Mia saba
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 255
- 390
Mda mwingine unaona njaa itaniua unaamua kugusa gusa (kula) kwa majirani, baada ya hapo masimango ya kuwa "mpaka hapo ulipofikia bila sisi ungekuwa umeshakufa uwe unatushukuru kila kukichaš¬" na kadhalika.
Binafsi masimango ndio sababu iliyonifanya niache kula kwa majirani
Binafsi masimango ndio sababu iliyonifanya niache kula kwa majirani