Nini kifanyike kurejesha imani ya wananchi kuhusu uchaguzi?

Nini kifanyike kurejesha imani ya wananchi kuhusu uchaguzi?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Baada ya siasa za Tanzania kufanywa na dola badala ya wanasiasa imani ya wananchi imepotea kuhusu haki ya kuchagua na kuchaguliwa.

Awali ilikuwa dola haijitokezi adharani kudhibiti wanasiasa ila kwa zaidi ya miaka nane sasa wanasiasa wameonyesha kuweka dola mbele zaidi.

Je ni lini dola itaachana na siasa za majukwaani na kuwaachia wanasiasa wapambane?
 
Baada ya siasa za Tanzania kufanywa na dola badala ya wanasiasa imani ya wananchi imepotea kuhusu haki ya kuchagua na kuchaguliwa.

Awali ilikuwa dola haijitokezi adharani kudhibiti wanasiasa ila kwa zaidi ya miaka nane sasa wanasiasa wameonyesha kuweka dola mbele zaidi.

Je ni lini dola itaachana na siasa za majukwaani na kuwaachia wanasiasa wapambane?
CCM wanavuna aibu kwa upumbavu wao wa kuingilia uchaguzi
 
Nasikia kuna baadhi ya watumishi wa umma wanalazimishwa eti kwenda kujiandikisha! Mambo ya ajabu sana haya kwenye nchi inayojinasibu kufuata utawala wa sheria!
 
Wananchi wakiacha kuamini mifumo ya uchaguzi na kukaa pembeni serikali itakosa uhalali wa kutawala na hili litepelekea kunyukana wao kwa wao na yatatokea yasiyotarajiwa

Muda si mrefu Mungu atajibu
 
Back
Top Bottom