Nasibu hemedi
Member
- Aug 27, 2022
- 11
- 4
Kwa jina naitwa Ramadhani Selemani Ramadhani ni kijana wa kitanzania nina umri wa miaka 28 kwa sasa leo ningependa nizungumzie mambo mbalimbali yanayo weza kufanyika ilimradi kuweza kufanikiwa kufika mbali katika timu yetu ya taifa.
Mpira ni mchezo wenye washabiki wengi sana duniani kote na nimchezo unaopendwa sana na wenye uwekezaji kubwa huenda kuliko michezo yote duniani. Kwa taifaletu la tanzania pia mchezo huo wa mpira upo na unawashabiki wengi kuliko mchezo wowote uliopo ndani ya taifa letu.
Kwenye nchi yangu ya tanzania kuna michezo mingi sana kama vilbo netbol na kuruka ukamba ila leo mimi napenda kuzungumzia mchezo maarufu sana unaoitwa mpira wa miguu kwa upande wa wanaume na kwa upande wawanawake.
Faida za mpira kwa taifa letu
(i) Kutangaza taifa letu. Mfano tunapoenda kucheza nje ya tanzania tunapaya furusa ya kutangaza taifa letu.
(ii) Huwapa vijana ajira. Kwakua mpira ni kipaji unaweza kuwa hujasoma au umesoma lakini hujafanikiwa kupata kipato kizuri kupitia mpira wa miguu.
(iii) Mpira hujenga mwili. Kwakuwa mpira ni mchezo unahusisha sana mazoezi ya viungo kama kukimbia kuruka na kupiga pushapu kwahio ni mazoezi muhimu kwa mwili.
(iv) Mpira unaingizia taifa kipato. Pale wanapokuja wachezaji kutoka njee kucheza hulipa kodi na hata vilabu vilivyopo vinalipa kodi kwahio taifa linapata faida kupitia mpira wa miguu.
Leo ningependa mada yangu ijikite kwenye timu yetu ya taifa kwanini haifanyi vizuri na je nini kifanyike ili ifanye vizuri tuwe maarufu karibu funiani kote.
Je, Nini kinafanya timu yetu ishindwa kufanya vizuri?
(i) Aina ya wachezaji tulio nao kwenye timu ya taifa ni wachezaji wazuri lakini muunganiko wao sio bora kwakuwa kila mchezaji ana clabu yake na kila clabu inamwalimu wake na kila mwalimu anamfumo wake hivyo wanapo kusanywa kucheza timu ya taifa hawapati muunganiko bora.
(ii) Muda wanao kaa kambini huwa unakuwa ni mdogo sana hivyo hupelekea maandalizi ambayo sio bora kwa kiasi kikubwa.
(iii) Posho ndogo kulinganisha na posho wanazo pata kwenye clabu zao kwahio wachezaji wanacheza kwakuto kujitolea kwakuwa kipato ni kidogo hata wanapo umia inakuwa shida kuupata huduma bora kutoka kwenye timu ya taifa ukilinganisha na clabu zao.
(iv) Miundombinu mibaya ya timu ya taifa ukilinganisha na kwenye timu wanazo cheza wachezaji moja moja.
Je, Nini kifanyike ili kufanya vizuri zaidi na kupata timu iliyo bora?
Viongozi wa TFF na viongozi wa nchi kushirikiana na waziri wa michezo hawa ndio wanao weza kufanya tupate timu bora ambayo itatutambulisha duniani na kutupa heshima kwa sababu ili timu ya taifa ifanye vizuri lazima iandaliwe na ijengewe mipango kwa kuda kidogo.
Hii timu ya taifa tulio nayo ibaki hivi hivi ila kuteuliwe kamati izunguke tanzania nzima itafite vijana wadogo kuanzia miaka 6 na mpaka 14 tupate vijana 50 wenye umri kuanzia miaka 6 mpaka 14 tuwakusanye sehemu moja tuwatengee majeti yao nziri tuwapeleke nchi za ulaya mfano uingereza au ufaransa tuwatafutie akademiki nzuri wasomee mpira tu ndani ya miaka 7 wakae huko huko wacheze mechi nyingi huko ulaya baada ya miaka 7 tuchague vijana walio fikia umri wa kucheza timu za watu wazima. Tuchukue vijana 24 wengine wadogo tuwaache waendelee kukaa hukohuko njee wajifue zaidi. Alafu hawa 24 wawe timu ya taifa tu basi yani wao kazi yao ni kucheza timu ya taifa tu maisha yao yote mimi nina uhakika miaka 7 ya mbele tungekuwa na timu hatari na tishio duniani .
Kama suala la bajeti litakuwa na shida kidogo basi tuteuwe rasilimali moja iliopo nchini kwetu iwe maalumu kwa timu ya taifa mfano tutoe mgodi moja kilakinacho patikana hapo basi nikwaajili ya timu ya taifa tu au tuteuwe mbuga moja mfano mikumi iwe ni kwa ajili ya taifa stars tu hakika tutafanikiwa na tutatangaza haifa letu na kupitia huo mchezo wa mpira tutatangaza sana vivutio vyetu vya utalii na tutaingiza kipato kikubwa sana zaidi ya sasa .
Jambo la mwisho napenda kuwashauri watanzania wenzangu kwa ujumla kuwa watoto wetu tuwape elimu juu ya michezo na tuwaunge mkono ili wafike malengo yao elimu ni bora sana lakini kipaji nibora na kipaji ni ariza pia watambue kuwa michezo ni utajiri michezo ni ajira huria kwahio wazazi na vijana wenzangu tuwape moyo watoto wetu pale tinapogundua kuwa wanavipaji .
Vipaji sio mpira pekeake hapana. Kuna kuimba kucheza mziki kucheza ngoma, kuruka kamba, na mingineyo mingi .
Michezo haijalishi mtu ni mlemavu au ni mzima kuna michezo mpaka ya walemavi kwahio wote kwa pamoja tuungane tutafanikiwa .
Tusisahau kuwa michezo pia ni chanzo na kivutio cha watalii ndani ya taifa mfano kucheza ngoma za asili kama wamasai, wagogo, wahaya, wadigo na makabila mengine yenye utamaduni wa kucheza kiasili huvutia sana watalii wanapo waona na kivuyiwa kuja nchini kwetu na wanapokuja nchi inaingiza kipato kutokana na kodi zinazo lipwa. Michezo ikizorota tunao umia ni sisi wenyewe wananchi na haibu inaingia taifa letu kwa pamoja.
Asanteni sana na naombeni msamaha kama kuna sehemu nimeongea vibaya haya ni mawazo yangu tu. Mwandishi ni mimi mwenyewe ramadhani selemani
Mpira ni mchezo wenye washabiki wengi sana duniani kote na nimchezo unaopendwa sana na wenye uwekezaji kubwa huenda kuliko michezo yote duniani. Kwa taifaletu la tanzania pia mchezo huo wa mpira upo na unawashabiki wengi kuliko mchezo wowote uliopo ndani ya taifa letu.
Kwenye nchi yangu ya tanzania kuna michezo mingi sana kama vilbo netbol na kuruka ukamba ila leo mimi napenda kuzungumzia mchezo maarufu sana unaoitwa mpira wa miguu kwa upande wa wanaume na kwa upande wawanawake.
Faida za mpira kwa taifa letu
(i) Kutangaza taifa letu. Mfano tunapoenda kucheza nje ya tanzania tunapaya furusa ya kutangaza taifa letu.
(ii) Huwapa vijana ajira. Kwakua mpira ni kipaji unaweza kuwa hujasoma au umesoma lakini hujafanikiwa kupata kipato kizuri kupitia mpira wa miguu.
(iii) Mpira hujenga mwili. Kwakuwa mpira ni mchezo unahusisha sana mazoezi ya viungo kama kukimbia kuruka na kupiga pushapu kwahio ni mazoezi muhimu kwa mwili.
(iv) Mpira unaingizia taifa kipato. Pale wanapokuja wachezaji kutoka njee kucheza hulipa kodi na hata vilabu vilivyopo vinalipa kodi kwahio taifa linapata faida kupitia mpira wa miguu.
Leo ningependa mada yangu ijikite kwenye timu yetu ya taifa kwanini haifanyi vizuri na je nini kifanyike ili ifanye vizuri tuwe maarufu karibu funiani kote.
Je, Nini kinafanya timu yetu ishindwa kufanya vizuri?
(i) Aina ya wachezaji tulio nao kwenye timu ya taifa ni wachezaji wazuri lakini muunganiko wao sio bora kwakuwa kila mchezaji ana clabu yake na kila clabu inamwalimu wake na kila mwalimu anamfumo wake hivyo wanapo kusanywa kucheza timu ya taifa hawapati muunganiko bora.
(ii) Muda wanao kaa kambini huwa unakuwa ni mdogo sana hivyo hupelekea maandalizi ambayo sio bora kwa kiasi kikubwa.
(iii) Posho ndogo kulinganisha na posho wanazo pata kwenye clabu zao kwahio wachezaji wanacheza kwakuto kujitolea kwakuwa kipato ni kidogo hata wanapo umia inakuwa shida kuupata huduma bora kutoka kwenye timu ya taifa ukilinganisha na clabu zao.
(iv) Miundombinu mibaya ya timu ya taifa ukilinganisha na kwenye timu wanazo cheza wachezaji moja moja.
Je, Nini kifanyike ili kufanya vizuri zaidi na kupata timu iliyo bora?
Viongozi wa TFF na viongozi wa nchi kushirikiana na waziri wa michezo hawa ndio wanao weza kufanya tupate timu bora ambayo itatutambulisha duniani na kutupa heshima kwa sababu ili timu ya taifa ifanye vizuri lazima iandaliwe na ijengewe mipango kwa kuda kidogo.
Hii timu ya taifa tulio nayo ibaki hivi hivi ila kuteuliwe kamati izunguke tanzania nzima itafite vijana wadogo kuanzia miaka 6 na mpaka 14 tupate vijana 50 wenye umri kuanzia miaka 6 mpaka 14 tuwakusanye sehemu moja tuwatengee majeti yao nziri tuwapeleke nchi za ulaya mfano uingereza au ufaransa tuwatafutie akademiki nzuri wasomee mpira tu ndani ya miaka 7 wakae huko huko wacheze mechi nyingi huko ulaya baada ya miaka 7 tuchague vijana walio fikia umri wa kucheza timu za watu wazima. Tuchukue vijana 24 wengine wadogo tuwaache waendelee kukaa hukohuko njee wajifue zaidi. Alafu hawa 24 wawe timu ya taifa tu basi yani wao kazi yao ni kucheza timu ya taifa tu maisha yao yote mimi nina uhakika miaka 7 ya mbele tungekuwa na timu hatari na tishio duniani .
Kama suala la bajeti litakuwa na shida kidogo basi tuteuwe rasilimali moja iliopo nchini kwetu iwe maalumu kwa timu ya taifa mfano tutoe mgodi moja kilakinacho patikana hapo basi nikwaajili ya timu ya taifa tu au tuteuwe mbuga moja mfano mikumi iwe ni kwa ajili ya taifa stars tu hakika tutafanikiwa na tutatangaza haifa letu na kupitia huo mchezo wa mpira tutatangaza sana vivutio vyetu vya utalii na tutaingiza kipato kikubwa sana zaidi ya sasa .
Jambo la mwisho napenda kuwashauri watanzania wenzangu kwa ujumla kuwa watoto wetu tuwape elimu juu ya michezo na tuwaunge mkono ili wafike malengo yao elimu ni bora sana lakini kipaji nibora na kipaji ni ariza pia watambue kuwa michezo ni utajiri michezo ni ajira huria kwahio wazazi na vijana wenzangu tuwape moyo watoto wetu pale tinapogundua kuwa wanavipaji .
Vipaji sio mpira pekeake hapana. Kuna kuimba kucheza mziki kucheza ngoma, kuruka kamba, na mingineyo mingi .
Michezo haijalishi mtu ni mlemavu au ni mzima kuna michezo mpaka ya walemavi kwahio wote kwa pamoja tuungane tutafanikiwa .
Tusisahau kuwa michezo pia ni chanzo na kivutio cha watalii ndani ya taifa mfano kucheza ngoma za asili kama wamasai, wagogo, wahaya, wadigo na makabila mengine yenye utamaduni wa kucheza kiasili huvutia sana watalii wanapo waona na kivuyiwa kuja nchini kwetu na wanapokuja nchi inaingiza kipato kutokana na kodi zinazo lipwa. Michezo ikizorota tunao umia ni sisi wenyewe wananchi na haibu inaingia taifa letu kwa pamoja.
Asanteni sana na naombeni msamaha kama kuna sehemu nimeongea vibaya haya ni mawazo yangu tu. Mwandishi ni mimi mwenyewe ramadhani selemani
Upvote
1