My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Ni kweli Vizazi vinakwemda vinabadirika lakini Miziki ya sasa hivi ni kama imeruka stages imekwenda mbaali zaidi maana hata vijana wengin tu hawazipendi hawana tu budi kuiskiliza, wimbo ndio ushaimbwa sasa Na mashabiki wanaozipenda Ni wachche tu ila wenye nguvu ya mob psychology Mfno wenye mabar, bod bod vishandu, na some other stupids 😂
Wakulaumiwa Ni Big playerss Kama wasafi wanaleta products za matusi na wanalazimisha zipenye Tena kaathiri wengi tu, mbna alikiba, aslay hawana matusi mazito na nyimbo zao zina radha na wanasikilizwa,
Anyway lakufanya HAKUNA,
Wakulaumiwa Ni Big playerss Kama wasafi wanaleta products za matusi na wanalazimisha zipenye Tena kaathiri wengi tu, mbna alikiba, aslay hawana matusi mazito na nyimbo zao zina radha na wanasikilizwa,
Anyway lakufanya HAKUNA,