Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

My first love alikuwa na his first love ,kwahiyo nikampa ukumbi tu waendelee na yao
 
Mi nimekuelewa vizuri 50,sio mchezo ilikuwa nyingi Sasa...wewe Ni mwanaume wa mfano,,,,hivi Hawa wenzio vipi?si wajifunze jamani?
Kuhonga sio shida tatizo serikali haitoi ajira na mitaji mikubwa nayo hatuna 😅!!!

Wanaohonga sana ni wenye mitaji mikubwa kama akina DeepPond hao lazma waonekane wa maana.
 
Kuhonga sio shida tatizo serikali haitoi ajira na mitaji mikubwa nayo hatuna 😅!!!

Wanaohonga sana ni wenye mitaji mikubwa kama akina DeepPond hao lazma waonekane wa maana.
Lakini story yake ameanza kuhonga darasa la Sita.. vipi wewe umemaliza mpaka degree huna mbinu za kupata chochote jamani?
 
Lakini story yake ameanza kuhonga darasa la Sita.. vipi wewe umemaliza mpaka degree huna mbinu za kupata chochote jamani?
Mbinu ninazo ila ninachokipata hakitoshelezi kuhonga😅
 
Alikua ananipenda sana.

Alipoanza chuo mala ya kwanza kwanza akaninunuliaga na smartphones

Alipofika mwaka wa pili akawa ameshaanza kuijua UDSM Vizuri


Basi hapo ndio na mimi nkaanza kusikiliza nyimbo za marioo
Ya uchungu ~ mario
 
Ogopa sana Rafiki mwanaume wa Mwanamke wako trust me ipo siku atamlaa tuu, First love wangu tukapendana sana mpaka tukawa tunashare passowrd za fb sasa tokana nikawa namuamini sana nikawa hata siingii kwenye acc yake.

Nimemaliza form four enzi hizo nipo likizo nikaanza kuhisi kuna kitu hakipo sawa nkasema nilogin kwente Acc yake aisee nikakuta mwanaume ambae alikuwa anasema ni kama kaka na rafiki ake anamtumia mpaka Picha za dudu.

Yule binti alikuwa mpendwa sana hata sikuamini aisee niahisi nimelewa ila ndio ukwelii kumbuka enzi hizo 2012 sijui hata mambo ya kutumiana mapicha ya uchi sio common.

Kesho yake nikachat nae kumbana anambie ukweli akasema anashindwa kuchagua kati yangu na jamaa tunamchanya, Nikasema bhasi mimi ntaacha kukuchanganya niliumia sana mpaka Mama alijua.. nililiaa sana yani mnooo kesho yake nikaenda kuchoma Macard yote na picha zakee zote kiufupi sikubaki na kumbukumbu yoyote na namba nkabadilisha.

Miaka ilienda akajaga kunitafuta tena ubaya mimi nilishasahau na nimepata mtoto mpya mkalii so hata kwa unafiki nlishindwa kurudiana nae jamaa ake akamlaga akambwaga.

Toka enzi zile nasema ukweli sijawahi kuumizwa tena na mapenzi labda nipate mshtuko tu.

First love break up turn good man into Monsters.
Aiseeh hiyo quotation uliyomaliza nayo nimeielewa sana.
 
Yaani baadae unakaa chini ukiwaza ndio ungundua kweli mche wa sabuni hauna mbe wa nyuma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nyie wanawake mna maneno makali sana, kwa kweli mtu unaweza shikwa hasira ukamuua mtu. Nashukuru mie ilitumwa kwenye text
Pole ndio mana mi nikikasirikaga huwa simjibu MTU kitu chochote hadi hasira yangu iishe

[emoji23][emoji23][emoji23] ulimfanya nini hadi akakuambia hivyo?
 
Pole ndio mana mi nikikasirikaga huwa simjibu MTU kitu chochote hadi hasira yangu iishe

[emoji23][emoji23][emoji23] ulimfanya nini hadi akakuambia hivyo?
Tatizo sio nilimfanya nini tatizo ni kwamba nilikuwa sina ndalama bwana. Mwanaume ukikosa ndalama mwanamke anakuona kama mbwa tuu
 
Back
Top Bottom