Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

Dah m nilimkuta na mtu mwingine ila kwa kweli mapenzi ya zamani yalikuwa matam sana tofauti na siku hizi.

Nakumbuka mtoto alikuwa anaitwa JANE nilimwelewa na alinielewa sana yaan mtoto ukikaa nae hivi unajikuta unapata amani ya moyo.

Lakini ndio siko moja napita zangu kwenda shambani kati ya kijiji na kijiji nikamkuta anamsindikiza jamaa ambye hakuwa wa kijijin kwetu, aise sikuongea nae tena japo alikuja kuolewa na huyo jamaa na wanaishi pamoja hadi leo.

Lakini ndio hivyo mara nyingi ananipigia kuwa namsusa na kutaka tukumbushie mambo ila namwambia yale yalishapita
 
it's just a matter of time, it will pass
Yeah sure!

I loved this girl, some 14 years ago. Was madly in love. Crossed some lines to make her happy. There was an opportunity for 5 students to visit Norway and my position was like guaranteed as the host school wanted someone holding my position to be in a trip.

I did so much to get her in the time and yes she was. We flew together, Zenji- Trondheim- Mo I rana. Had good time, and upon return she told me it was over at the airport (Zanzibar airport).

I came to realise that I had made a mistake, and sadly my mistake was that I was black.
 
Dah pole sana mzee.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
😢 gosh! but that wasn't your mistake.. she was so naive and narrow minded that wasn't your mistake at all. Sorry about that
 
Dah aisee.

Kweli mapenzi yanabadilisha tabia za watu.
 
This Is Deep content...
 
Milima.haikutani, Binadamu hukutana.

Ipo siku.
 
Ko ulikuwa na mahusiano na mke wa mtu pasi na wewe kujua?
 
Duh.

Hatari Aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…