Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Nini kimesababisha kufa kwa hii App, yaan ilikuja kasi sana.
Ukiuliza wenye nayo leo unaweza usiwapate kirahisi.
Ukiuliza wenye nayo leo unaweza usiwapate kirahisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi kwan kuna wajinga walikua wanatuma helaUtapeli wa salers
AiiiiKuuzwa vitu bei ghali sana kuliko uhalisia
mi mwenyewe si elewi inakuajeTena wakainunua hadi zoom tanzania ikawa chino yao. Shida matapeli ndo wameiharibu. Na wanunuzi nao ni mazombie sana hivi unawezaje kununua kitu kwa mtu aliye mbali na mkoa uliopo afu unamtumia hela kabisa ilhali mzigo haujauona bado.
Mimi walivounganisha na zoom ndo nikaona imekua ya kindeziTena wakainunua hadi zoom tanzania ikawa chini yao. Shida matapeli ndo wameiharibu. Na wanunuzi nao ni mazombie sana hivi unawezaje kununua kitu kwa mtu aliye mbali na mkoa uliopo afu unamtumia hela kabisa ilhali mzigo haujauona bado.
Hata Muonekano wake wa sasa ni tofauti na zamani, jiji ipo vizuri sanaNini kimesababisha kufa kwa hii App
Yaan ilikuja kasi sana.
Ukiuliza wenye nayo leo unaweza usiwapate kirahisi
jiji ni ya kibongoHata Muonekano wake wa sasa ni tofauti na zamani, jiji ipo vizuri sana
Mi sikijuiNje ya mada Kuna kile kipindi cha kupatanisha watu EATV sijui kwa nini yule master aliamua kuacha kilikuwa kipindi kizuri kweli
Kilikuwa kinarushwa EATV mwamba alikuwa anapatanisha ndugu,jamaa na marafiki waliogombana kilikuwa kinavutia sanaMi sikijui
Licha ya kukatazwa ila wajinga wengi tu wamelizwa ushahidi ninaoIvi kwan kuna wajinga walikua wanatuma hela
Cc mrangiTena wakainunua hadi Zoom Tanzania ikawa chini yao. Shida matapeli ndo wameiharibu. Na wanunuzi nao ni mazombie sana hivi unawezaje kununua kitu kwa mtu aliye mbali na mkoa uliopo afu unamtumia hela kabisa ilhali mzigo haujauona bado.
watu wanaimanLicha ya kukatazwa ila wajinga wengi tu wamelizwa ushahidi ninao
Panua wigo mpana weweeNje ya mada Kuna kile kipindi cha kupatanisha watu EATV sijui kwa nini yule master aliamua kuacha kilikuwa kipindi kizuri kweli
nimekisearch sijakionaKilikuwa kinarushwa EATV mwamba alikuwa anapatanisha ndugu,jamaa na marafiki waliogombana kilikuwa kinavutia sana
Kilikuwa na jina lake imepita miaka mingi sijakionanimekisearch sijakiona
Kilikuwa linaitwa KISA NA MKASAnimekisearch sijakiona