Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Dawa ni wenuebiti wa mitaa kuwabia wananchi wahudhulie ,ikowa ni pamoka na kuwasomba kwenye moroliikokoteni,matrekita na kuwaamlisja walimu wawalete wanafunzi kwenye mikutano ya CCM,hapo ndipo tunaweza kupata watu,
Mbona Mtwara na Lindi waliweza luwasba ?
kazi rahisi mno kuliko zote duniani ni kupinga kila kitu, naTumeona Naibu Waziri Mkuu amerejea nyumbani lakini kinyume na matarajio wananchi wamegoma kumpokea kwa kiwango kilichokusudiwa.
Juzi waziri wa fedha na timu ya mawaziri kadhaa imetunga mbeya lakini wananchi wamegoma kujitokeza kwenye mikutano waliyofanya.
Katibu mkuu mdogo wetu Chongoro ameenda Katavi na Rukwa lakini alichokutana nacho huko its like siyo kiongozi mkubwa wa chama.
Katika tafakuri ya nafasi ya siasa katika jamii inaashiria watu wanaendelea kuvunjika moyo. Watu wanaendelea kutoona mambo makubwa yanayofanywa na serikali.
Unashauri waliopo madarakani wafanye nini kurejesha imani ya wananchi?
Hiyo ni code. Kuna mty anatakiwa afanye decoding.Tumeona Naibu Waziri Mkuu amerejea nyumbani lakini kinyume na matarajio wananchi wamegoma kumpokea kwa kiwango kilichokusudiwa.
Juzi waziri wa fedha na timu ya mawaziri kadhaa imetunga mbeya lakini wananchi wamegoma kujitokeza kwenye mikutano waliyofanya.
Katibu mkuu mdogo wetu Chongoro ameenda Katavi na Rukwa lakini alichokutana nacho huko its like siyo kiongozi mkubwa wa chama.
Katika tafakuri ya nafasi ya siasa katika jamii inaashiria watu wanaendelea kuvunjika moyo. Watu wanaendelea kutoona mambo makubwa yanayofanywa na serikali.
Unashauri waliopo madarakani wafanye nini kurejesha imani ya wananchi?
Hoja yako ni nzuri, ila mwandiko Sasa duh!Dawa ni wenuebiti wa mitaa kuwabia wananchi wahudhulie ,ikowa ni pamoka na kuwasomba kwenye moroliikokoteni,matrekita na kuwaamlisja walimu wawalete wanafunzi kwenye mikutano ya CCM,hapo ndipo tunaweza kupata watu,
Mbona Mtwara na Lindi waliweza luwasba ?
Nobody will stand to correct you with such blanket statements. Lucking truth....Hiyo ndio tofauti ya upinzani na CCM, viongozi wa CCM wanapokelewa na wapiga kura ila viongozi wa upinzani wanapokelewa na watoto wa shule ya msingi. I stand to be corrected
Tangu lini mjinga akawa corrected?Hiyo ndio tofauti ya upinzani na CCM, viongozi wa CCM wanapokelewa na wapiga kura ila viongozi wa upinzani wanapokelewa na watoto wa shule ya msingi. I stand to be corrected
Lucking = lackingNobody will stand to correct you with such blanket statements. Lucking truth....
Wakiacha kumtaja taja Hangaya kwenye speeches zao tutakuja vikaoni.Tumeona Naibu Waziri Mkuu amerejea nyumbani lakini kinyume na matarajio wananchi wamegoma kumpokea kwa kiwango kilichokusudiwa.
Juzi waziri wa fedha na timu ya mawaziri kadhaa imetunga mbeya lakini wananchi wamegoma kujitokeza kwenye mikutano waliyofanya.
Katibu mkuu mdogo wetu Chongoro ameenda Katavi na Rukwa lakini alichokutana nacho huko its like siyo kiongozi mkubwa wa chama.
Katika tafakuri ya nafasi ya siasa katika jamii inaashiria watu wanaendelea kuvunjika moyo. Watu wanaendelea kutoona mambo makubwa yanayofanywa na serikali.
Unashauri waliopo madarakani wafanye nini kurejesha imani ya wananchi?