Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
We jamaa comments zako ni hatari sana unacheka huku unapata points.Yaa msalaba. Wa Yesu ulibebebwa na Diaspora Simon Mkirene toka Ethiopia wa kimataifa Diaspora mtafuta maisha Israel
Diaspora Tajiri mwakilisha Afrika Israel Balizi Simon Mkirene ndie alibeba msalaba kumsindikiza Yesu Safari yake yake ya mwisho.Msalaba haukubebwa na malofa au maskini ni Diaspora international figure Simon Mkirene mwenye Passport na uraia wa nje ndio alibeba ule msalaba .
Ilikuwa house party mkuu hahahaYesu alikuwa na utajiri hata kabla ya kufa aliandaa karamu sio mlo wa kawaida karamu sio mlo wa kawaida ni vitu tofauti .Karamu haiandaliwi na maskini ni wenye nazo ndio waweza andaa karamu.Inaitwa karamu ya mwisho ina maana alikuwa ameandaa Karamu nyingi nyingi tu maishani mwake ile ndio ilikuwa karamu ya mwisho yenye mapochopocho ya kila namna tushindwe mlaji mwalikwa
Aliwaaga mitume kwa kuwapa karamu ya bufee ya uhakika ya kuagana nao. Ilikuwa farewell party ya nguvu sio ya kimaskini
Ahahaha mkuu unanichekisha mbaya eti diaspora mbna wanasema mkirene Simon Ni mtu kutoka Libya ya sas kumbe ni muethiopiaYaa msalaba. Wa Yesu ulibebebwa na Diaspora Simon Mkirene toka Ethiopia wa kimataifa Diaspora mtafuta maisha Israel
Diaspora Tajiri mwakilisha Afrika Israel Balizi Simon Mkirene ndie alibeba msalaba kumsindikiza Yesu Safari yake yake ya mwisho.Msalaba haukubebwa na malofa au maskini ni Diaspora international figure Simon Mkirene mwenye Passport na uraia wa nje ndio alibeba ule msalaba .
Ya ya ya house party iliyogharimiwa na Tajiri YesuIlikuwa house party mkuu hahaha
kweli kabisa yaani tajiri yesu alikua na majibu ya mkatomkato tuu.Kiukweli hakuna masikini anaeweza kukataa pesa, Yesu kukataa ela ya kaisari inaonesha kabisa alikua tajiriMavaz ya yes tu yalikuwa ya garama na mitume wake embu fikiria uwa maintain wanaume kum na mbili wale na walale juu yako wew alikuwa na pesa siyo kitoto
Tajiri yes alikuwa akingia mjini mji unasimama wkt fln ili na hutumwa watu wenye akili kubwa kuja kumuoji na kumuliza maswali ya kimtego tajiri alingamua hila zao faster na kuwajibu dry. Kam ambvyo amataji wengi Leo hii wafanyavyo kujibu maswal
Alikuwa analisha maelfu kila alipoenda alivyokuwa Tajiri hadi akasema ninyi wengine mnanifuata kwa ajili ya chakula tu msiangalie chakula tu kinachoozaMavaz ya yes tu yalikuwa ya garama na mitume wake embu fikiria uwa maintain wanaume kum na mbili wale na walale juu yako wew alikuwa na pesa siyo kitoto
Tajiri yes alikuwa akingia mjini mji unasimama wkt fln ili na hutumwa watu wenye akili kubwa kuja kumuoji na kumuliza maswali ya kimtego tajiri alingamua hila zao faster na kuwajibu dry. Kam ambvyo amataji wengi Leo hii wafanyavyo kujibu maswal
Kwahiyo unataka kusema yesu alikuwa marioo?Luka 8:2-3
[2]na wanawake kadha wa kadha ambao walikuwa na pepo wabaya na magonjwa wakaponywa; nao ni Mariamu aitwaye Magdalene aliyetokwa na pepo saba,
And certain women, which had been healed of evil spirits and infirmities, Mary called Magdalene, out of whom went seven devils,
[3]na Yoana mkewe Kuza, wakili wake Herode, na Susana, na wengine wengi, waliokuwa wakimhudumia kwa mali zao.
And Joanna the wife of Chuza Herod's steward, and Susanna, and many others, which ministered unto him of their substance.
Yohana 18:34Kwahiyo unataka kusema yesu alikuwa marioo?
🤣🤣🤣 you almost killed me by laughter. Jf bhanaUnajichaganya Yesu alikuwa na pesa nyingi wakati ule benki zilikuwa hazipo pesa zake akawa anaweka kwenye matumbo ya samaki wa eneo hilo ndio maana akamtuma mwanafunzi wake kuwa nenda kaburi samaki mmoja tu yeyote wa eneo hilo mpasue ndani utakuta kuna pesa
Ya ya ya Yesu sababu benki hazikuwepo alikuwa aki deposit pesa zake kwenye kwenye matumbo ya samaki wa eneo lile ukivua samaki yeyote ukimvua eneo lile huhitaji kwenda kuuza samaki upate pesa samaki yeyote ukimvua mpasue tu kwenye tumbo kukutana na dola mamia au pound za uingereza mamia au pesa za kiyahudi kitu kidogo.Vua samaki yeyote eneo lile mzigo wa pesa huu hapa unautoa kalipie chochote utakacho au kununua iwe apartment ,benzi au kujenga maghorofa au kulipa kodi au kuanzisha biashara kubwa juu yako🤣🤣🤣 you almost killed me by laughter. Jf bhana
Unaniangusha hili swali nililisubiri Muda Mrefu.YEHODAYA .. na matunduizi mbona mnaruka ule mstaruli Maskini Yesu anasema Mbweha wana Mapango.. ila yeye hana hata mahali pa kulaza kichwa..
Good.Ya ya ya Yesu sababu benki hazikuwepo alikuwa aki deposit pesa zake kwenye kwenye matumbo ya samaki wa eneo lile ukivua samaki yeyote eneo lile huhitaji kwenda kuuza samaki upate pesa samaki yeyote ukimvua mpasue tu kwenye tumbo kukutana na dola mamia au pound za uingereza mamia au pesa za kiyahudi kitu kidogo.Vua samaki yeyote eneo lile mzigo wa pesa huu hapa
kwa ufupi sana eleza vyanzo. unaeleza matumizi lakini huonyeshi vyanzo vya fedha. Sipingi ila naomba kujuaGood.
Nadhani alikuwa anampango pia wa kutajirisha wengine. Maana kama samaki mmoja aliuevuliwa na ndoano alikuwa na dinari moja.
Vipi wavuvi waliokuwa wakivua kwa Net Siku hiyo. Petro alizuiwa tu kutumia nyavu maana angrpata Pesa za hatari hata akamsaliti boss wake kabla ya jogoo lililowika kuzaliwa.
Sema Petro alikuwa hataki kuwa BilioneaGood.
Nadhani alikuwa anampango pia wa kutajirisha wengine. Maana kama samaki mmoja aliuevuliwa na ndoano alikuwa na dinari moja.
Vipi wavuvi waliokuwa wakivua kwa Net Siku hiyo. Petro alizuiwa tu kutumia nyavu maana angrpata Pesa za hatari hata akamsaliti boss wake kabla ya jogoo lililowika kuzaliwa.
Utajiri wa zamani ilikuwa wa kumiliki mali kama mifugo, dhahabu, mashamba nkMkuu umemsahau yule Bwana Mdogo. Tajiri aliyeambiwa auzr Mali akamkibia Yesu.
Watu walikuwa na Pesa sana enzi hizo