Zije tipper trucks 10, mizigo yote iliyopo ndani ya jengo na nje ya jengo yote itolewe. Hili zoezi lingeweza fanyika toka jana, ila limezembewa, huwezi fanya uokozi na mzigo mzito bado upo juu ya jengo, jengo litaendelea titia.
2. Matofali, mabati, mbao, na vyote ambavyo viko loose kwenye jengo hadi sasa ilibidi viwe vimeshatolewa, hii pia inapunguza uzito wa jengo, jambo hili ilibidi liwe limeisha toka jana, ila bado hatujachelewa.
Kuondoka vitu tajwa hapo juu, kutapunguza uzito wa jengo kwa tani 50 hadi tani 100. Huo uzito ukitoka hutosikia tena jengo linatitia. Pia hata usafi wa sehemu husika utakuwepo.
Waziri wa Viwanda na Biashara ambaye juzi ametoka kuwa waziri wa mazingira sijui anawezaje kuacha eneo la uokozi chafu kiasi hicho, hata wanaoololewa watapatikana vipi katika hali kama hiyo.
1. Zije tipper trucks 10, mizigo yote iliyopo ndani ya jengo na nje ya jengo yote itolewe. Hili zoezi lingeweza fanyika toka jana, ila limezembewa, huwezi fanya uokozi na mzigo mzito bado upo juu ya jengo, jengo litaendelea titia.
2. Matofali, mabati, mbao, na vyote ambavyo viko loose kwenye jengo hadi sasa ilibidi viwe vimeshatolewa, hii pia inapunguza uzito wa jengo, jambo hili ilibidi liwe limeisha toka jana, ila bado hatujachelewa.
Kuondoka vitu tajwa hapo juu, kutapunguza uzito wa jengo kwa tani 50 hadi tani 100. Huo uzito ukitoka hutosikia tena jengo linatitia. Pia hata usafi wa sehemu husika utakuwepo.
Waziri wa Viwanda na Biashara ambaye juzi ametoka kuwa waziri wa mazingira sijui anawezaje kuacha eneo la uokozi chafu kiasi hicho, hata wanaoololewa watapatikana vipi katika hali kama hiyo.